Wasukuma acheni ulimbukeni kwenye mapenzi

Wasukuma acheni ulimbukeni kwenye mapenzi

Yaani hawa watu washamba sana kwenye mahusiano wanahonga sana na wakiwa kwenye ndoa anaendeshwa sana yaani mpaka aibu maana kuna mmoja nakaa nae hapa yaani ni balaa deki apige yeye, afue, aogeshe watoto limwanamke limekaa tu linabenjua mdomo na sio huyo wasukuma wengi kwenye mapenzi na ndani ya ndoa ni mazezeta sana.
sirudi kijijini.
Mkuu Molembe, huo sio ulimbukeni, ndio kupenda kwenyewe huko, na haswa huyo mwanamke kama ni cheupe, tuko tayari kufanya chochote in the name of love, tukipenda, tumependa, hata mimi, kwa wanaonijua in reality, nilikuwaga na benzi, nimehonga, sasa natembelea bajaji, nilikuwa na nyumba tena ghorofa Mbezi Beach, nimehonga kwa cheupe fulani, sasa naishi kwa Mtogole na sijutii, hadi leo hadi kesho, sijilaumu!. Ndio zetu.
P
 
Mkuu Molembe, huo sio ulimbukeni, ndio kupenda kwenyewe huko, na haswa huyo mwanamke kama ni cheupe, tuko tayari kufanya chochote in the name of love, tukipenda, tumependa, hata mimi, kwa wanaonijua in reality, nilikuwaga na benzi, nimehonga, sasa natembelea bajaji, nilikuwa na nyumba tena ghorofa Mbezi Beach, nimehonga kwa cheupe fulani, sasa naishi kwa Mtogole na sijutii, hadi leo hadi kesho, sijilaumu!. Ndio zetu.
P
wambie kabisaa
 
Yaani hawa watu washamba sana kwenye mahusiano wanahonga sana na wakiwa kwenye ndoa anaendeshwa sana yaani mpaka aibu maana kuna mmoja nakaa nae hapa yaani ni balaa deki apige yeye, afue, aogeshe watoto limwanamke limekaa tu linabenjua mdomo na sio huyo wasukuma wengi kwenye mapenzi na ndani ya ndoa ni mazezeta sana.
sirudi kijijini.
Wasukuma wote si sawa, acha ukabila.
 
Mkuu Molembe, huo sio ulimbukeni, ndio kupenda kwenyewe huko, na haswa huyo mwanamke kama ni cheupe, tuko tayari kufanya chochote in the name of love, tukipenda, tumependa, hata mimi, kwa wanaonijua in reality, nilikuwaga na benzi, nimehonga, sasa natembelea bajaji, nilikuwa na nyumba tena ghorofa Mbezi Beach, nimehonga kwa cheupe fulani, sasa naishi kwa Mtogole na sijutii, hadi leo hadi kesho, sijilaumu!. Ndio zetu.
P

Aaah we jamaa nenda clinic ya akili wahi mapema not for that extent
 
Natamani ningeolewa na msukuma,Wasukuma wanajua kupenda,sio hawa wahutu wa Burundi,usiombe uolewe na mhutu
Asante mama. Tumefundishwa kuwajali wanawake na wake zetu.

Mimi mke wangu kupata shida wakati nina uwezo wa kum spoil spoil na kum pet pet naona kama sijakamilisha kitu muhimu sana katika maisha.
 
Mkuu Molembe, huo sio ulimbukeni, ndio kupenda kwenyewe huko, na haswa huyo mwanamke kama ni cheupe, tuko tayari kufanya chochote in the name of love, tukipenda, tumependa, hata mimi, kwa wanaonijua in reality, nilikuwaga na benzi, nimehonga, sasa natembelea bajaji, nilikuwa na nyumba tena ghorofa Mbezi Beach, nimehonga kwa cheupe fulani, sasa naishi kwa Mtogole na sijutii, hadi leo hadi kesho, sijilaumu!. Ndio zetu.
P

Hahahaha Mayala naona umenizidi mimi nimehonga ka helicopter kangu kwa mmarangu mmoja mwezi uliopita tu sasa natembelea bodaboda!! Lakini natafuta pesa ninunue Dreamer-Liner karibu....!!
 
Mkuu Molembe, huo sio ulimbukeni, ndio kupenda kwenyewe huko, na haswa huyo mwanamke kama ni cheupe, tuko tayari kufanya chochote in the name of love, tukipenda, tumependa, hata mimi, kwa wanaonijua in reality, nilikuwaga na benzi, nimehonga, sasa natembelea bajaji, nilikuwa na nyumba tena ghorofa Mbezi Beach, nimehonga kwa cheupe fulani, sasa naishi kwa Mtogole na sijutii, hadi leo hadi kesho, sijilaumu!. Ndio zetu.
P

Hahahaha Mayala naona umenizidi mimi nimehonga ka helicopter kangu kwa mmarangu mmoja mwezi uliopita tu sasa natembelea bodaboda!! Lakini natafuta pesa ninunue Dreamer-Liner karibu....!!
 
Mkuu Molembe, huo sio ulimbukeni, ndio kupenda kwenyewe huko, na haswa huyo mwanamke kama ni cheupe, tuko tayari kufanya chochote in the name of love, tukipenda, tumependa, hata mimi, kwa wanaonijua in reality, nilikuwaga na benzi, nimehonga, sasa natembelea bajaji, nilikuwa na nyumba tena ghorofa Mbezi Beach, nimehonga kwa cheupe fulani, sasa naishi kwa Mtogole na sijutii, hadi leo hadi kesho, sijilaumu!. Ndio zetu.
P
Kumbe wewe jirani yangu huku kwetu Kwamtogole!!!
 
Back
Top Bottom