Mrkahawa
Member
- May 15, 2021
- 37
- 18
Mi nimeanza na
1km wanasema hakuna mwisho 300m etyKuna jamaa tiktok nimesahau jina ila anauza kifaa ambacho kinasaidia WiF kwenda hadi Umbali wa km 1 pia ana mfumo wa vocha ambao mteja anachagua mwenywe kifurushi atakacho kama ni 500 kwa saa au 1000 kwa siku ukiisha muda inajitoa tu yenyewe we kwako zinaingia pesa tu ila wanajiunga wenyewe huko waliko.