Wataalamu wa kuflash simu tukutane hapa....

Wataalamu wa kuflash simu tukutane hapa....

lionhard

Senior Member
Joined
Jul 16, 2015
Posts
194
Reaction score
43
Habari wana jf,
Nina simu yangu nokia 2690. Naipenda sana. Ila nilikua na install apps kubwa kubwa inakubali. Nili install opera mini hadi 8.1 ikakubali ila haikuchukua mda ikacollapse, imefuta apps zote hadi uwezo wa internet.
Naomba kwa mwenye uelewa ni install application gani kwenye computer ili niweze kuiflash???
Nataka nifanye mwenyewe.
Ahsante naomba kuwasilisha.
 
Kwanini usifanye factory reset mwenyewe? Nenda setting then nafkiri setting ya mwisho ndiokureset
 
download nokia phoenix search google utapata na jinsi ya kuitumia
 
Kwanini usifanye factory reset mwenyewe? Nenda setting then nafkiri setting ya mwisho ndiokureset

mkuu naomba msaada wako nilikuwa nafanya factory reset kwenye simu yangu ya htc one sijuh nikafanyaje 2 nikajikuta nimefuta kila ki2 mpaka OS sasa naweza kuirudisha ikawa kama zamani maana nimechanganyikiwa kinoma mkuu
 
9k=
SIMU YENYEWE NDO HII MBONA YA ZAMANI SANA.
 
mkuu naomba msaada wako nilikuwa nafanya factory reset kwenye simu yangu ya htc one sijuh nikafanyaje 2 nikajikuta nimefuta kila ki2 mpaka OS sasa naweza kuirudisha ikawa kama zamani maana nimechanganyikiwa kinoma mkuu
IPO katika hali gani? Ukiwasha inasema nini?
 
Sikumbuki security code chief...

Jaribu na hio phoenix ILA toka navifirm ifungwe kupata firmware za Nokia Ni issue.

Pia jaribu kudownload Nokia suite then connect simu na pc halafu halafu update firmware au re install firmware inaweza saidia
 
Jaribu na hio phoenix ILA toka navifirm ifungwe kupata firmware za Nokia Ni issue.

Pia jaribu kudownload Nokia suite then connect simu na pc halafu halafu update firmware au re install firmware inaweza saidia

Ahsante chief
 
yani nikiwasha inaishia kwenye yale maneno ya this build is for development purposes only ni htc e9s dual sim

Hio simu yako Ni HTC one ipi? Mbona kama simu na rom Ni tofauti?

Anza na kudownload HTC sync just google Hilo men halafu connect simu na pc then install firmare yake official

Ikikataa itabidi download HTC toolkit then uflash manual
 
Back
Top Bottom