Wasukuma ni jamii ambayo bado sana kustaarabika

Wasukuma ni jamii ambayo bado sana kustaarabika

Mimi kuna jamaa yangu msukuma yupo hapo ifakara,kuna siku nikamtembelea baada ya msosi heavy wa mchana, nikaona anachukua jembe akanipa code kuwa oyaa dakika sifuri naenda kutaga kwanza,sikuelewa ile code vizuri,alivyorudi ndo akaniambia alienda kunya porini ,huwa wanachimba shimo wanakunya then wanafukia.
Nikachokaa
Miye nilikuwa sijui aisee maana hata Ifakara sikuona hayo. Ila kule Namawala kijijini nilishanhaa sana aisee. Tena wanajenga choo cha kisanii kabisa lakini hawakitumii na maji yapo toopu
 
Una uhakika ni wasukuma au ni akina dudukwe ?
FB_IMG_1755810676329.jpg
 
Ila wasukuma na ustaarabu =0

Vyoo vya umma usukumani vimejaa maandishi yaliyoandikwa kwa mkono na wino ni inya,,

Ndio jamii ambayo mpk leo watu wake wengi hawana vyoo majumbani,, hata kwenye kula chakula ile ya kula kwenye sinia mtu kula mbele ya mwenzie kawaida tu,,

Kunawia bakuli moja watu 10 kawaida tu, na maji yao wanatenga kwenye kibakuli sio kumimina kutoka kwenye jagi,
 
Hii story yako ni UONGO 100% labda kama hukuwa na thread ya maana kuleta humu ukaona uibukie kwa Wasukuma
 
Ndo maana kampuni Bora za mabasi haziendi huko
Kampuni Zipi bora hizo!??

Ubora wa Hizo kampuni unapima nini hasa!??

Na ueleze kampuni za Mabus zinazoenda kanda ya Kusini, Nyanda ya Juu kusini, Magharibi na huko kaskazini na kati inazidi nini kampuni za kanda ya ziwa!??


Kusini naomba uelewe kusini hakuja bus hata moja zenye ubora kuzidi Zinazoenda Ziwa, Nyanda ya juu kusini kuna gari ipi ambayo ni ya maana sana kuzidi za ziwa!?

Abood, Malessa, allys, Katarama, Nyehunge, Ahsanteh Rabi,kemoboskaizirege,Superfeo, Johanvia Sama, Shigaka na baadhi hawa wote wanaenda Ziwa hebu nieleze kwa mifano na maelezo ya kutisha wanazidiwa kwa kipi na hizo kampuni unazoita Bora kwa hiyo kanda uliyopp wewe!?
 
Juzi tulikua tunasafiri na bus la Allys star lile VIP lenye choo ndani kutoka Dar kuja Mwanza.

Safari ilianzia pale stand ya Magufuli,dakika chache baada ya safari kuanza yule mhudumu wa kike akatutangazia safari yetu itakua na vituo kadhaa vya kuchimba dawa ila akasema kama mtu atapatwa na changamoto ya tumbo kuvurugika asisite kusema ili dereva asimamishe gari na mtu husika ajisaidie.

Mhudumu akazidi kusisitiza kuwa ile choo ndani ya bus ni kwa ajili ya matumizi ya haja ndogo tu.

Cha kushangaza kabla hata hatujafika Morogoro,kuna binti mmoja wa kisukuma akaingia chooni,kumbe alivyoingia chooni yeye alikata gogo,mara harufu ikaenea bus zima,mhudumu alivyomfuata kumuuliza kulikoni akasema tumbo limemkata ghafla,wakazozana hapo weeee kisha mhudumu akaamua tu kumwaga maji yenye sabuni walau kukata ile harufu.kila mtu pale kwenye bus akawa anamshambulia kwa maneno yule binti wa kisukuma kwa alichokifanya.

Hatujafika hata Dodoma mshikaji mwingine nae kaingia chooni kakata gogo harufu ikaenea tena ndani ya bus,baada ya kuzozana sana ikabidi dereva aingie hotelini gari lisafishwe kwanza.

