Watanganyika wanaoitetea DP World wana matatizo ya akili?

Watanganyika wanaoitetea DP World wana matatizo ya akili?

Wewe hata kama umeandika mara elfu, waliokusoma hawajakustukia kuwa u muongo.

Mimi nilikustukia miaka mingi nyumq, nikawa nakuumbua uongo wako, ukaacha, sasq unaqnza kurudia uongo tena.

akumbuka, ukianza jsjisifu sijuwi nilikuwa wapi au wapi, naanza ku double check. Nakubamba uongo wako.

Wacha kudanganya vijana humu.
kwan ww unajuwa vyuo vyote vya Malaysia ? au makongamano yote ya mwaka 2000 ya Malaysia unayajua? sijaelewa hoja yako ? kwan Malaysia ni ndogo kiasi gan mtu kujua matukio yote ya mwaka ktk nchi fulani?
 
Siku nyingi sana niliwahi kukwambia hapahapa JF, usiwe muongo.

Hakuna kongamano wala mkutano wowote wa ma-bhuddhist uliofanyika "Malaysia mwaka 2000".

Tena hakuna chuo chenye jina "Malaysia" pekee, vyuo vingi huko vina jina Malaysia linafatia. Mifano:

University Putra Malaysia (UPM)

University Kebangsaan Malaysia (UKM)

Usiseme uongo, sema ni chuo kipi cha Malaysia?

Chuo chenye jina pekee bila kibwagizo ni "University Malaya (UM)".
We hapo unaona umejibu hoja ya Dpw?? We ni miongoni mwa watu aliowataja Mshana.
 
Nakwambiaje. Andikeni nyaraka 10 na msizome kila siku miaka 5 mfululizo ila mkataba unaendelea na utekelezaji na hakuna kitu unaweza fanya.

Huu ni ukweli mchungu ambao nakwambia ubebe tu
hiz akili mnaonesha ndo hufanya waarab kuwaita watumwa , hamjielew
 
Hii ndio picha yao halisi ni bora ccm anayewapa watu kesi za uhaini na ugaidi ukiwapinga kuliko cdm wakishachukua nchi ni dhahiri watakua wanawaua hadharani watakaowapinga
thibitisha kama kwel watakuwa wanawaua watu hadharan , maana ujinga wenu ndo mtaji wa ccmu
 
Aisee mimi nilijiweka kando kitambo tu katika hili tangia yule Sheikh Mkuu wa Mwanza aagize waumini wote wa mkoa wa Mwanza wafunge na kuwasomea alubadiri ya majini wale woote wanaopinga huu mkataba.
Hivyo ukiona hujielewielewi ujue ushapigwa jini maimuna........
😁😅😂🤣
 
Kitaeleweka tu!
 

Attachments

  • Breaking!_Video_ya_wimbo_kupinga_bandari_kuuzwa_imekamilika._Shamba_la_urithi_Hawatakiwi_kupew...mp4
    15.5 MB
  • Breaking!_Video_ya_wimbo_kupinga_bandari_kuuzwa_imekamilika._Shamba_la_urithi_Hawatakiwi_kupew...mp4
    15.5 MB
Mwaka 2000 nikiwa Malaysia kwenye kongamano la dini ya Buddha pale Malaysia university nilikutana na mhindi mmoja tajiri aliyewahi kuishi na kutajirikia bongo.

Kwa utani unaouma na kuakisi ukweli akasema usipotajirika Tanzania ni ngumu kutajirika pengine Niliumia sana naye aliyaona maumivu yangu lakini huo ndio ulikuwa ukweli

Mkataba mbovu wa bandari zetu zote na kampuni kubwa ya DPW umeshapigiwa kelele na kila kaliba ndani ya taifa hili lakini bado kuna mazuzu wajinga wachache wanaona unafaa

Kati ya hao kuna wale walioko mamlakani ambao wamepata chochote ili kuutetea.. Hawa kwangu ni wahaini na wasaliti wakubwa na hukumu yao kuna siku itafika

Ninaowahurumia ni hawa wafuata mkumbo kwasababu za kiimani, itikati za kisiasa jinsia na wote wenye fikra finyu kwamba nwafrika hawezi kitu bila msaada wa ngozi nyeupe ama manjano..

Kinachopiganiwa ni kwa maslahi ya watoto, vijukuu, vitukuu na vining'ina vya taifa hili la Tanganyika.. Bila kujali
Imani zao
Rangi zao
Itikadi zao nk

Haya yote hawayaoni.. Inafika mahali unajiuliza je wana matatizo ya akili?
Masikini wewe huna hela yakwenda malyasia
 
Aisee mimi nilijiweka kando kitambo tu katika hili tangia yule Sheikh Mkuu wa Mwanza aagize waumini wote wa mkoa wa Mwanza wafunge na kuwasomea alubadiri ya majini wale woote wanaopinga huu mkataba.
Hivyo ukiona hujielewielewi ujue ushapigwa jini maimuna........
😁😅😂🤣
Ukiona dume linaweka vi-emoj,ujue ni sshoga
 
ndio maana waarabu hao hao hawatak hata muoe madem wa ngoz zao , washaona akili zenu ni majanga
Nani ka kwambia mm mwenyewe nimeowa chotara wa kiarabu hayo mambo hakunaga nna rafiki zangu kibao tu wameowa waarabu mzee
 
Masikini wewe huna hela yakwenda malyasia
Mkuu, unamaanisha kabisa au unataka tu kumchokoza Mshana Jr?

Kwa mtazamo wako, Mshana Jr ni mtu wa kukosa heha ya kwenda Malaysia?

Isitoshe, hilo lilikuwa kongamano la kidini. Inawezekana dini yake ya kipindi hicho ndiyo iliyomgharamikia.
 
Nafurahi kwa kuwa sasa akili kubwa imeshtuka, akili kubwa kuongozwa na akili ndogo. Ni wakati wa Afrika kuamka, tumelala mno!! Mtafute Patrick Lumumba wa Kenya atueleze ni kwa nini bara la Africa tupo nyuma.
 
Halafu kweli ujue [emoji23]
Mkuu nimesikitika sana kukubali kubishana na yule bibi ajuza asiejielewa. Wew ni rol mod wa wengi uku jf nikiwemo na mm. Mkuu brand ya jina lako ni kubwa usikubali ajuza aiporomoshe .huyu bibi anavimbwanga sana
 
Haya mapumbavu yanajipendekeza kwa waarabu wakati wao wanawaona manyani tu ata binti zao hawataki muwaoe . Arabs watawalegeza kama zenj na mombasa. Muda ni hakim asiepigiwa cm lets wait!
 
Wachachei ni mashetani wajinga punguani na matahaira waliopitiza na msukumo ni mgao tayari wamepata ila wale wengine ni kuwasamehe tu hawajui walitendao
 
Back
Top Bottom