Binafsi kuna watu nilikuwa nawakubali sana humu Jamiiforum kadhalika heshima yangu kwao ilikuwa kubwa sana na kila nikikutana na nyuzi nikaona naona ni kama vile nakutana na Chuo nisome, lakini tangu nikutane na baadhi ya comments zao zikidhihaki, tuakana,kejeli na kukashifu uislam wangu, uislam wetu, uislam ninaoupenda kuliko anything basi nikawa moyoni mwangu nikaona kumbe nili overrate tu kumbe ni wajinga kabisa na hawana maana na uwezo mdogo Wa kufikiri na wala hawawezi kujenga hoja kwenye vitu ambavyo wana mahaba navyo au chuki navyo
Sio kwamba kwa vile sio waislam, hapana, laah...kuna watu wengi tu tume wafollow tunakula madini kutoka kwao na tunawa appreciate na sio waislam na hata humu jf still baadhi nipo nao sambasamba
Siku zote mtu ambae ni alama/icon sehemu yeyote ile hawezi tukana wala kukashifu imani ya mtu maana anajua baadhi ya wafuasi wake ni hao anaowatukana, hakatazwi @iamkaga Wa Twitter kupost habari zake za kanisa kwenye page yake maana Mimi kama follower wake najua ni mkristo ila sio aanze kuandika vijembejembe vya ajabu juu ya imani nyingine huo ni ujinga na credit yangu yote niliyompa kama role model kwenye upande Wa technology nitaitoa kwake
Wa humu jf sitowataja ila kila mtu ambae ni iconic humu anajitambua kuwa ana influence kubwa hivyo ni bora kujiepeusha na attacking za moja kwa moja kwenye imani za watu
Kujadiliana hamna tabu juu ya imani au mambo flani ila kutukana kukejeli kukashifu na kudhihaki inakua mbaya sana hiyo
Sent from my TECNO KB7j using
JamiiForums mobile app