Wataalamu wa kuflash simu tukutane hapa....

Wataalamu wa kuflash simu tukutane hapa....

Habari wana jf,
Nina simu yangu nokia 2690. Naipenda sana. Ila nilikua na install apps kubwa kubwa inakubali. Nili install opera mini hadi 8.1 ikakubali ila haikuchukua mda ikacollapse, imefuta apps zote hadi uwezo wa internet.
Naomba kwa mwenye uelewa ni install application gani kwenye computer ili niweze kuiflash???
Nataka nifanye mwenyewe.
Ahsante naomba kuwasilisha.
Wacha wababishaji unataki nini kuhusu simu nichevk whatsapp 0754604567 software zote
 
Unaweza njoo ofisini nitakuflashia bure hiyo nokia bila box full maajabu hapa.ujuzi nivheki whatsapp ,0754604567
 
Akhsante sana mkuu,naomba nikutafute kesho ama kama inawezekana ni PM bei yako
Usiofu bei huu ni ujuzi ambao popote unafanya kazi.nokia blackberry iphone sony android.unawez flash bila box kuna software zinaitaji ukiitaji nakufanyia install naunafanya kazi bila shida
 
Usiofu bei huu ni ujuzi ambao popote unafanya kazi.nokia blackberry iphone sony android.unawez flash bila box kuna software zinaitaji ukiitaji nakufanyia install naunafanya kazi bila shida
Unapatikana wapi???
 
Mkuu hayo maujuzi kwanini usiweke hapa hapa jukwaani kwa faida ya wote? Kila mtu akija pm si itakua shida
Tatizo kama toka asubuhi saa 3 hadi midaa hii kuna msele wetu humu aliniomba nimuelekeze jinsi ya kuflsh nikokia yake nimemwambia pc yako iwe na WINRAR.akaniuliza nini.download drivers..ni rahisi ila jambo linakua gumu kama aulielewi.nitajitahidi nianze kuandika hatua za kuflash nokia kwa pc hadi asubuhi kesho mungu akipenda.itakua tayar.
 
Flash nokia bila box..

1.Download nokia usb driver.

2.Donwload nokia connectiv usb driver.

3.zi install zote mbili.

Tutakua tumemaliza hatua ya kwanza.Hatua ya pili

1.Download infinity best box v1.51 .

2.download Mf.nokia x2-01 rm 709
3.Utabonyeza hilo file likifunguka utaona picture simu chini utaona file ziko tatu.MCU.PPM.CNT.Utazi downlod
[
89c9209ce5510f9546ce45efcc6ea056.jpg
d381c3200a31136aa42fd4c2c7ffcc83.jpg
ba1aa5f191d06c45e9678b11e3557887.jpg
 
Ukisha zidownload zote hizo mcu.ppm.cnt.save sehemu moja ziwe pamoja ata folder ukiziandia sio mbaya.hapo tutakua tumemaliza step zote bado kuflash simu yetu ya nokia huku nitakwenda na pictuers ili twende vizuri wapendwa
 
Tunaendelea usha download hizo file.fungu ile inifinity best
 
Bonyeza mcu utatafuta yale ma file utaopeni mcu.litakaa hapo ktk hicho kiox pp1 nayo cnt 1nayo zikisha kaa ktk vibox hivyo.weka tiki ktk DEADMODE . SETNORMOL. RESET LT.CHANGEPC FACTORY....Toa tiki ya BACKUP.
 
Sasa chomeka simu yako ktk usb na pc.bonyeza flash ..weka battery yako hapo itaanza kuflash
 
Bonyeza mcu utatafuta yale ma file utaopeni mcu.litakaa hapo ktk hicho kiox pp1 nayo cnt 1nayo zikisha kaa ktk vibox hivyo.weka tiki ktk DEADMODE . SETNORMOL. RESET LT.CHANGEPC FACTORY....Toa tiki ya BACKUP.
4ea56cc409b304e1dbd4aaf5a1a97e5f.jpg

Sasa chomeka simu yako ktk usb na pc.bonyeza flash ..weka battery yako hapo itaanza kuflash
 
  • Thanks
Reactions: cdc
Back
Top Bottom