wasanii kama kanumba walikua na jina kubwa, na wanasiasa wanapenda sana publicity, wasomi wengi hawajulikani nje ya fraternity kubwa zao za usomi yaani nje ya vyuo, wanafunzi wao, na wasomi wenzao (ambao kwa tz ni wachache mno)..mimi kama mwanasiasa ningechukua point pale mtu mwenye nafasi kubwa kwenye vyombo vya habari anapokufa haijalishi ni msanii au la..
ila kwenye hali nyingine wasomi hawapewi sapoti nzuri na serikali kama mambo ya utafiti, ushauri wa karibu kwa serikali, kuhusishwa kwa vyuo na taasisi nyingine za elimu ya juu katika kutunga na kufuatilia sera za kitaifa n.k ila wasanii JK kawapa nyumba, na anawaita ikulu, anawato jela wakihukumiwa n.k
ila kwenye hali nyingine wasomi hawapewi sapoti nzuri na serikali kama mambo ya utafiti, ushauri wa karibu kwa serikali, kuhusishwa kwa vyuo na taasisi nyingine za elimu ya juu katika kutunga na kufuatilia sera za kitaifa n.k ila wasanii JK kawapa nyumba, na anawaita ikulu, anawato jela wakihukumiwa n.k