Nimegundua wasukuma ni jamii ambayo suala la ustaarabu bado sana kwa upande wao.
Logical non sequitur fallacy.

Mimi Msukuma wa New York City ninayepiga mswaki wa umeme wenye Bluetooth connection mpaka kwenye simu yangu nakataa kuhusisha tabia za watu binafsi na makabila yao.

Na vyombo vya usafiri vyenye vyoo havitakiwi kuwapangia watu wajisaidie haja ndogo tu, kwa sababu kuna watu wanaumwa matumbo hawataweza kuvumilia. Inatakiwa wafanyakazi wa basi wajipange kufanya usafi vizuri kusiwe na changamoto kama hizi.

Unamuwekeaje mtu choo kwenye gari halafu umpangie ajisaidie haja ndogo tu? Unampangiaje mtu jinsi ya kujisaidia chooni ajisaidie haja ndogo tu?

Si bora wangesema kabisa basi halina choo.
 
Juzi tulikua tunasafiri na bus la Allys star lile VIP lenye choo ndani kutoka Dar kuja Mwanza.

Safari ilianzia pale stand ya Magufuli,dakika chache baada ya safari kuanza yule mhudumu wa kike akatutangazia safari yetu itakua na vituo kadhaa vya kuchimba dawa ila akasema kama mtu atapatwa na changamoto ya tumbo kuvurugika asisite kusema ili dereva asimamishe gari na mtu husika ajisaidie.

Mhudumu akazidi kusisitiza kuwa ile choo ndani ya bus ni kwa ajili ya matumizi ya haja ndogo tu.

Cha kushangaza kabla hata hatujafika Morogoro,kuna binti mmoja wa kisukuma akaingia chooni,kumbe alivyoingia chooni yeye alikata gogo,mara harufu ikaenea bus zima,mhudumu alivyomfuata kumuuliza kulikoni akasema tumbo limemkata ghafla,wakazozana hapo weeee kisha mhudumu akaamua tu kumwaga maji yenye sabuni walau kukata ile harufu.kila mtu pale kwenye bus akawa anamshambulia kwa maneno yule binti wa kisukuma kwa alichokifanya.

Hatujafika hata Dodoma mshikaji mwingine nae kaingia chooni kakata gogo harufu ikaenea tena ndani ya bus,baada ya kuzozana sana ikabidi dereva aingie hotelini gari lisafishwe kwanza.

Nimegundua wasukuma ni jamii ambayo suala la ustaarabu bado sana kwa upande wao.
Hili ndo ulipanda? Hukuniona nikiwa nimekaa siti ya pale mbele karibu na mlango?

BF8D79ED-41E8-4ED7-97CC-4C9B9CCF28CF.jpeg
 
Kuna hawa wamasai wa huku Chalinze wanakata mabomba ili Ng'ombe wao wanywe maji porini huku, kwenye vitongoji raia wanakosa maji
Kiufupi jamii za wafugaji ni mtihani mnooo kuishi nazoo
 
Huko kanda ya ziwa ustarabu kwa watu ni sifuri. 2015 tuliwahi kwenda na jamaa yangu mahali flani pembezoni mwa Lake Victoria asee tulikuta shore yote umbali kama wa two kilometres ni kinyesi tu kimetapaka mbaya zaidi wanakata gogo wanafukia na mchanga ule wa ziwani Mawimbi ya kija yanafukua.
Tulitembea umbali mrefu hali ni ileile ni kwamba kijiji kile kizima hakuna ambae ana choo wala bafu wanategemea fukwe kama mbadala .
 
Huko kanda ya ziwa ustarabu kwa watu ni sifuri. 2015 tuliwahi kwenda na jamaa yangu mahali flani pembezoni mwa Lake Victoria asee tulikuta shore yote umbali kama wa two kilometres ni kinyesi tu kimetapaka mbaya zaidi wanakata gogo wanafukia na mchanga ule wa ziwani Mawimbi ya kija yanafukua.
Tulitembea umbali mrefu hali ni ileile ni kwamba kijiji kile kizima hakuna ambae ana choo wala bafu wanategemea fukwe kama mbadala .
Hapana.

