Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,601
- 4,087
- Thread starter
- #81
Nina mashaka huyo mke atakua ni wakichina na wazazi wake wanafahamu, ndiomaana wakakubali kutoka Hero to Zero
NI WA KIAFRIKA MKUU.
Nina mashaka huyo mke atakua ni wakichina na wazazi wake wanafahamu, ndiomaana wakakubali kutoka Hero to Zero
mkuu nimetolea mfano tu
MKE AKUVURUGE AU ASIKUVURUGE,
KIPENGELE CHA PUNGUZO MURUWA LA MAHARI NI MUHIMU!
hutaki kuoa weweWakuu,
Baada ya mbinde ya miezi kama mitatu hivi ya kubishana na upande wa ukweni kuhusu kipengele cha mahari hadi nikaweka mgomo na kuzila kuwa nimeghairi kuoa kwenyewe,
Hatimaye jana wamekubali kushuka kutoka Milioni 2.5 mpaka 145,000/= ambayo angalau inakaribia laki 1 ambayo nd'o niliipanga kwa upande wangu.
Na nimeshawapiga biti kuwa sitaki wanihusishe kwenye gharama za upuuzi wa sendiofu wala pumba gani.
-----------
Sasa wakuu,
Hapa nataka wataalam wa bajeti wanichanganulie hii elfu 95 yangu niliyobakiwa nayo
ili niweze kukamilisha shughuli ya ndoa.
Angalizo:
Usafiri nishapata Starlet ya mchizi wangu ya kutupakia maharusi,
kaniambia,
"Do not have worry #SENETA_WA_MTWIZ,
I'll offer you for free".
Na kuna jirani yetu hapa kitaa anamiliki Suzuki_Kirikuu na ina turubai- hivyo ndugu watabebwa humo.
Watu wengine watajitegemea usafiri,
Hata wakitembea kwa miguu sio mbaya,
itawasaidia kufanya mazoezi.
Wakuu,
Pigeni bajeti ya gharama zingine tu,
Ila kanzu na barakashia ninavyo,
Na gauni la Bi. Harusi kuna dada'angu atatoa msaada katika hilo.
Na nimewaambia vitu vingine vya kijingakijinga sijui Koti la babu, Shuka ya bibi, Chupi ya shangazi n.k
Sivitaki kabisa!
Kwani siku zote walikuwa wanavaa nini?!?!
HAIWEZEKANI SHUGHULI YA SIKU 1
INIGHARIMU HELA YA KUJUTIA KIPINDI KIREFU!
SHENZI KABISA!!!
Mahari huwa haimalizwagi kaka,mie nilianziwa 16mill nikalia nao mpaka nikala pin kwenye lak8 nikatoa nusu 400,000/= nyengine nikaahidi kulipa hadi leo ndoa imefungwa mwaka wa nne huu cent tano sijapeleka naona wenyewe wamekaa kimya sasa sijui wameelewa kiutu uzima sijui.ila vijana wanaogopa kuoa maana wakifikiria suala la mahari basi wanakata tamaa ni vizuri kama wazazi wakaliangalia hili kwa kupanga kiasi cha mahari kitakachokuwa nafuu kwa vijana.
Acha bangi mtoa mada ndipo uende kuoa
Niwie radhi mkuu, mara nyingi mambo yanakuwa mengi, lakini mimi na wewe tumetoka mbali.
Hahaha mkuu wewe n zaid ya hatar....
frm 2.5 to 195K....,u r kidding bruh hy discount c ya nchi hii kbs
safi sana lazima wakwe wakukome
hutaki kuoa wewe
mi mahari muhusika mwenyew aliniambia toa buku ili tukigombana na kuachana iwe rahisi kurudisha buku yako
Kwa Upande wa wenzetu waislamu, Hiyo bajeti inaendana kabisa na gharama za harusi zao,
sisi huku mahali tu si chinia ya 1M + Usafiri, kulala, timu itakayokusindikiza n.k hapo lazima uwe na not less than 2M.
Umenifurahisha sana maana unaonyesha unamikwaraWakuu,
Baada ya mbinde ya miezi kama mitatu hivi ya kubishana na upande wa ukweni kuhusu kipengele cha mahari hadi nikaweka mgomo na kuzila kuwa nimeghairi kuoa kwenyewe,
Hatimaye jana wamekubali kushuka kutoka Milioni 2.5 mpaka 145,000/= ambayo angalau inakaribia laki 1 ambayo nd'o niliipanga kwa upande wangu.
Na nimeshawapiga biti kuwa sitaki wanihusishe kwenye gharama za upuuzi wa sendiofu wala pumba gani.
-----------
Sasa wakuu,
Hapa nataka wataalam wa bajeti wanichanganulie hii elfu 95 yangu niliyobakiwa nayo
ili niweze kukamilisha shughuli ya ndoa.
Angalizo:
Usafiri nishapata Starlet ya mchizi wangu ya kutupakia maharusi,
kaniambia,
"Do not have worry #SENETA_WA_MTWIZ,
I'll offer you for free".
Na kuna jirani yetu hapa kitaa anamiliki Suzuki_Kirikuu na ina turubai- hivyo ndugu watabebwa humo.
Watu wengine watajitegemea usafiri,
Hata wakitembea kwa miguu sio mbaya,
itawasaidia kufanya mazoezi.
Wakuu,
Pigeni bajeti ya gharama zingine tu,
Ila kanzu na barakashia ninavyo,
Na gauni la Bi. Harusi kuna dada'angu atatoa msaada katika hilo.
Na nimewaambia vitu vingine vya kijingakijinga sijui Koti la babu, Shuka ya bibi, Chupi ya shangazi n.k
Sivitaki kabisa!
Kwani siku zote walikuwa wanavaa nini?!?!
HAIWEZEKANI SHUGHULI YA SIKU 1
INIGHARIMU HELA YA KUJUTIA KIPINDI KIREFU!
SHENZI KABISA!!!
Mill 16 si mtaji huoMahari huwa haimalizwagi kaka,mie nilianziwa 16mill nikalia nao mpaka nikala pin kwenye lak8 nikatoa nusu 400,000/= nyengine nikaahidi kulipa hadi leo ndoa imefungwa mwaka wa nne huu cent tano sijapeleka naona wenyewe wamekaa kimya sasa sijui wameelewa kiutu uzima sijui.ila vijana wanaogopa kuoa maana wakifikiria suala la mahari basi wanakata tamaa ni vizuri kama wazazi wakaliangalia hili kwa kupanga kiasi cha mahari kitakachokuwa nafuu kwa vijana.
Umenifurahisha sana maana unaonyesha unamikwara