Wastani ni dk 5.4 kwa wanaume (6x6)

Wastani ni dk 5.4 kwa wanaume (6x6)

Nyie ndio mnaharibu ndoa za watu.. kwanza unatakiwa kujua dk 30 sio sahihi kiafya.

Pia hakuna sababu ya kwenda dk 30 unatafuta nini wakati mwanamke ukimwandaa vizuri hata dk 1 haipiti anakua kileleni.

Nitakuelewa kama ni mmoja ya wale wanaouza vumbi la kongo.
Wadada/Wanawake wanatofautiana sana ndio maana zile biashara za kuongeza maumbile na nguvu za kiume zimeshika kasi, ila nachofahamu wadada wengi ili afikishwe ni at least dakika 10-15 sasa kama wewe ni chini ya dakika hizo ni jambo la kushukuru
 
Kama hujamwandaa vizuri
Wadada/Wanawake wanatofautiana sana ndio maana zile biashara za kuongeza maumbile na nguvu za kiume zimeshika kasi, ila nachofahamu wadada wengi ili afikishwe ni at least dakika 10-15 sasa kama wewe ni chini ya dakika hizo ni jambo la kushukuru
 
Back
Top Bottom