Wataalamu wa kilimo semeni ukweli kuhusu GMO

The Burning Spear

JF-Expert Member
Dec 23, 2011
3,445
8,300
Binafsi naungana na Huyu jamaa.

1. Mbegu za asili zimepotea.

2. Zamami kipindi cha kilimo mbegu tulichota kwenye magala yetu.

3. Mbegu za kisasa huwezi kureplant ukishaipanda ndo imetoka hiyo.

4. Matokeo yale watu wamekuwa watumwa wa kununua mbegu kila msimu.

5. GMO zinashambuliwa sana na wadudu kwa hiyo kuna utumwa wa kununua fertilizers (mbolea).

6. Sina uhakika kama GMO ni bora kwa afya.

7. Kingine, GMO ukiangalia kwa umakini zinapunguza fertility ya aridhi.

Wataalamu wa kilimo mtusaidie, nini kimepelekea mbegu zetu za asiki kuonekana hazifai mbele ya GMO?


 
Sio ajabu matoto ya 2000 yanaonekana kuzeeka, hindi lililotakiwa kukomaa kwa miezi 6 linakomaa miez 2 linaliwa anaekula atakomaa kwa miez 2.

Kuku wakuliwa miez 6 anakomaa wiki 2 ya 3 analiwa, atakae kula atakomaa kwa wiki 2. Mwembe wakukua na kutoa matunda baada ya miaka 4-6 utakua kwa miez 6 na utatoa matunda, bint atakae kula hilo tunda ataota matiti at 9 yrs. New world s comin

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Nikija kuwa na watoto mpaka nipate wajukuu my Tanzania haitakuwa nchi ila ni kakijiji fulani kanakopelekeshwa vyovyote na manchi makubwa .

Oooh Yaarabi tusaidie wanao tumekosa viongozi ila wachumia tumbo , tupo ujasiri kudai haki zetu , tupe ujasiri tujue ni nini cha kufanya pale wachumia tumbo wakianza ujinga wao .

Kila mwenye moyo uliopondeka sema ameni
 
Binafsi naungana na Huyu jamaa.

1. Mbegu za asili zimepotea.

2. Zamami kipindi cha kilimo mbegu tulichota kwenye magala yetu.

3. Mbegu za kisasa huwezi kureplant ukishaipanda ndo imetoka hiyo.

4. Matokeo yale watu wamekuwa watumwa wa kununua mbegu kila msimu.

5. GMO zinashambuliwa sana na wadudu kwa hiyo kuna utumwa wa kununua fertilizers (mbolea).

6. Sina uhakika kama GMO ni bora kwa afya.

7. Kingine, GMO ukiangalia kwa umakini zinapunguza fertility ya aridhi.

Wataalamu wa kilimo mtusaidie, nini kimepelekea mbegu zetu za asiki kuonekana hazifai mbele ya GMO?


View attachment 2433162
Afrika tunachokosa ni viongozi wenye akili na mfump bora wa elimu.
 
GMO ni kapu la kukusanya wakulima na walaji katika kapu moja la umasikinii.

Na kwa mazingira yetu haya ambayo pembejeo zimekua ni anasa, wakulima tutaisoma nambaa.
 
Binafsi naungana na Huyu jamaa.

1. Mbegu za asili zimepotea.

2. Zamami kipindi cha kilimo mbegu tulichota kwenye magala yetu.

3. Mbegu za kisasa huwezi kureplant ukishaipanda ndo imetoka hiyo.

4. Matokeo yale watu wamekuwa watumwa wa kununua mbegu kila msimu.

5. GMO zinashambuliwa sana na wadudu kwa hiyo kuna utumwa wa kununua fertilizers (mbolea).

6. Sina uhakika kama GMO ni bora kwa afya.

7. Kingine, GMO ukiangalia kwa umakini zinapunguza fertility ya aridhi.

Wataalamu wa kilimo mtusaidie, nini kimepelekea mbegu zetu za asiki kuonekana hazifai mbele ya GMO?


View attachment 2433162
Wataalamu wa kilimo mtusaidie, nini kimepelekea mbegu zetu za asiki kuonekana hazifai mbele ya GMO?
1.Kila mkulima mzalishaji anataka /angependa avune kingi zaidi katika shamba lake analolima. Kwa kutumia GMO mkulima anafikia lengo hilo japo sio kwa 100%
2. Mkulima yeyote anapenda afikie mazao (mavuno) ndani ya muda mfupi. Kwa kutumia GMO mkulima anafikia lengo hilo japokuwa atasumbuka kidogo. Usisahau kwamba kufaulu kibiashara ni pamoja na kuwahi sokani.
Kwa ufupi ni kwamba "Kila kilicho chema hakikosi gharama"
 
Wataalamu wa kilimo mtusaidie, nini kimepelekea mbegu zetu za asiki kuonekana hazifai mbele ya GMO?
1.Kila mkulima mzalishaji anataka /angependa avune kingi zaidi katika shamba lake analolima. Kwa kutumia GMO mkulima anafikia lengo hilo japo sio kwa 100%
2. Mkulima yeyote anapenda afikie mazao (mavuno) ndani ya muda mfupi. Kwa kutumia GMO mkulima anafikia lengo hilo japokuwa atasumbuka kidogo. Usisahau kwamba kufaulu kibiashara ni pamoja na kuwahi sokani.
Kwa ufupi ni kwamba "Kila kilicho chema hakikosi gharama"
Sawa hujajibu hoja hizi
1. Usalama kiafya
2. Kushambuliwa sana na wadudu.
3. Kwa Nini huwezi kureplant kumpunguzia gharama mkulima.
 
