Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,283
- 2,043
Najua mpo mtakao nipinga ila sijali nitajua napingwa na hao hao WASOMI waliogeuka WAJINGA.
TANZANIA kwa sasa kupitia utitiri wa VYUO VIKUU ni wazi inazalisha WASOMI wengi.Idadi kubwa sana ya hao WASOMI wanatoka FAMILIA MASIKINI SANA zilizodhani zikiuza Raslimali zake kwa ajili y Kuwasomesha Watoto wao mwisho wa siku zitafanikiwa .Masikini Watoto wao wamesoma tena wapo waliofaulu vizuri lakini ndio hivyo Nafasi za Ajira ni za kugombania na Watoto wa MATAJIRI na Wenye Uwezo . Sehemu kubwa wa Waliopata hizo AJIRA ni ya Watoto wa Matajiri na wenye uwezo.
Baada ya Watoto wa Masikini kukosa AJIRA tayari wakaingiwa na UJINGA tena UJINGA MKUBWA wa KUWASIFIA Watu wenye Kazi zao Uwezo wao wakiamini kufanya hivyo kutawasaidia kupata AJIRA.Masikini watoto wa Masikini waliosoma lakini wakaamua kuwa WAJINGA kwa Makusudi wamejaa Mitandaoni kuwasifia VIONGOZI wa VYAMA na SERIKALI wanaokula KEKI ya TAIFA huku Wazazi wao huko VIJIJINI na wao wakiendelea kupambana na UMASIKINI usiokwisha toka Mwaka 1961.
Ukitaka kuwajua vizuri WASOMI hao Waliogeuka WAJINGA ni hawa MACHAWA.
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
TANZANIA kwa sasa kupitia utitiri wa VYUO VIKUU ni wazi inazalisha WASOMI wengi.Idadi kubwa sana ya hao WASOMI wanatoka FAMILIA MASIKINI SANA zilizodhani zikiuza Raslimali zake kwa ajili y Kuwasomesha Watoto wao mwisho wa siku zitafanikiwa .Masikini Watoto wao wamesoma tena wapo waliofaulu vizuri lakini ndio hivyo Nafasi za Ajira ni za kugombania na Watoto wa MATAJIRI na Wenye Uwezo . Sehemu kubwa wa Waliopata hizo AJIRA ni ya Watoto wa Matajiri na wenye uwezo.
Baada ya Watoto wa Masikini kukosa AJIRA tayari wakaingiwa na UJINGA tena UJINGA MKUBWA wa KUWASIFIA Watu wenye Kazi zao Uwezo wao wakiamini kufanya hivyo kutawasaidia kupata AJIRA.Masikini watoto wa Masikini waliosoma lakini wakaamua kuwa WAJINGA kwa Makusudi wamejaa Mitandaoni kuwasifia VIONGOZI wa VYAMA na SERIKALI wanaokula KEKI ya TAIFA huku Wazazi wao huko VIJIJINI na wao wakiendelea kupambana na UMASIKINI usiokwisha toka Mwaka 1961.
Ukitaka kuwajua vizuri WASOMI hao Waliogeuka WAJINGA ni hawa MACHAWA.
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app