IT kwa Tanzania ni kituko. Inakuwaje ni nadra kuwakuta waliotajirika? Hawazioni Fursa au ni watupu?

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,032
Ni kawaida sana kusikia katika dunia ya sasa vijana wanachana msamba zaidi ya kupiga hatua kupitia idea za Digital Platforms pindi wakimaliza kozi zao za Computer Science, Computer Engineering, IT, Software engineering, Cyber nini nini huko na kozi nyingine

Ni IT wachache mnooooo wameweza kutajirika na ujasiriamali wa digital platdorms. Naemjua kwa sasa ni Nala ila huyu naona anapata boost sana kutoka kwenye familia aliyotoka,, wengine ni yule jamaa wa Max Malipo alilipwa pesa takribani bilioni toka hapo sijamsikia, bila kumsahau Maxence mwanzilishi wa huu mtandao maarufu hapa nchin nae si haba.

Ajabu ni kwamba hadi sasa alieweza kutoboa zaidi wala hakusomea IT, ni mtu aliesomea mambo ya uhasibu ila alikomaa kwenye IT akauza platform yake ya mambo ya kuuza gesi wakampa bilioni 50.

Wengine wapo bize kuiba account za Fb utakuta account ya dada yako inapost picha za uchi huko magroup ya sauzi kumbe kuna jangili anaitumia ili apate pesa za blogging, hapa penyewe wengi wanaambulia milioni kwa mwezi, (wapo wanaopiga hadi 10 ila wachache)
 
IT wa Tanzania ni hatari.

yani hawajua cooperate programming, mtu hajuu kutumia github (anajua tu ku clone au ku create new repository),

ziro kabisa kwenye matumizi ya AWS, Azure , Google Cloud etc au confluence hata kuandaka documentations kwa code wanazo andika hawawezi.

Swala lingine tena hata ku deal na bottleneck hawawezi, threading and parallelization hawajui unaskia bro kwa hiyo nini??

Mtu unamwambia wewe huja qualify ananza kulia na kuomba umsaidie.

Mm nimesima economic lkn nahisi najua mambo ya computer kuliko IT wa bongo mwenye GPA ya 4.4 kwenye Masters In Software Engineering
 
IT wa Tanzania ni hatari.

yani hawajua cooperate programming, mtu hajuu kutumia github (anajua tu ku clone au ku create new repository),

ziro kabisa kwenye matumizi ya AWS, Azure , Google Cloud etc au confluence hata kuandaka documentations kwa code wanazo andika hawawezi.

Swala lingine tena hata ku deal na bottleneck hawawezi, threading and parallelization hawajui unaskia bro kwa hiyo nini??

Mtu unamwambia wewe huja qualify ananza kulia na kuomba umsaidie.

Mm nimesima economic lkn nahisi najua mambo ya computer kuliko IT wa bongo mwenye GPA ya 4.4 kwenye Masters In Software Engineering
Unamaanisha nini ukisema unajua mambo ya computer? Theoretically au kwa vitendo pia. Je umewahi shiriki kwenye kufanya project yoyote ya Software?
 
Ni kawaida sana kusikia katika dunia ya sasa vijana wanachana msamba zaidi ya kupiga hatua kupitia idea za Digital Platforms pindi wakimaliza kozi zao za Computer Science, Computer Engineering, IT, Software engineering, Cyber nini nini huko na kozi nyingine

Ni IT wachache mnooooo wameweza kutajirika na ujasiriamali wa digital platdorms. Naemjua kwa sasa ni Nala ila huyu naona anapata boost sana kutoka kwenye familia aliyotoka,, wengine ni yule jamaa wa Max Malipo alilipwa bilioni akanunua range kali sana ya mamia ya mamilioni toka hapo sijamsikia.

Ajabu ni kwamba hadi sasa alieweza kutoboa zaidi wala hakusomea IT, ni mtu aliesomea mambo ya uhasibu ila alikomaa kwenye IT akauza platform yake ya mambo ya kuuza gesi wakampa bilioni 50.

Wengine wapo bize kuiba account za Fb utakuta account ya dada yako inapost picha za uchi huko magroup ya sauzi kumbe kuna jangili anaitumia ili apate pesa za blogging, hapa penyewe wengi wanaambulia milioni kwa mwezi, (wapo wanaopiga hadi 10 ila wachache)
Hata huko nje Ma IT sio Matajiri, IT sio field ya kumfanya mtu awe tajiri, wapo waliosoma IT wachache ambao pia wana vipaji vya Ujasiriamali wametoboa kwa kujiajiri.

Pia Tanzania wapo IT wengi wametoboa, pengine tunao wengi kuliko Nchi nyengine za Ki Africa.

Marehemu Ali Mufuruki Founder wa Infotech, aliwahi kumiliki Part ya Vodacom, Yeye pia ndio alituletea Fiber Zuku. Huyu jamaa alikua ni Tajiri kucompete Na Kina Mengi, Manji, Bakhresa etc. Moja ya IT wakubwa kabisa kutokea Africa na speech zake TED na kwengineko zinaangaliwa na mamilioni


Zipo kampuni kama Nala, Max Malipo, Selcom etc zimefanya vizuri tu.
 
Hata huko nje Ma IT sio Matajiri, IT sio field ya kumfanya mtu awe tajiri, wapo waliosoma IT wachache ambao pia wana vipaji vya Ujasiriamali wametoboa kwa kujiajiri.

Pia Tanzania wapo IT wengi wametoboa, pengine tunao wengi kuliko Nchi nyengine za Ki Africa.

Marehemu Ali Mufuruki Founder wa Infotech, aliwahi kumiliki Part ya Vodacom, Yeye pia ndio alituletea Fiber Zuku. Huyu jamaa alikua ni Tajiri kucompete Na Kina Mengi, Manji, Bakhresa etc. Moja ya IT wakubwa kabisa kutokea Africa na speech zake TED na kwengineko zinaangaliwa na mamilioni


Zipo kampuni kama Nala, Max Malipo, Selcom etc zimefanya vizuri tu.

Marehemu Aly Mafuriki nae aliupiga mwingi.... Rest in Peace
 
Dogo anaupiga mwingi
Screenshot_2023-06-05-13-18-35-201_com.instagram.android.jpg
 
Mwisho wa siku tukubaliane tu kua kuna watu wanapiga hela nyingi sema ndo huwajui au hujawasikia au hujuani nao.
Kingine It imegawanyika ni Pana sana
Namjua mtu kwa hela ya android app kajenga nyumba ya Zaid ya milioni 100 mbezi na kahamia mwaka 1 tu baada ya Kumaliza chuo ud. Haya pia ni mafanikio
Huyo magila aliuza app yake kwa tigo akakunja Zaid ya milion 400. Bado a napiga kazi na serikali ya Tanzania na Congo kwenye ishu za mifumo.
 
Back
Top Bottom