Wataalamu wa kuflash simu tukutane hapa....

Wataalamu wa kuflash simu tukutane hapa....

Tatizo kama toka asubuhi saa 3 hadi midaa hii kuna msele wetu humu aliniomba nimuelekeze jinsi ya kuflsh nikokia yake nimemwambia pc yako iwe na WINRAR.akaniuliza nini.download drivers..ni rahisi ila jambo linakua gumu kama aulielewi.nitajitahidi nianze kuandika hatua za kuflash nokia kwa pc hadi asubuhi kesho mungu akipenda.itakua tayar.
Kaka wewe ni jembe,
Kuflash i phone ni issue?
 
Wakuu nani anataka iphone4S 32GB imetoka australia, nyeupe, hadi headphone zake hazijaguswa. Sijui viZuri bei za i phone naona inanizingua kitumia nataka niiuze, mwenye ufahama wa bei zake anijuze
 
Habari wana jf,
Nina simu yangu nokia 2690. Naipenda sana. Ila nilikua na install apps kubwa kubwa inakubali. Nili install opera mini hadi 8.1 ikakubali ila haikuchukua mda ikacollapse, imefuta apps zote hadi uwezo wa internet.
Naomba kwa mwenye uelewa ni install application gani kwenye computer ili niweze kuiflash???
Nataka nifanye mwenyewe.
Ahsante naomba kuwasilisha.
Mkuu imecollapse yaani haiwaki kabisa au inawaka ila haiko normal??...nijibu hapo nikupe msaada fasta.
 
Mkuu imecollapse yaani haiwaki kabisa au inawaka ila haiko normal??...nijibu hapo nikupe msaada fasta.
Inawaka ila haipo normal mkuu,
Haina uwezo wa kuingia net tena, picha zake sio bora, ina stark,
 
Wakuu nina e-pad (Android) imezingua kuwa, nkiwasha inaishia kuandika android then haiendelei na haitazima taa mpak charge ikate ndo itazima...
Nlipeleka kwa fundi km wawil wakashindwa kui flash, naomba msaada ni download software gani niifanyie ufundi mwenyew geto!!!
Ntashukuru kwa ufumbuzi....nawasilisha
 
Wakuu nina e-pad (Android) imezingua kuwa, nkiwasha inaishia kuandika android then haiendelei na haitazima taa mpak charge ikate ndo itazima...
Nlipeleka kwa fundi km wawil wakashindwa kui flash, naomba msaada ni download software gani niifanyie ufundi mwenyew geto!!!
Ntashukuru kwa ufumbuzi....nawasilisha
Kaka simu pad zote zinazotumia battery za ndani battery ikiisha kabisa ukuwa unalazimisha kuiwasha washa ikiisha kabisa lazima matatizo ya kuishia njiani yanajitokeza.ukiondoa aphone na ipad.sasa nenda kwa fundi mwambie afungue hiyo e pad apime battery lisipungue volt 3.7.kama litakua chini ya hapo ungalie jinsi ya kulistua hilo battery.likishindikana nenda d test battery kama battery iko sawa ina charge zaidi volt 3.7.nitafute tutajua la kufanya.hayo matatizo tunakutana nayo na wateja wengi wamefanikiwa.KAMA KUNA LINGINE NICHECK 0754604567
 
IPO katika hali gani? Ukiwasha inasema nini?
Fimware za nokia zipo nyingi sana.mkwawa nokia kama inashia njiani ukiweka line.hapana kwa reset aiwezi amka kamwe.ukiitaji jinsi ya kudownlod fimware za nokia nenda google andika mf.nokia x2-01 rm 709 itakupa njia rahisi sana ya kudownload fimware.au nenda saigonmobile hao nokia simu yoyote utapata flash file na flash tools.
Wakuu nina e-pad (Android) imezingua kuwa, nkiwasha inaishia kuandika android then haiendelei na haitazima taa mpak charge ikate ndo itazima...
Nlipeleka kwa fundi km wawil wakashindwa kui flash, naomba msaada ni download software gani niifanyie ufundi mwenyew geto!!!
Ntashukuru kwa ufumbuzi....nawasilisha

Jaribu na hio phoenix ILA toka navifirm ifungwe kupata firmware za Nokia Ni issue.

Pia jaribu kudownload Nokia suite then connect simu na pc halafu halafu update firmware au re install firmware inaweza saidia
 
Kwa ndugu zangu wa jf.simu ya NOKIA za kawaida njoo nitakuflashia bure.wewe sema me nimetokea jf.kwa tecno zenye wenge gharama ni nafuu ila utokee jf.simu dk 20 inakua tayali kwa matumizi.0754604567.naitaji jina na kuongeza vifaa kazi.
 
Wakuu nina e-pad (Android) imezingua kuwa, nkiwasha inaishia kuandika android then haiendelei na haitazima taa mpak charge ikate ndo itazima...
Nlipeleka kwa fundi km wawil wakashindwa kui flash, naomba msaada ni download software gani niifanyie ufundi mwenyew geto!!!
Ntashukuru kwa ufumbuzi....nawasilisha
Mkuu davynemes,kwanza inabidi ujue kama hiyo epad yako ni model gani ili uwezo kudownload firmware yake.

1. Download na install ADB drivers kwenye PC yako.Hapa unatakiwa kuchomeka epad yako kwenye PC kwa kutumia USB Cable na kisha unainstall hiyo ADB drivers zinazopatikana HAPA.
2. Download na ui extract LiveSuit Application katika PC yako.LiveSuit Pack inapatikana HAPA.
3. Tafuta LiveSuit.exe kwenye files ulizo extract na uifungue.
4. Ukishaifungu na kufunguka,bonyeza YES ili kuendelea na Upgrade Wizard
5. Zitatokea chaguzi mbili,General Mode na Mandatory Mode,wewe bonyeza Mandatory Mode.
6. Baada ya hapo disconnect epad yako toka kwenye PC kama ulikuwa umeiconnect,halafu bonyeza YES.
7. Bonyeza Next,hapo sasa unatakiwa kuchagua lile file lako la firmware uliyoi dowmload (.img firmware) then unabonyeza YES na kuichagua hiyo .img firmware yako.
8. Usibonyeze FINISH tafashali mara baada ya kuadd .img firmware yako.
9. Hapa inatakiwa uconnect epad yako ikiwa imezimwa.Kwanza chomeka epad yako kwenye USB cable then ndio uichomeke kwenye PC yako.Wakati unachomeka epad yako kwenye PC,hakikisha unabonyeza na kushikilia VOLUME DOWN button huku wakati huo huo ukibonyeza kwa haraka POWER OFF button mara 10 ili kifaa chako kiweze kutambuliwa na PC yako.
Maelezo zaidi na Picha tafadhali BONYEZA HAPA.
 
Samahani mkuu nina tecno y6 ambayo ni 4.4. Je naweza badili ikawa 5.0? Naomba maelekezo kama yawezekana.
 
Back
Top Bottom