Nadhani Sasa niwakati wa kurudi kwenye asili mm hata nikipata punje 5 tu za maindi ya asili zitanitosha kuanza kuzirejesha maana nitazilima mpaka nipate mbegu ya kutosha
Kusini zipo nyingi, zinavumilia magonjwa, ukame na hata hali ya magugu. Pia gamba lake imara
 
Wasomi na wataalamu wetu uchwara wa Kilimo ndio wamekuwa wanapigia Debe GMO kwa kutumia lugha ya Udanganyifu ya "Mbegu Bora za Kisasa zinazokabiliana na Mabadiliko ya Hali ya Hewa" mimi na wewe tukisema ni GMO na hazifai tunaonekana mbumbumbu.
Hayo maresearch wanayofanya ya utafiti wa hizo mbegu bora yanafadhiliwa na Makampuni makubwa ya Biashara ya Chakula na Madawa duniani. Hivyo hata report za hizo tafiti ni udanganyifu mkubwa kwa umma.
 
Tule muhindi wenye inbuilt pesticides na Bado tutumie pesticides .
Ni tunakula chakula Cha kiwandani ( Synthetical ).

Mbegu huwezi kuzitumia sababu ya Terminal Gene na imewekwa maksudi na kimkakati ili urudi kununua Tena Mana ingeachwa free mngetokomea.

Shida itazidi kumea Mana wao ndio wanaoleta hz technolojia na Ni hao hao toa hela kwaajili ya tafiti.
GMO ni chemical engineered.
Shule + Sekta Binafsi bila kusahau sekta za serikali Hawa ndio maofisa kampeni wa mpango huu feki.
 
Umezungumza vyema kiongozi
Binafsi naungana na Huyu jamaa.

1. Mbegu za asili zimepotea.

2. Zamami kipindi cha kilimo mbegu tulichota kwenye magala yetu.

3. Mbegu za kisasa huwezi kureplant ukishaipanda ndo imetoka hiyo.

4. Matokeo yale watu wamekuwa watumwa wa kununua mbegu kila msimu.

5. GMO zinashambuliwa sana na wadudu kwa hiyo kuna utumwa wa kununua fertilizers (mbolea).

6. Sina uhakika kama GMO ni bora kwa afya.

7. Kingine, GMO ukiangalia kwa umakini zinapunguza fertility ya aridhi.

Wataalamu wa kilimo mtusaidie, nini kimepelekea mbegu zetu za asiki kuonekana hazifai mbele ya GMO?


View attachment 2433162
 
Sio ajabu matoto ya 2000 yanaonekana kuzeeka, hindi lililotakiwa kukomaa kwa miezi 6 linakomaa miez 2 linaliwa anaekula atakomaa kwa miez 2.

Kuku wakuliwa miez 6 anakomaa wiki 2 ya 3 analiwa, atakae kula atakomaa kwa wiki 2. Mwembe wakukua na kutoa matunda baada ya miaka 4-6 utakua kwa miez 6 na utatoa matunda, bint atakae kula hilo tunda ataota matiti at 9 yrs. New world s comin

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Because we are what we eat. Ntakubali kuna mchango labda miili itaiga maana biological clock inasomama na mazingira zaidi kuliko ule muda ideally wa mashine(saa)

Utafiti zaidi unahitajika though
 
Nchi hii ni kubwa sana, kama bado unahitaji kutumia vitu local mfano mbegu za nafaka au wanyama tafuta naamini utapata
Tanzania ikiwa kama nchi inayozidi kuendelea kila uchwao kwa idadi ya watu n.k haiwezi kukidhi mahitaji kwa kuendelea kutegemea local source, mfano itakuhitaji miezi si chin ya 5 kufuga kuku wa asili hadi kuchinjwa, kiuhalisia hata tungefuga vipi isingekidhi mahitaji vinginevyo nyama ya kuku ingekua ghari na inayoliwa na watu wachache wenye kipato ndo maana wataalamu wakatafiti na kuja na broiler breed ambayo ina fast gtowth ili kutatua changamoto hii, unapotaka kuboresha kitu lazima kuna vingine vitahatibika, broiler ana high growth rate but yupo na weak health immunity, kinyume cha local breeds, wana slow growth rate ila immunity yao ya kustahimili magonjwa na majanga ipo high, so ili kufix hio ndio wanazidi kila uchwao kutafuta madawa ili tu waendane na ukuaji haraka bila kuathiriwa na magonjwa
Hivyo hivyo kwenye kilimo, wataalamu wanapohangaika kutafuta mbegu bora ni sababu ya population kuongezeka so demand inakua kubwa wakati huo hizi mbegu za asili mfano mahindi yanatumia muda mrefu sana hadi kuvunwa so wanajikita kutafuta mbegu yenye kuzaa sana na kutumia muda mfupi hadi kuvuna
Hapa napo still changamoto zipo maana wanazidi tatua hili ila linaubuka lingine, hata mbegu za kisasa zinakumbana na zahma kama za broiler kukosa kinga ya asili ndio maana tafiti bado hazijakoma
Tuendelee kuwaombea na kuwashauri wataalamu wetu ili tutatue hizi changamoto kuliko kutaka kuwaza mambo ya kale wakati hua kulikua hakuna population kubwa, kulikua hakuna mambo ya tabia ya nchi kuharibiwa na shughuli zetu wenyewe
Kuhusu kua na madhara kiafya, yeah naamini hivyo pia zinamadhara ila ndio hayaepukiki
Mwisho: katika matangazo kuna ukwel na blah blah za kuvutia wateja so kila wanachosema kuna akisi ukweli
Shukran!!
 
Back
Top Bottom