Vip nikiamua kutoa zaka kwa wenye uhitaji kama yatima na wajane?Nijuavyo ikiwa sijakosea...kuna Sadaka maalum za aina 3, sawasawa na maagizo ya Biblia Takatifu.
Sadaka ya moja ya kumi (Ten percent) inayotokana na jasho lako la kuajiriwa ama kujiajiri. Inaitwa ZAKA.
Sadaka ya Shukran kwa yale aliyokufanyia Mungu wako, haijalishi ni mazuri au mabaya...Biblia inatuambia Shukuruni kwa kila jambo. Inaitwa DHABIHU
Sadaka ya Mzaliwa wa kwanza wa Mazalia ya mifugo au kilimo chako. Mfano unaanza kufuga ng'ombe au mbuzi dume na jike, watakapozaa kwa mara ya kwanza kabisa...yule ndama usimwache pale zizini mpeleke kama sadaka katika madhabahu ya Mungu....Inaitwa MALIMBUKO.
Sasa katika sadaka hizo...hiyo DHABIHU/SHUKRAN unaweza kuamua kuipeleka kwa Watoto yatima,kwa wagonjwa mahospitali, Masikini na wenye shida na taabu mbalimbali.
LAKINI : Nathubutu kukuambia katika sadaka hizo zote usije ukacheza na ZAKA yaani 1/10. Mungu mwenyewe anasema usipoitoa umemwibia.
Madhara ya kutotoa ZAKA ni makubwa sana na ni mengi kama:-
1) Kufilisika kabisa
2) Pesa/Mshahara wako kutokufanya chochote cha maana mpaka unakwisha
3) Kufutwa kazi / kufa kwa Ajira kabisa kwakuwa unakosa ulinzi na utetezi wa Mungu katika Ajira yako.
4) Kuaibika, kutokutoa ZAKA pia kunakusababishia AIBU katika maisha.
USHAURI: Jitahidi sana usiache kutoa SADAKA haswa ZAKA ila hakikisha unatoa katika MADHABAHU SAHIHI kwa MTUMISHI SAHIHI.
Barikiwa.
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, hebu kapitie tena hilo andikowatu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa..
Kaka mshana nilipataga taarifa zako kutoka kwa marafiki zangu hata kabara ya kujiunga na jf. Me huwa nakubari uzi wako mkuu. Saluti kwakoHawa si wengine bali ni mitume na manabii wa uongo (sio wote, namaanisha mitume na manabii wa uongo)
Utawambuaje?
Hawatoi bali wanapokea
Hawafuati bali wanafuatwa
Hawachangi bali wanachangiwa
Hawalishi bali wanalishwa
Hawahudumii bali wanahufumiwa
Kwao kila kitu ni fedha
Mahubiri yao ni utajiri na kutenda miujiza... Wanashindana kwa vitu vya kidunia.. Utajiri, vyombo vya usafiri, (magari boat, meli ndege nk) mavazi ya bei ghali, majumba ya gharama kubwa nknk... Ni watu wasiopitwa na fasheni yoyote
Ni wachoyo na ni wa binafsi wamepiliza! Pesa zao zinazotokana na kuwakamua waumini maskini na wenye uhitaji hawazitumii kwa manufaa ya jamii bali wao wenyewe na watu wao wa karibu
Pamoja na mabilioni wanayomiliki daima utawakuta mitandaoni wakishindana kupost vitu wanavyomiliki vya bei ghali...
Wakiamua kuwekeza pesa zao hizo ni kwenye biashara na kamwe sio kwenye huduma za kijamii kwa wasiojiweza kama lishe elimu afya na vituo vya misaada kwa walemavu yatima na yeyote mwenye uhitaji wowote .. Haya sio yao haya hayawahusu. ..
Watu wa kaliba hii wanaojipenda kujikweza na kupenda kutukuzwa, wapenda Mali na ibada za karamu zilizojaa ukakasi mwingi ni makuwadi wa kuzimu na madalali wa shetani
NB: Niombe radhi kwa wale watakwaza na hii mada
Hapa umeachana na kiwiliwili ukaamua kumpiga rungu la kichwa shetani.Hawa si wengine bali ni mitume na manabii wa uongo (sio wote, namaanisha mitume na manabii wa uongo)
Utawambuaje?
