okiwira
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,450
- 3,832
Salam wana Jf
Nahitaji kufungua biashara ya wifi yaani nifunge wifi kisha niwe nawaunga jamii iliyonizunguka kwa 500 per 1hrs.
Ila sijui nianze na kitu gani gharama zake? Jinsi ya kudhibiti data washusha movies, umbali kiasi gani ndio mzuri? Kifurushi unlimited haijalishi kitamiwe kiasi gani hakiishi kama kinaisha nifanyeje nitoboe mwezi?
Nina maswali mengi karibuni nipate ABC 🙏 ASANTENI.
Nahitaji kufungua biashara ya wifi yaani nifunge wifi kisha niwe nawaunga jamii iliyonizunguka kwa 500 per 1hrs.
Ila sijui nianze na kitu gani gharama zake? Jinsi ya kudhibiti data washusha movies, umbali kiasi gani ndio mzuri? Kifurushi unlimited haijalishi kitamiwe kiasi gani hakiishi kama kinaisha nifanyeje nitoboe mwezi?
Nina maswali mengi karibuni nipate ABC 🙏 ASANTENI.