Wasukuma acheni ulimbukeni kwenye mapenzi

Wasukuma acheni ulimbukeni kwenye mapenzi

Hivi kumbe wasukuma ndio tunafikiriwa hivyo,tutaanza kufanya Kama wakurya ndio muone mahusiano machungu
 
Ukileta romance kwa mwanamke wa kikurya anakushushua ''unaniramba ramba kwani mi ndama? Hebu fanya haraka nikalime!''
 
Kwani kumsaidia mpz wako kazi za nyumbani ni ulimbukeni ?? Acheni hizo hayo ni mapenzi ya wawili .mimi mwenyewe nilikuwa nafanya kazi zote za nyumbani nilikuwa najickia raha sana kumsaidia kazi za nyumbani ,kupika ,kuongesha wtt,kukosha vyombo hata kumfulia nguo zake mpz wangu .na hasa raha iliyo je kumfuria chupi zake na hata ham ya mzuka wa kale kamchezo unapanda ile mbaya ,tena na mmiss ile mbaya sasa hv alikuwa mpz wangu .hayo ni mapenzi badugu cyo ulimbukeni .wasukuma wanajua mpz ila baraha ukitaka kuowa .mahari zao ni majanga ni kuanzia 6mil na kuendelea ,hapo wananibored saaaana .ziki yao yote wanataka kukubebesha ,wanabored saaana na kunichafua rohoo
 
tuombe radhi wasukuma, Hayo ni madhaifu ya huyo jamaa unayemfahamu. upendo upo kweli lakini sio hayo usemayo. Tembelea usukumani ujifunze
 
Yaani hawa watu washamba sana kwenye mahusiano wanahonga sana na wakiwa kwenye ndoa wanaendeshwa sana yaani mpaka aibu maana kuna mmoja nakaa nae hapa yaani ni balaa deki apige yeye, afue, aogeshe watoto limwanamke limekaa tu linabenjua mdomo na sio huyo wasukuma wengi kwenye mapenzi na ndani ya ndoa ni mazezeta sana.
sirudi kijijini.

Nafikiri mtoa mada hajui nini maana ya mapenzi,ukikua utajua bro
 
Yaani hawa watu washamba sana kwenye mahusiano wanahonga sana na wakiwa kwenye ndoa anaendeshwa sana yaani mpaka aibu maana kuna mmoja nakaa nae hapa yaani ni balaa deki apige yeye, afue, aogeshe watoto limwanamke limekaa tu linabenjua mdomo na sio huyo wasukuma wengi kwenye mapenzi na ndani ya ndoa ni mazezeta sana.
sirudi kijijini.
Pilipili usiyoila yakuwasha nini?

Kama wanaume wa kisukuma wamelishwa limbwata na wake zao, wewe yakuuma nini?!
 
acha use.... nge ka mwambia .....maneno kama hayo yaki...kude
 
Kwani kumsaidia mpz wako kazi za nyumbani ni ulimbukeni ?? Acheni hizo hayo ni mapenzi ya wawili .mimi mwenyewe nilikuwa nafanya kazi zote za nyumbani nilikuwa najickia raha sana kumsaidia kazi za nyumbani ,kupika ,kuongesha wtt,kukosha vyombo hata kumfulia nguo zake mpz wangu .na hasa raha iliyo je kumfuria chupi zake na hata ham ya mzuka wa kale kamchezo unapanda ile mbaya ,tena na mmiss ile mbaya sasa hv alikuwa mpz wangu .hayo ni mapenzi badugu cyo ulimbukeni .wasukuma wanajua mpz ila baraha ukitaka kuowa .mahari zao ni majanga ni kuanzia 6mil na kuendelea ,hapo wananibored saaaana .ziki yao yote wanataka kukubebesha ,wanabored saaana na kunichafua rohoo

ha kumbe ni mill6 tu dah asee kesho namfuata irene wangu kumbe mahari rahisi namna hii
 
Back
Top Bottom