Mtazamo: Maandamano ya CHADEMA ya 24/01/2024 yaachwe ili lengo la Mbowe lisitimie

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
2,590
4,601
Mbowe na CHADEMA wana lengo la kupeleka ujumbe duniani juu ya demokrasia ya Tanzania na watatumia maandamano kufikisha ujumbe huo.

Kwa kuwa CHADEMA kinakabiliwa na kutokukubalika na wananchi wa hapa nchini hivyo wanaamini wakifanya jambo litakalochochea vurugu na ikitumika nguvu kudhibiti lawama zitaiendea Serikali na hapo kutapelekea kuingilia Kwa mataifa makubwa ambayo yatahitaji kuwepo Kwa upatanishi kama kuanzishwa Serikali ya mseto ambalo litakuwa ni sharti la kuendelea kupata mikopo na misaada ya kigeni.

Nafikiri hiki ndicho Mbowe na CHADEMA wanalenga kifanyike hivyo basi kauli ya RC wa Dar es Salaam ya kusema Jeshi litakuwa linafanya usafi katika siku waliyopanga kufanya maandamano itakuwa imesaidia pakubwa utekelezaji na ufanikishaji wa mpango wao. Na hapa ujumbe ambao watafikisha ni kwamba Tanzania inatumia Jeshi kuzuia utekelezaji wa demokrasia.

Tukichora picha kubwa zaidi ya lengo la CHADEMA tutabaini yafuatayo:

Kwanza, CHADEMA wanaona demokrasia ni mzigo na hawawezi kuiondoa madarakani CCM Kwa sanduku la kura hivyo watatumia maandamano na migomo kuchochea vurugu na uvunjifu wa amani ambayo itapelekea kuundwa Kwa Serikali ya mseto kama mahali pengine duniani ambalo Serikali za mseto zimeanzishwa Kwa njia kama hiyo.

Katika kukazia hiki ikimbukwe CHADEMA katika mkutano wa wadau wa kupendekeza Sheria za uchaguzi walipendekeza kuanzishwa utaratibu wa wabunge wawili Kwa Kila jibu jambo ambalo zaidi ya kuonesha tamaa na uchu wa madaraka lakini pia halioneshi nia njema kabisa.

Pili, CHADEMA wanajaribu kuichokonoa CCM ili iende na mdundo wake. Kujaribu kuyaponda maridhiano ambayo mpaka sasa yameonesha muafaka wa masuala mbalimbali ya kisiasa ni kujaribu kuifitinisha CCM na wananchi kwamba CCM ilibuni maridhiano bandia ili kuwamezeshea mate upinzani ,kitu ambacho sio kweli.

Hivyo basi mpaka sasa Mbowe anaamini kwamba 2025 wanaingia madarakani au kutakuwa na Serikali ya mseto kama mipango yao itakwenda ilivyopangwa na ninaamini maandamano ni Moja ya mipango yao.

Wito:
Binafsi Mimi sio muumini wa maandamano na anayefanya maandamano ninaamini anastahili kudhibitiwa Kwa nguvu zote ila Kwa maandamano ya 24/01/2024 tafadhali waachwe wafanye na ninaamini yakifanyika na wakapewa na ulinzi lengo la Mbowe litakuwa halijatimia na hapo watakuwa wamejiweka pabaya zaidi kisiasa.
 
Wala hakuna wa kuyazuia
Mkuu

unahoja nzuri ila si vizuri kusema kuchanganya uongo makusudi. Chadema imeitisha maandamano jambo ambalo ni halali kikatiba.

Sio kweli hata kidogo wewe kusema Chadema mbali na kuitisha maandamano pia wamepanga kuchochea vurugu na kutishia amani!

Huu ni uongo wa mchana kweupeee, kwanini ujishushie heshima yako humu jukwaani kwa kusema uongo kiasi hiki??

ili upate nini????
 
ILI ZOEZI LIKAMILIKE NYUMBU ZA KUTOSHA ZIPO ALIMRADI MSISABABISHE GHASIA, SALUTE KWA NYUMBU, VIONGOZI WA CHADEMA TUMIENI NYUMBU ZENU KIKAMILIFU KATIKA KUTENGENEZA USTAWI WENU.
*kuna wanaokula kwa akili,
Pia kuna wasaga viatu.
 
