be serious he is talking the truth.Source live on TBC1, Waziri Wasira nasema kuwa maandamano yanayofanywa na CHADEMA yanahamasisha vurugu kwa kauli zao, huku akisema kuwa Nguvu ya umma anayoijua yeye ni ya kwenye sanduku la kura.
hao ndio mawaziri tunaowahitaji.hao ndo akina Nyerere waliobaki.BIG UP WASIRA WAPASHE.