Hawatoi bali wanapokea
Hawafuati bali wanafuatwa
Hawachangi bali wanachangiwa
Hawalishi bali wanalishwa
Hawahudumii bali wanahufumiwa
Kwao kila kitu ni fedha
Mahubiri yao ni utajiri na kutenda miujiza... Wanashindana kwa vitu vya kidunia.. Utajiri, vyombo vya usafiri, (magari boat, meli ndege nk) mavazi ya bei ghali, majumba ya gharama kubwa nknk... Ni watu wasiopitwa na fasheni yoyote
Ni wachoyo na ni wa binafsi wamepiliza! Pesa zao zinazotokana na kuwakamua waumini maskini na wenye uhitaji hawazitumii kwa manufaa ya jamii bali wao wenyewe na watu wao wa karibu
Pamoja na mabilioni wanayomiliki daima utawakuta mitandaoni wakishindana kupost vitu wanavyomiliki vya bei ghali...
Wakiamua kuwekeza pesa zao hizo ni kwenye biashara na kamwe sio kwenye huduma za kijamii kwa wasiojiweza kama lishe elimu afya na vituo vya misaada kwa walemavu yatima na yeyote mwenye uhitaji wowote .. Haya sio yao haya hayawahusu. ..
Watu wa kaliba hii wanaojipenda kujikweza na kupenda kutukuzwa, wapenda Mali na ibada za karamu zilizojaa ukakasi mwingi ni makuwadi wa kuzimu na madalali wa shetani
NB: Niombe radhi kwa wale watakwaza na hii mada
uzuri waumini wao ni mafukara na masikini sana mimi nina microfinance yangu,wanapokuja kunikopa hela nikiwaona wamechoka choka na wamepauka na vinguo vyao vya mitumba huwa nawanyima tu mikopo maana ni wajinga unawakopesha pesa nao wanampelekea nabii feki wao ,huwa siwaangalii mara 2 na wanafanana wote,wamechoka choka tu ila ambao hawaja choka kimwili na kimavazi basi wamechoka mawazo na akili,mi nahc kati ya watu ambao moto utawaunguza sana ni hawa manabii feki,Hawa si wengine bali ni mitume na manabii wa uongo (sio wote, namaanisha mitume na manabii wa uongo)
Utawambuaje?
Hawatoi bali wanapokea
Hawafuati bali wanafuatwa
Hawachangi bali wanachangiwa
Hawalishi bali wanalishwa
Hawahudumii bali wanahufumiwa
Kwao kila kitu ni fedha
Mahubiri yao ni utajiri na kutenda miujiza... Wanashindana kwa vitu vya kidunia.. Utajiri, vyombo vya usafiri, (magari boat, meli ndege nk) mavazi ya bei ghali, majumba ya gharama kubwa nknk... Ni watu wasiopitwa na fasheni yoyote
Ni wachoyo na ni wa binafsi wamepiliza! Pesa zao zinazotokana na kuwakamua waumini maskini na wenye uhitaji hawazitumii kwa manufaa ya jamii bali wao wenyewe na watu wao wa karibu
Pamoja na mabilioni wanayomiliki daima utawakuta mitandaoni wakishindana kupost vitu wanavyomiliki vya bei ghali...
Wakiamua kuwekeza pesa zao hizo ni kwenye biashara na kamwe sio kwenye huduma za kijamii kwa wasiojiweza kama lishe elimu afya na vituo vya misaada kwa walemavu yatima na yeyote mwenye uhitaji wowote .. Haya sio yao haya hayawahusu. ..
Watu wa kaliba hii wanaojipenda kujikweza na kupenda kutukuzwa, wapenda Mali na ibada za karamu zilizojaa ukakasi mwingi ni makuwadi wa kuzimu na madalali wa shetani
NB: Niombe radhi kwa wale watakwaza na hii mada