colin_morgan
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,443
- 2,895
nani kakuambia??? mm binafsi nimepigwa 2m na hainaga kupatana kwa kwel inategemea na famly na makubaliano yenu na mwanamke mwenyew but ukwel sio rahisKwa waislamu mahari ni kiasi kidogo sana nasikia. Sisi wakristo ndio wazee wanatafutia mtaji kabisa hapo hapo