Mbowe na CHADEMA wana lengo la kupeleka ujumbe duniani juu ya demokrasia ya Tanzania na watatumia maandamano kufikisha ujumbe huo.

Kwa kuwa CHADEMA kinakabiliwa na kutokukubalika na wananchi wa hapa nchini hivyo wanaamini wakifanya jambo litakalochochea vurugu na ikitumika nguvu kudhibiti lawama zitaiendea Serikali na hapo kutapelekea kuingilia Kwa mataifa makubwa ambayo yatahitaji kuwepo Kwa upatanishi kama kuanzishwa Serikali ya mseto ambalo litakuwa ni sharti la kuendelea kupata mikopo na misaada ya kigeni.

Nafikiri hiki ndicho Mbowe na CHADEMA wanalenga kifanyike hivyo basi kauli ya RC wa Dar es Salaam ya kusema Jeshi litakuwa linafanya usafi katika siku waliyopanga kufanya maandamano itakuwa imesaidia pakubwa utekelezaji na ufanikishaji wa mpango wao. Na hapa ujumbe ambao watafikisha ni kwamba Tanzania inatumia Jeshi kuzuia utekelezaji wa demokrasia.

Tukichora picha kubwa zaidi ya lengo la CHADEMA tutabaini yafuatayo:

Kwanza, CHADEMA wanaona demokrasia ni mzigo na hawawezi kuiondoa madarakani CCM Kwa sanduku la kura hivyo watatumia maandamano na migomo kuchochea vurugu na uvunjifu wa amani ambayo itapelekea kuundwa Kwa Serikali ya mseto kama mahali pengine duniani ambalo Serikali za mseto zimeanzishwa Kwa njia kama hiyo.

Katika kukazia hiki ikimbukwe CHADEMA katika mkutano wa wadau wa kupendekeza Sheria za uchaguzi walipendekeza kuanzishwa utaratibu wa wabunge wawili Kwa Kila jibu jambo ambalo zaidi ya kuonesha tamaa na uchu wa madaraka lakini pia halioneshi nia njema kabisa.

Pili, CHADEMA wanajaribu kuichokonoa CCM ili iende na mdundo wake. Kujaribu kuyaponda maridhiano ambayo mpaka sasa yameonesha muafaka wa masuala mbalimbali ya kisiasa ni kujaribu kuifitinisha CCM na wananchi kwamba CCM ilibuni maridhiano bandia ili kuwamezeshea mate upinzani ,kitu ambacho sio kweli.

Hivyo basi mpaka sasa Mbowe anaamini kwamba 2025 wanaingia madarakani au kutakuwa na Serikali ya mseto kama mipango yao itakwenda ilivyopangwa na ninaamini maandamano ni Moja ya mipango yao.

Wito:
Binafsi Mimi sio muumini wa maandamano na anayefanya maandamano ninaamini anastahili kudhibitiwa Kwa nguvu zote ila Kwa maandamano ya 24/01/2024 tafadhali waachwe wafanye na ninaamini yakifanyika na wakapewa na ulinzi lengo la Mbowe litakuwa halijatimia na hapo watakuwa wamejiweka pabaya zaidi kisiasa.
Garbage!!!!
 
Mbowe na CHADEMA wana lengo la kupeleka ujumbe duniani juu ya demokrasia ya Tanzania na watatumia maandamano kufikisha ujumbe huo.

Wito:
Binafsi Mimi sio muumini wa maandamano Kwa maandamano ya 24/01/2024 tafadhali waachwe wafanye na ninaamini yakifanyika na wakapewa na ulinzi lengo la Mbowe litakuwa limetimia.
Naunga mkono hoja

Ameandika Mbowe katika ukurasa wake wa mtandao wa X;

"Team yetu ya Chama ikiongozwa na Naibu Katibu Mkuu, Bara Mhe Benson Kigaila imekuwa na kikao na Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum, Dar Es Salaam ACP Jumanne Muliro na timu yake kuhusiana na Maandamano ya Amani yanayopangwa na kuratibiwa na CHADEMA siku ya Jumatano, 24 Januari 2024.

"Makubaliano yamefikiwa kuwa maandamano yaendelee kama yalivyopangwa.