Kote Tanzania tabia zisizo za kistaarabu zipo nyingi tu na ni kutoka kwenye jamii nyingi.

Majuzi tu hapa nilikuwa Mtwara, maeneo ya Mikindani.

Kote huko tabia za kishenzi shenzi niliziona.
 
Hapana.

Kote Tanzania tabia zisizo za kistaarabu zipo nyingi tu na ni kutoka kwenye jamii nyingi.

Majuzi tu hapa nilikuwa Mtwara, maeneo ya Mikindani.

Kote huko tabia za kishenzi shenzi niliziona.
Ni kweli sio Tanzania tu nadhani ni Dunia kote kila sehemu utakuta kuna tabia zisizo za kistaarabu. Ila tunacho ongelea hapa ni rate ya huo ustarabu kuna kuwa na utofauti mkubwa kati ya eneo moja na mengine
 
Juzi tulikua tunasafiri na bus la Allys star lile VIP lenye choo ndani kutoka Dar kuja Mwanza.

Safari ilianzia pale stand ya Magufuli,dakika chache baada ya safari kuanza yule mhudumu wa kike akatutangazia safari yetu itakua na vituo kadhaa vya kuchimba dawa ila akasema kama mtu atapatwa na changamoto ya tumbo kuvurugika asisite kusema ili dereva asimamishe gari na mtu husika ajisaidie.

Mhudumu akazidi kusisitiza kuwa ile choo ndani ya bus ni kwa ajili ya matumizi ya haja ndogo tu.

Cha kushangaza kabla hata hatujafika Morogoro,kuna binti mmoja wa kisukuma akaingia chooni,kumbe alivyoingia chooni yeye alikata gogo,mara harufu ikaenea bus zima,mhudumu alivyomfuata kumuuliza kulikoni akasema tumbo limemkata ghafla,wakazozana hapo weeee kisha mhudumu akaamua tu kumwaga maji yenye sabuni walau kukata ile harufu.kila mtu pale kwenye bus akawa anamshambulia kwa maneno yule binti wa kisukuma kwa alichokifanya.

Hatujafika hata Dodoma mshikaji mwingine nae kaingia chooni kakata gogo harufu ikaenea tena ndani ya bus,baada ya kuzozana sana ikabidi dereva aingie hotelini gari lisafishwe kwanza.

Nimegundua wasukuma ni jamii ambayo suala la ustaarabu bado sana kwa upande wao.
Kabla ya kukashifu kabila la wengine taja kwanza kabila lako.
 
Ni kwamba huyo binti na huyo jamaa walijitambulisha kama ni Wasukuma, au kila anayekwenda Mwanza akitokea Dar, ni Msukuma? Nauliza hivi kwa sababu ni siku chache tu zimepita tangu nilipo panda basi la kampuni hiyo hiyo ya la Ally's lenye choo ndani.

Kiukweli nilifurahia sana huduma yao. Full AC, viblanket vya kijifunika kila abiria (by the way mimi sikutumia), leather seat, screen ndogo nyuma ya kila siti huku ikiwa na access ya kuangalia muvi, pia nimeona kuna app ya jamii forums! Mbele kuna screen kubwa iliyounganishwa na Azam Media! Kwa hiyo unaiangalia CHAN live! Siti zake ni 1 by 2!!
Kusema eti hao ni Wasukuma kwa vile basi ni la kwenda Mwanza hiyo itakuwa exergeration. Labda angesema abiria hao WANA CCM ni wabishi mno maana wao wanafahamika kuwa hata uwape ushahidi kiasi gani wao kuelewa na kukubali ukweli ni sawa na hao wanao ku..a ndani ya Basi la Ally's.
Ona wanavyo mbishia Polepole kuhusu mahusiano ya mifumo ya NIDA na INEC wakati mkuu wa TEHAMA wa NIDA alishasema hadharani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom