Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,601
- 4,086
- Thread starter
- #61
Kwa kweli umefanya la maana tatizo ni kwamba ulivyoiandika inachekesha maana hapa ni kicheko tu kama tuko 8 hapa ndani kumbe peke Yangu.
Suala la harusi linagarimu fedha nyingi sana na likiisha unaanza kuwachangia waliokuchangia yaani mfumo mbovu sana huu .
Baada ya miaka kadha ndio mnaanza kufikiria maendeleo binafsi
MKUU,
NA UPUUZI WA MICHANGO NISHAUKATAA!!!
SITAKI NIJE KUSUMBULIWA NA WATU WANAODAI MICHANGO YA HARUSI MIMI!!!