"Nalipongeza Jeshi la Polisi kwa busara hii. Karibuni Watanzania wote, tuandamane kwa Amani."
Asante sana kwa taarifa hii, tutashiriki kikamilifu.
Natoa pongezi zangu za dhati kwa Rais Samia, baada ya kuusoma ushauri huu Maandamano ni Haki ya Vyama vya Siasa, Serikali itoe kila ushirikiano kwa CHADEMA hata kama uelekeo ni Ikulu
Atakuwa amekubaliana na ushauri huu. Hivyo sasa wito wangu huu Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki, Tujitokeze kwa Wingi! Ila...!
Uendelee,

Haya shime, tujitokeze kwa wingi kushiriki maandamano muhimu sana haya.

P
 
Mbowe na CHADEMA wana lengo la kupeleka ujumbe duniani juu ya demokrasia ya Tanzania na watatumia maandamano kufikisha ujumbe huo.

Kwa kuwa CHADEMA kinakabiliwa na kutokukubalika na wananchi wa hapa nchini hivyo wanaamini wakifanya jambo litakalochochea vurugu na ikitumika nguvu kudhibiti lawama zitaiendea Serikali na hapo kutapelekea kuingilia Kwa mataifa makubwa ambayo yatahitaji kuwepo Kwa upatanishi kama kuanzishwa Serikali ya mseto ambalo litakuwa ni sharti la kuendelea kupata mikopo na misaada ya kigeni.

Nafikiri hiki ndicho Mbowe na CHADEMA wanalenga kifanyike hivyo basi kauli ya RC wa Dar es Salaam ya kusema Jeshi litakuwa linafanya usafi katika siku waliyopanga kufanya maandamano itakuwa imesaidia pakubwa utekelezaji na ufanikishaji wa mpango wao. Na hapa ujumbe ambao watafikisha ni kwamba Tanzania inatumia Jeshi kuzuia utekelezaji wa demokrasia.

Tukichora picha kubwa zaidi ya lengo la CHADEMA tutabaini yafuatayo:

Kwanza, CHADEMA wanaona demokrasia ni mzigo na hawawezi kuiondoa madarakani CCM Kwa sanduku la kura hivyo watatumia maandamano na migomo kuchochea vurugu na uvunjifu wa amani ambayo itapelekea kuundwa Kwa Serikali ya mseto kama mahali pengine duniani ambalo Serikali za mseto zimeanzishwa Kwa njia kama hiyo.

Katika kukazia hiki ikimbukwe CHADEMA katika mkutano wa wadau wa kupendekeza Sheria za uchaguzi walipendekeza kuanzishwa utaratibu wa wabunge wawili Kwa Kila jibu jambo ambalo zaidi ya kuonesha tamaa na uchu wa madaraka lakini pia halioneshi nia njema kabisa.

Pili, CHADEMA wanajaribu kuichokonoa CCM ili iende na mdundo wake. Kujaribu kuyaponda maridhiano ambayo mpaka sasa yameonesha muafaka wa masuala mbalimbali ya kisiasa ni kujaribu kuifitinisha CCM na wananchi kwamba CCM ilibuni maridhiano bandia ili kuwamezeshea mate upinzani ,kitu ambacho sio kweli.

Hivyo basi mpaka sasa Mbowe anaamini kwamba 2025 wanaingia madarakani au kutakuwa na Serikali ya mseto kama mipango yao itakwenda ilivyopangwa na ninaamini maandamano ni Moja ya mipango yao.

Wito:
Binafsi Mimi sio muumini wa maandamano na anayefanya maandamano ninaamini anastahili kudhibitiwa Kwa nguvu zote ila Kwa maandamano ya 24/01/2024 tafadhali waachwe wafanye na ninaamini yakifanyika na wakapewa na ulinzi lengo la Mbowe litakuwa halijatimia na hapo watakuwa wamejiweka pabaya zaidi kisiasa.
Pumba tuu!
 
Mbowe na CHADEMA wana lengo la kupeleka ujumbe duniani juu ya demokrasia ya Tanzania na watatumia maandamano kufikisha ujumbe huo.

