PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
Usitegemee maendeleo kwa Taifa la watu wanaokamata madaraka kwa kuhonga, kupewa vimemo, na kuteuliwa kutokana na kuwa na ushikaji au nasaba na Rais, au mwandamizi mwingine.
Wasomi wapo, hilo halina ubishi, tena ni wengi.
Shida ya kukosekana kwa maendeleo ni kwamba hao viongozi wa hapo juu niliowasema wanakosa guts za kusimamia effectively utendaji ndani ya serikali na mashirika kwa vile wao wenyewe ni toothless, hawapo pale kwa qualities zinazotakiwa.
Pia wataalam siku hizi wanaongozwa na wanasiasa.
Ulishawahi kusikia mwanasiasa anaagiza wataalamu wa kuleta mvua wewe? kama hujasikia hiyo ipo Tanzania.
Katika medium na context kama hiyo unategemea wataalamu na wasomi wana nafasi gani?
Ni mara ngapi umesikia loggerheads kati ya ushauri wa kitaalamu na mapendekezo ya wanasiasa?
Una habari UDOM imejengwa kwa matakwa ya wanasiasa?
Na unajua jinsi sasa wananchi watakavyoanza kulipia gharama za maamuzi hayo ya mwanasiasa? Je wataalamu na wasomi hawakuwepo? na je wangekuwana guts za kumstopisha mwanasiasa huyo asiliingize taifa katika maisha ya mashaka ya kubadilishiwa taratibu za mafao ya akic zao?
Wasomi wetu wamekatwa miguu na mikono short n clear.
Wasomi wapo, hilo halina ubishi, tena ni wengi.
Shida ya kukosekana kwa maendeleo ni kwamba hao viongozi wa hapo juu niliowasema wanakosa guts za kusimamia effectively utendaji ndani ya serikali na mashirika kwa vile wao wenyewe ni toothless, hawapo pale kwa qualities zinazotakiwa.
Pia wataalam siku hizi wanaongozwa na wanasiasa.
Ulishawahi kusikia mwanasiasa anaagiza wataalamu wa kuleta mvua wewe? kama hujasikia hiyo ipo Tanzania.
Katika medium na context kama hiyo unategemea wataalamu na wasomi wana nafasi gani?
Ni mara ngapi umesikia loggerheads kati ya ushauri wa kitaalamu na mapendekezo ya wanasiasa?
Una habari UDOM imejengwa kwa matakwa ya wanasiasa?
Na unajua jinsi sasa wananchi watakavyoanza kulipia gharama za maamuzi hayo ya mwanasiasa? Je wataalamu na wasomi hawakuwepo? na je wangekuwana guts za kumstopisha mwanasiasa huyo asiliingize taifa katika maisha ya mashaka ya kubadilishiwa taratibu za mafao ya akic zao?
Wasomi wetu wamekatwa miguu na mikono short n clear.