Yeah imagine kitu kama hicho kinafanyiwa biasharaMshana kwasasahivi Safina Radio ya Arusha kwakweli wanachofanya ni Biashara tu.
Wanauza mpaka maji na fruto ambazo wamepiga brand kwenye vichupa.
Mungu ni Roho...wamwabuduo wanapaswa kumwabudu katika ROHO na KWELI, ila wao wanaweka Imani za watu katika vitu kama Maji n.k badala ya katika Kristo.
Ikiwa basi ni hivyo, JE kwanini wasiwafundishe watu namna ya kuombea hayo maji kisha wakaombee maji yao nyumbani na kutumia kiimani?
Pamoja mkuuUkilitafakari utanielewa nimeongea nini.. Hakuna watu ambao wako kwenye spotlight ya dhambi kama walokole kwakuwa wanajaribu kuachana na ibilisi
Kwani wewe huamini bible juu ya kuwepo manabii wa uongo?Tutawatambuaje hali ya kuwa wanatenda miujiza ya kuponya na kufufua kama manabii walio tangulia?
Kuhusu utajiri wao ni neema zitokanazo na kulishwa shambani mwa Bwana.
Waumini tumeaswa kwenye maandiko matakatifu tuwalishe watumishi wa Mungu.
Hata wateule wa zamani kina Daudi na Suleimani walikuwa matajiri wakubwa kupitia ukulima, ufugaji na uhunzi wa zana mbalimbali.
Mkuu mshana jr unataka kutuaminisha ya kwamba dhana ya uwepo wa dini ni utapeli uliotukuka?
Je, hujawahi kushuhudia matendo makuu ya Mungu ktk kuishi kwako hapa Duniani?
Tusiwahukumu kwa matendo yao na umiriki wao wa mapambo ya Dunia, vyote tutaviacha hapahapa.
Kwa Mungu kila goti litapigwa.
Kila mmoja apambane kuurithi ufalme wa Mbinguni.
Wewe tulishawahi kukutana sehemu nini? maana niliwahi kusema sentensi hiyo watu walicheka sanaYesu aliwalisha watu elfu tano wakala wakasaza .
Nabii Au mtume wa uongo analishwa Na watu elfu tano.
Geor Davie ni Nabii wa uongo,Muhuni wa wanawake na Tapeli
Mwamposa ni nabii wa uongo na Tapeli
Lusekelo ni mhuni, chapombe na mpenda pesa
Gwajima ni mpenda pesa, Mwanasiasa na Msanii ila mwenye ujasiri wa kuwatetea watanzania.
SAFINA RADIO ina watumishi wapenda pesa wasio na huruma kwa wamama masikini wanaochukua pesa zao. wa kwanza ni mkurugenzi wao DANIEL LEMA.
Akina manyau nyau na Sheikh sharrif majini ni wasanii wenye majini na ujinga kichwani.
Wengi wao wanarushwa na Channel 10.
Ashakhum si matusi




Shetani kwa mara ya kwanza alipiga story na demu wake Adam na hata sasa hao unaowaita mawakala wa shetani wafuasi wao wengi ni mademu