Kwa kuwa CHADEMA kinakabiliwa na kutokukubalika na wananchi wa hapa nchini hivyo wanaamini wakifanya jambo litakalochochea vurugu na ikitumika nguvu kudhibiti lawama zitaiendea Serikali na hapo kutapelekea kuingilia Kwa mataifa makubwa ambayo yatahitaji kuwepo Kwa upatanishi kama kuanzishwa Serikali ya mseto ambalo litakuwa ni sharti la kuendelea kupata mikopo na misaada ya kigeni.

Nafikiri hiki ndicho Mbowe na CHADEMA wanalenga kifanyike hivyo basi kauli ya RC wa Dar es Salaam ya kusema Jeshi litakuwa linafanya usafi katika siku waliyopanga kufanya maandamano itakuwa imesaidia pakubwa utekelezaji na ufanikishaji wa mpango wao. Na hapa ujumbe ambao watafikisha ni kwamba Tanzania inatumia Jeshi kuzuia utekelezaji wa demokrasia.

Tukichora picha kubwa zaidi ya lengo la CHADEMA tutabaini yafuatayo:

Kwanza, CHADEMA wanaona demokrasia ni mzigo na hawawezi kuiondoa madarakani CCM Kwa sanduku la kura hivyo watatumia maandamano na migomo kuchochea vurugu na uvunjifu wa amani ambayo itapelekea kuundwa Kwa Serikali ya mseto kama mahali pengine duniani ambalo Serikali za mseto zimeanzishwa Kwa njia kama hiyo.

Katika kukazia hiki ikimbukwe CHADEMA katika mkutano wa wadau wa kupendekeza Sheria za uchaguzi walipendekeza kuanzishwa utaratibu wa wabunge wawili Kwa Kila jibu jambo ambalo zaidi ya kuonesha tamaa na uchu wa madaraka lakini pia halioneshi nia njema kabisa.

Pili, CHADEMA wanajaribu kuichokonoa CCM ili iende na mdundo wake. Kujaribu kuyaponda maridhiano ambayo mpaka sasa yameonesha muafaka wa masuala mbalimbali ya kisiasa ni kujaribu kuifitinisha CCM na wananchi kwamba CCM ilibuni maridhiano bandia ili kuwamezeshea mate upinzani ,kitu ambacho sio kweli.

Hivyo basi mpaka sasa Mbowe anaamini kwamba 2025 wanaingia madarakani au kutakuwa na Serikali ya mseto kama mipango yao itakwenda ilivyopangwa na ninaamini maandamano ni Moja ya mipango yao.

Wito:
Binafsi Mimi sio muumini wa maandamano na anayefanya maandamano ninaamini anastahili kudhibitiwa Kwa nguvu zote ila Kwa maandamano ya 24/01/2024 tafadhali waachwe wafanye na ninaamini yakifanyika na wakapewa na ulinzi lengo la Mbowe litakuwa halijatimia na hapo watakuwa wamejiweka pabaya zaidi kisiasa.
Pumbavu sana wewe
 
ILI ZOEZI LIKAMILIKE NYUMBU ZA KUTOSHA ZIPO ALIMRADI ZISABABISHE GHASIA, SALUTE KWA NYUMBU, VIONGOZI WA CHADEMA TUMIENI NYUMBU ZENU KIKAMILIFU KATIKA KUTENGENEZA USTAWI WENU.
Ccm hamna nguvu za kuisimamisha cdm
 
Naunga mkono hoja

Asante sana kwa taarifa hii, tutashiriki kikamilifu.
Natoa pongezi zangu za dhati kwa Rais Samia, baada ya kuusoma ushauri huu Maandamano ni Haki ya Vyama vya Siasa, Serikali itoe kila ushirikiano kwa CHADEMA hata kama uelekeo ni Ikulu
Atakuwa amekubaliana na ushauri huu. Hivyo sasa wito wangu huu Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki, Tujitokeze kwa Wingi! Ila...!
Uendelee,

Haya shime, tujitokeze kwa wingi kushiriki maandamano muhimu sana haya.

P
Wacha unafiki wewe Sukuma gang
 
Wapumbavu ndani ya taifa hili ni kundi kubwa sana.
"huwezi kuwa na taifa la wapumbavu alafu utengemee kupata maendeleo,hilo litakuwa ajabu ya karne.Haki ya maandamano iko kwenye katiba sio hisani"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom