Wasukuma acheni ulimbukeni kwenye mapenzi

Wasukuma acheni ulimbukeni kwenye mapenzi

Mleta mada huna akili, una kalili ujinga na stori za kipuuzi, kwa taarifa yako tumeoa makabila mbalimbali na kwa asilimia kubwa tunaishi vizuri kwa furaha,
Mapenzi ni kujishusha we mjinga, hata ukiwa komandoo jiweke kama ndama mchanga ndpo utainjoy raha ya kuwa na manamke umpendaye,
Kwa mke wangu nipo radhi nimbebe mgongoni asitembee, ni wangu wa pekee,
A dedication to my lovely wife.
from a humble sukuma.
 
Nijuavyo mie wasukuma wanajua kupenda,mtu yeyote akipenda hatoona ajabu kutoa ama kufanya lolote kwa ajili ya mke wake,sasa wewe kama umeolewa na chagga au pale jipange kua mjasiliamali maana changu changu chako tafuta mwenyewe.natamani ningeolewa na msukuma mwenzangu
 
Nijuavyo mie wasukuma wanajua kupenda,mtu yeyote akipenda hatoona ajabu kutoa ama kufanya lolote kwa ajili ya mke wake,sasa wewe kama umeolewa na chagga au pale jipange kua mjasiliamali maana changu changu chako tafuta mwenyewe.natamani ningeolewa na msukuma mwenzangu
Gawiza Ng'wanike
 
Yaani hawa watu washamba sana kwenye mahusiano wanahonga sana na wakiwa kwenye ndoa anaendeshwa sana yaani mpaka aibu maana kuna mmoja nakaa nae hapa yaani ni balaa deki apige yeye, afue, aogeshe watoto limwanamke limekaa tu linabenjua mdomo na sio huyo wasukuma wengi kwenye mapenzi na ndani ya ndoa ni mazezeta sana.
sirudi kijijini.
ole nchilu chilu nyanda, mihayo ke yene?
 
Onywanoko ebe wilembaga duhu...jichanganye kwangu mm hapa msukuma utampa feedback alokutuma kuanzisha huu uzi
 
Wasukuma wananyanyasika apo anaosha vyombo, anafua, anatawaza mtoto, we mama umekaa pemben unakunja mdomo,.. Ndo mapenzi ayo?
Kusaidizana,yes ni mapenzi.Mbona wazungu wanaume wanaosha vyombo,kazi zote za ndani wanafanya.
 
Mkuu Molembe, huo sio ulimbukeni, ndio kupenda kwenyewe huko, na haswa huyo mwanamke kama ni cheupe, tuko tayari kufanya chochote in the name of love, tukipenda, tumependa, hata mimi, kwa wanaonijua in reality, nilikuwaga na benzi, nimehonga, sasa natembelea bajaji, nilikuwa na nyumba tena ghorofa Mbezi Beach, nimehonga kwa cheupe fulani, sasa naishi kwa Mtogole na sijutii, hadi leo hadi kesho, sijilaumu!. Ndio zetu.
P
Heshima yako mkuu. Nimeiona tashtiti !!!
 
hahahahaha!!,na mie ntatafuta msukuma


usidanganyike Mom Fay! hhakuna wanaume wabaya km wasukuma ni wakandamizaji kwa 100% sasa ww muombe kijiko utaona km atanyanyuka akupe ! yaan wenyewe neno MWANAUME wanahisg ni kumiliki 70% ya dunia! wakorofi sana tu !wanajificha kwenye mwamvuli wa kusema wanapenda sana hakuna lolote ! NI WENYE WIVU MBAYA SANA SANA SANA ! mie siamin mwanaume wmwenye wivu ndo anapenda !yuko radhi apande mtini amchungulie mkewe anarud na njia gan na anarud na nani !heheheh hao ndo wasukuma ! nimekutana na wanawake km 15 wameolewa na wasukuma kilio chao ni kimoja ! WIVU WA KITOTO !
 
Back
Top Bottom