Samia atosha tukutane2030
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 17,169
- 48,681
Kipindi cha Jiwe polepole na Bashite na wengine walikuwa mstari wa mbele kutetetea kila aina ya uovu wa kipindi cha Magufuli.
Walikuwa wanakula mezani kwa mfalme. Walikuwa na ukwasi wa kutosha.
Eti sasa hivi Polepole mzee wa v8 anaupondea utawala wa Rais Samia!!!
Hiki ni kituko sana.
Sisemi kuwa utawala wa Samia uko good sana , hapana. Ninampinga Polepole maana kawa kama mke aliyeaachwa na kusema mume ana kibamia huku kazalishwa watoto zaidi ya 5.
Siku Polepole anatoa hii notes alisema fomu ya Urais CCM iko moja tu ya Magufuli. Leo hii huyu anawafanya Watanganyika wajinga eti katiba inavunjwa. Kwani 2020 katiba ya CCM ilikatamka kuwa fomu ilipaswa kuwa moja tu?
Walikuwa wanakula mezani kwa mfalme. Walikuwa na ukwasi wa kutosha.
Eti sasa hivi Polepole mzee wa v8 anaupondea utawala wa Rais Samia!!!
Hiki ni kituko sana.
Sisemi kuwa utawala wa Samia uko good sana , hapana. Ninampinga Polepole maana kawa kama mke aliyeaachwa na kusema mume ana kibamia huku kazalishwa watoto zaidi ya 5.
Siku Polepole anatoa hii notes alisema fomu ya Urais CCM iko moja tu ya Magufuli. Leo hii huyu anawafanya Watanganyika wajinga eti katiba inavunjwa. Kwani 2020 katiba ya CCM ilikatamka kuwa fomu ilipaswa kuwa moja tu?