Wastani ni dk 5.4 kwa wanaume (6x6)

Wastani ni dk 5.4 kwa wanaume (6x6)

naunga mkono hoja yako mkuu lakini sio kwa hadhi ya gwajima awe ni mtu wa kujirekodi au kotoka na wasio na akili, na pia nadhani sio mara ya kwenza kufunya kama ni yeye kweli , kwa nini hapo kabla haijawai kutokea iwe leo?
Mkuu amini nakwambia kila mtu ana siri zake na mambo watu tunayoyaficha kwenye simu zetu yakitoka hadharani Tz itakuwa haitoshi..

Watu wanaojirecord wako wengi sana (tena sana) lakini wanaopata ajari ya video zao kuvuja ni wachache sana..
Ukitaka kuamini hilo tafute binti kesho uanze kuchati nae mbembeleze akitumie picha zake..kama una convincing power kubwa atakutumia hadi picha za ajabu ndio utajua kama Dunia tumefika pabaya...

Huko whatsapp picha za uchi wapenzi wanazotumiana ni nyingi sana ila zinazovuja ni chache
 
Shida ya kujitengenezea.. View attachment 1097923
lengo la sex ni uzazi hio ndio lengo kuu.pili ni kwajili ya starehe hususani wanadamu na hio inakua sambamba na huyo unaefanya nae. na hakuna aisie jua mwana mke huchelewa kuliko mwanaume sasa fikiri ile unaanza tu mwenzio kamaliza wakati wewe ndio kwanza bado utajisikiaje? ukikutana nashida hio ndio utajua
 
Mnajishauwa humu hakuna kwenye kiwango kama cha Mchungaji na atabaki kuwa mawinguni, nyau nyinyi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sasa pale si alikua analitafuta bao la pili mamiiii series lazima iwe ndefu
 
We nawe hata mbuzi wanakuzidi.. mwanamke akiandakiwa sec ni ndefu sana . Mbuzi mwenyewe anaandaa kitu hata kwa saa 1, jifunze
lengo la sex ni uzazi hio ndio lengo kuu.pili ni kwajili ya starehe hususani wanadamu na hio inakua sambamba na huyo unaefanya nae. na hakuna aisie jua mwana mke huchelewa kuliko mwanaume sasa fikiri ile unaanza tu mwenzio kamaliza wakati wewe ndio kwanza bado utajisikiaje? ukikutana nashida hio ndio utajua
 
We nawe hata mbuzi wanakuzidi.. mwanamke akiandakiwa sec ni ndefu sana . Mbuzi mwenyewe anaandaa kitu hata kwa saa 1, jifunze
[/QUOTE haya basi ngoja tukajifunze kwa mbuzi, maada ninao ila sikuwahi kujua ninaweza kupata darasa kwao.
 
Hio ni moja ya technique kama huwezi kuunga..lkn wengine tunaweza kuunga hivyo baada ya dk moja tunaunga na la pili..

Lkn bao la kwanza nusu saa huo ni uongo au abnormality
Mkuu tunatofautiana Mimi binafsi yangu nikiwahi gili la kwanza ni zaidi Ya Dakika kumi na sikumbuki mara Ya mwisho ni lini Ila goli la kwanza kawaida ni Kuanzia Dakika kumi na tano paka 45 ni mwendo kusakata kabumbu tu na nikiwa na hasira na Timu pinzani hapo nampeleka paka Dakika za nyongeza kma Bado timu inaleta ubishi naendelea naye droo paka kwenye matuta.
 
Mkuu tunatofautiana Mimi binafsi yangu nikiwahi gili la kwanza ni zaidi Ya Dakika kumi na sikumbuki mara Ya mwisho ni lini Ila goli la kwanza kawaida ni Kuanzia Dakika kumi na tano paka 45 ni mwendo kusakata kabumbu tu na nikiwa na hasira na Timu pinzani hapo nampeleka paka Dakika za nyongeza kma Bado timu inaleta ubishi naendelea naye droo paka kwenye matuta.
Hongera ila Yamkini una tatizo.. punda mwenyewe dk 1 ni nyingi.
 
