Kulikua na Mikutano zaidi ya mmojaSiku nyingi sana niliwahi kukwambia hapahapa JF, usiwe muongo.
Hakuna kongamano wala mkutano wowote wa ma-bhuddhist uliofanyika "Malaysia mwaka 2000".
Tena hakuna chuo chenye jina "Malaysia" pekee, vyuo vingi huko vina jina Malaysia linafatia. Mifano:
University Putra Malaysia (UPM)
University Kebangsaan Malaysia (UKM)
Usiseme uongo, sema ni chuo kipi cha Malaysia?
Chuo chenye jina pekee bila kibwagizo ni "University Malaya (UM)".
Kwa chama hiki kilichoko madarakani watalindana🤣🤣🪑...RA ndio dalali wa DPW....sasa hawaelewani JK team.....Mama awe makini sana ....
Rais ajaye atawafunga gang lake lote ...muda utasema[emoji3064][emoji848][emoji1544][emoji1550]
Ndo shida yenu. Mnahamasisha demokrasia alafu hamjui hata maana ya demokrasia. Mnahamasisha haki za kikatiba alafu hamjui hata maana yake. Nyie mnataka kila mtu awaze kama nyie alafu ndo mnajifanya wanademokrasia.Mwaka 2000 nikiwa Malaysia kwenye kongamano la dini ya Buddha pale Malaysia university nilikutana na mhindi mmoja tajiri aliyewahi kuishi na kutajirikia bongo.
Kwa utani unaouma na kuakisi ukweli akasema usipotajirika Tanzania ni ngumu kutajirika pengine Niliumia sana naye aliyaona maumivu yangu lakini huo ndio ulikuwa ukweli
Mkataba mbovu wa bandari zetu zote na kampuni kubwa ya DPW umeshapigiwa kelele na kila kaliba ndani ya taifa hili lakini bado kuna mazuzu wajinga wachache wanaona unafaa
Kati ya hao kuna wale walioko mamlakani ambao wamepata chochote ili kuutetea.. Hawa kwangu ni wahaini na wasaliti wakubwa na hukumu yao kuna siku itafika
Ninaowahurumia ni hawa wafuata mkumbo kwasababu za kiimani, itikati za kisiasa jinsia na wote wenye fikra finyu kwamba nwafrika hawezi kitu bila msaada wa ngozi nyeupe ama manjano..
Kinachopiganiwa ni kwa maslahi ya watoto, vijukuu, vitukuu na vining'ina vya taifa hili la Tanganyika.. Bila kujali
Imani zao
Rangi zao
Itikadi zao nk
Haya yote hawayaoni.. Inafika mahali unajiuliza je wana matatizo ya akili?
Yes! Here iam.
Wataachiwa huru maana mahakama ni zao.Kuanzia Sasa mtu yoyote anayetete mkataba wa DPW ni muhaini
Tuangalie uwezokano wa kuwafungulia kesi hao wahaini
Hiki kiajuza hovyo sana kimekimbilia google na hata hiyo university anayosema haipoKulikua na Mikutano zaidi ya mmoja
View attachment 2721910
Mwingine huu
![]()
The Second Buddhist Summit of BuddhistSummit
第八回佛教サミット 全世界佛教最高会議 全世界五大陸51ヶ国の仏教最高指導者が集結 全世界仏教徒の聖地「佛教之王堂」及び「ナーランダ僧院」において、第八回佛教サミットが開催されました。 国際連合、EUを始め、世界各国の王室、国家元首、国家指導者より数多の祝辞を賜る中、全世界五大陸51ヶ国の佛教サミット加盟国より仏教最高指導者が参加されました。www.buddhist-summit.com
Kwa hili Mimi sishangaiMshana sijawahi kuona ukiwa umekasirika.
Hapa ndipo uwezo wenu wa kujibu hoja unapoishiaNdo shida yenu. Mnahamasisha demokrasia alafu hamjui hata maana ya demokrasia. Mnahamasisha haki za kikatiba alafu hamjui hata maana yake. Nyie mnataka kila mtu awaze kama nyie alafu ndo mnajifanya wanademokrasia.
Kwa kifupi nyie ni wapuuzi tu! Tunaounga mkono mkataba wa Tz na Dubai tuna hoja na kama nyie mnadhani mna hoja endeleeni na hoja zenu.
Hizo ni ramli chonganishi tu DpW lazma aje awekeze biashara haramu tena basi pale bandariniMama kayakanyaga aliemponza. Ni Rostam Aziz pekeee....Nilipomuona yuko inner circle ya mama nikajua hapa suala la muda tu. Kweli kamshika kijana wa mama wakapiga Zanzibar solar to grid.
Nikaona sawaaaa. Ikaja Omari Issa Maharage. Heerr ghafla nikaona Uganda....Similation .....Kufuatacho ....Dalali umeme atauzia uganda ....Etc ...Ra ndio dalali wa dpw....Sasa hawaelewani jk team.....Mama awe makini sana ....
Rais ajaye atawafunga gang lake lote ...Muda utasema
Yaaani kwa kifupi huniwezi kwa kujenga hoja. Hili nakwambia waziHapa ndipo uwezo wenu wa kujibu hoja unapoishia
Yupo shallow sana, sema ana bidii ya kubishana, na ujasiri wa kuongea ambayo hana uelewa wa kutosha juu yake.Hiki kiajuza hovyo sana kimekimbilia google na hata hiyo university anayosema haipo
Namnukuu.. Chuo chenye jina pekee bila kibwagizo ni "University Malaya (UM)".
Jina lililopo ni hili hapa.. Hiki Kimalay ambapo ukitafsiri kwa kimombo ni University of Malaysia ama Malaysia UniversityView attachment 2721919
Kijana, huwa sikisii.Kulikua na Mikutano zaidi ya mmoja
View attachment 2721910
Mwingine huu
![]()
The Second Buddhist Summit of BuddhistSummit
第八回佛教サミット 全世界佛教最高会議 全世界五大陸51ヶ国の仏教最高指導者が集結 全世界仏教徒の聖地「佛教之王堂」及び「ナーランダ僧院」において、第八回佛教サミットが開催されました。 国際連合、EUを始め、世界各国の王室、国家元首、国家指導者より数多の祝辞を賜る中、全世界五大陸51ヶ国の佛教サミット加盟国より仏教最高指導者が参加されました。www.buddhist-summit.com
Mkuu, Chuo ulisoma wapi? Inaelekea madegree yako uliyachukulia kule "mambele!"Siku nyingi sana niliwahi kukwambia hapahapa JF, usiwe muongo.
Hakuna kongamano wala mkutano wowote wa ma-bhuddhist uliofanyika "Malaysia mwaka 2000".
Tena hakuna chuo chenye jina "Malaysia" pekee, vyuo vingi huko vina jina Malaysia linafatia. Mifano:
University Putra Malaysia (UPM)
University Kebangsaan Malaysia (UKM)
Usiseme uongo, sema ni chuo kipi cha Malaysia?
Chuo chenye jina pekee bila kibwagizo ni "University Malaya (UM)".
Hilo jina nimeshakuwekea juu hapo.Hiki kiajuza hovyo sana kimekimbilia google na hata hiyo university anayosema haipo
Namnukuu.. Chuo chenye jina pekee bila kibwagizo ni "University Malaya (UM)".
Jina lililopo ni hili hapa.. Hiki Kimalay ambapo ukitafsiri kwa kimombo ni University of Malaysia ama Malaysia UniversityView attachment 2721919