Source live on TBC1, Waziri Wasira nasema kuwa maandamano yanayofanywa na CHADEMA yanahamasisha vurugu kwa kauli zao, huku akisema kuwa Nguvu ya umma anayoijua yeye ni ya kwenye sanduku la kura.
Wasira pisha hapo ona sasa mwanangu kakuona sura analia.JIBUN HOJA SIO MARA CDM WACHOCHEZ,WAONGO,HYO HAITAWAFANYA WATZ WAWAAMINI MANAKE WANAONA KWA MACHO JNS HAL ILVYO NCHN.
Anasema 'Dr Slaa amekuwa akiongelea suala la ufisadi miaka mingi sana lakini wananchi hawakumchagua' anamaanisha nini? Je wananchi wanapenda ufisadi, kwa kuwa waliichagua ccm badala ya Slaa anayepinga ufisadi?
Mwandishi kamuuliza kuwa:
Mheshimiwa Wasira unaonekana Kulirudiarudia suala la chadema kutaka kuiangusha serikali wakati huo huo unasema cdm hawawezi kuiangusha Serikali sasa wasiwasi wako ni nini kuhusu hizo hoja za CDM?
....Mwambie amekula kibudu....akale majani kama paka au mbwa ili atapike...Kuitwa Tyson ndio anajiona mpiganaji sio...Namfananisha na kiraka cha kanga kwenye suruali ya jeans...!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.