Chini ya dakika 2 labda uwe unaunganisha.
La sivyo dk 10 zinatakiwa
 
Binafsi Mimi Unategemeana na Aina ya mwanamke. Kama mi mwanamke ninayempenda haswa nackanivutia hua naenda Kati ya dakka 3 Hadi 5, lakini kama simpendi na hajanivutia naweza hangaika hata dakka 10 bori la Kwanza tu na hapo nimezitafuta hisia Kwa mwanamke mwingine akilini.
 
Ni ngumu sana kukumbuka kuhesabu muda mbele ukiwa mbele ya puchi.. hizo dk 10 sijui ukizihesabu vipi ..
Binafsi Mimi Unategemeana na Aina ya mwanamke. Kama mi mwanamke ninayempenda haswa nackanivutia hua naenda Kati ya dakka 3 Hadi 5, lakini kama simpendi na hajanivutia naweza hangaika hata dakka 10 bori la Kwanza tu na hapo nimezitafuta hisia Kwa mwanamke mwingine akilini.
 
Uko sahihi. Mimi goli la kwanza hata dk 2 hazifiki ila goli la pili dk 30 hadi 45. Hapo mwanamke lazima aimbe ngonjera zote hadi drip atawekewa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Utafiti ulifanywa huko marekani mwaka 2015 unaonyesha kuwa 75% ya wanaume hutoa wazungu ndani ya dk 2 .

Na wastani ni dk 5.4. Utafiti huo unaonyesha ni wanaume wachache sana ambao walizidi dk 13 .

Usidanganywe eti una upungufu wa nguvu za kiume.. jiamini upo vizuri.


Pia wanawake acheni kuwapa hofu wanaume, toeni ushirikiano.

Hakuna mwanaume mwenye upungufu .
 
Mimi mwanamke akiwa amenivutia huwa naunganisha hadi bao mbili. Bao la pili sasa eeeeh
Kwa bao la kwanza hapa tunaongelea dk 1 hadi 1 na nusu..
Sasa nguvu za kiume ni uwezo wa kuamsha dude fasta baada ya bao la 1...
Wenye nguvu za kiume kamili huwa wanaendelea kabisa bila kutoa.

Wenye nguvu moderate huwa wanapumzika kama dk 2.

Wale goi goi au wanaume wa dar wakipiga kamoja huwa wanapumzika hadi saa zima au masaa 24 kabisa..


Lakini hizi hadithi za alfrela ulela kwamba bao la kwanza mtu upige nusu saa huo ni uongo au ni editing kwa lugha ya kiaskofu..
Bao la kwanza physiological halizidi dk 5...ukizidisha hapo una ugonjwa na hatari ya kupata tezi dume kabla ya miaka 30
 
Kwa bao la kwanza hapa tunaongelea dk 1 hadi 1 na nusu..
Sasa nguvu za kiume ni uwezo wa kuamsha dude fasta baada ya bao la 1...
Wenye nguvu za kiume kamili huwa wanaendelea kabisa bila kutoa.

Wenye nguvu moderate huwa wanapumzika kama dk 2.

Wale goi goi au wanaume wa dar wakipiga kamoja huwa wanapumzika hadi saa zima au masaa 24 kabisa..


Lakini hizi hadithi za alfrela ulela kwamba bao la kwanza mtu upige nusu saa huo ni uongo au ni editing kwa lugha ya kiaskofu..
Bao la kwanza physiological halizidi dk 5...ukizidisha hapo una ugonjwa na hatari ya kupata tezi dume kabla ya miaka 30
Kuna trick wanywa nywa tunatumia ku-extend bao la kwanza ...
 
Back
Top Bottom