Umasikini umewageuza Wasomi kuwa Wajinga

Mzee wa Twitter

JF-Expert Member
Nov 5, 2023
1,283
2,043
Najua mpo mtakao nipinga ila sijali nitajua napingwa na hao hao WASOMI waliogeuka WAJINGA.
TANZANIA kwa sasa kupitia utitiri wa VYUO VIKUU ni wazi inazalisha WASOMI wengi.Idadi kubwa sana ya hao WASOMI wanatoka FAMILIA MASIKINI SANA zilizodhani zikiuza Raslimali zake kwa ajili y Kuwasomesha Watoto wao mwisho wa siku zitafanikiwa .Masikini Watoto wao wamesoma tena wapo waliofaulu vizuri lakini ndio hivyo Nafasi za Ajira ni za kugombania na Watoto wa MATAJIRI na Wenye Uwezo . Sehemu kubwa wa Waliopata hizo AJIRA ni ya Watoto wa Matajiri na wenye uwezo.
Baada ya Watoto wa Masikini kukosa AJIRA tayari wakaingiwa na UJINGA tena UJINGA MKUBWA wa KUWASIFIA Watu wenye Kazi zao Uwezo wao wakiamini kufanya hivyo kutawasaidia kupata AJIRA.Masikini watoto wa Masikini waliosoma lakini wakaamua kuwa WAJINGA kwa Makusudi wamejaa Mitandaoni kuwasifia VIONGOZI wa VYAMA na SERIKALI wanaokula KEKI ya TAIFA huku Wazazi wao huko VIJIJINI na wao wakiendelea kupambana na UMASIKINI usiokwisha toka Mwaka 1961.
Ukitaka kuwajua vizuri WASOMI hao Waliogeuka WAJINGA ni hawa MACHAWA.

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Najua mpo mtakao nipinga ila sijali nitajua napingwa na hao hao WASOMI waliogeuka WAJINGA.
TANZANIA kwa sasa kupitia utitiri wa VYUO VIKUU ni wazi inazalisha WASOMI wengi.Idadi kubwa sana ya hao WASOMI wanatoka FAMILIA MASIKINI SANA zilizodhani zikiuza Raslimali zake kwa ajili y Kuwasomesha Watoto wao mwisho wa siku zitafanikiwa .Masikini Watoto wao wamesoma tena wapo waliofaulu vizuri lakini ndio hivyo Nafasi za Ajira ni za kugombania na Watoto wa MATAJIRI na Wenye Uwezo . Sehemu kubwa wa Waliopata hizo AJIRA ni ya Watoto wa Matajiri na wenye uwezo.
Baada ya Watoto wa Masikini kukosa AJIRA tayari wakaingiwa na UJINGA tena UJINGA MKUBWA wa KUWASIFIA Watu wenye Kazi zao Uwezo wao wakiamini kufanya hivyo kutawasaidia kupata AJIRA.Masikini watoto wa Masikini waliosoma lakini wakaamua kuwa WAJINGA kwa Makusudi wamejaa Mitandaoni kuwasifia VIONGOZI wa VYAMA na SERIKALI wanaokula KEKI ya TAIFA huku Wazazi wao huko VIJIJINI na wao wakiendelea kupambana na UMASIKINI usiokwisha toka Mwaka 1961.
Ukitaka kuwajua vizuri WASOMI hao Waliogeuka WAJINGA ni hawa MACHAWA.

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Kwangu Mimi upo sahihi kaka, ni mjinga pekee atapinga hili.
 
Kuna dogo yupo hapa ofsi amekuja intership ana mwaka huu ila anavyobehave ananipa shaka ,vyeti vipo poa .

Ila kuna secretary hapa ,sasa dogo mara amuandalie chai manager mara hivi na dogo ni wakiume kabisa..Shobo kibao mara kwenda kumpokea .
 
Najua mpo mtakao nipinga ila sijali nitajua napingwa na hao hao WASOMI waliogeuka WAJINGA.
TANZANIA kwa sasa kupitia utitiri wa VYUO VIKUU ni wazi inazalisha WASOMI wengi.Idadi kubwa sana ya hao WASOMI wanatoka FAMILIA MASIKINI SANA zilizodhani zikiuza Raslimali zake kwa ajili y Kuwasomesha Watoto wao mwisho wa siku zitafanikiwa .Masikini Watoto wao wamesoma tena wapo waliofaulu vizuri lakini ndio hivyo Nafasi za Ajira ni za kugombania na Watoto wa MATAJIRI na Wenye Uwezo . Sehemu kubwa wa Waliopata hizo AJIRA ni ya Watoto wa Matajiri na wenye uwezo.
Baada ya Watoto wa Masikini kukosa AJIRA tayari wakaingiwa na UJINGA tena UJINGA MKUBWA wa KUWASIFIA Watu wenye Kazi zao Uwezo wao wakiamini kufanya hivyo kutawasaidia kupata AJIRA.Masikini watoto wa Masikini waliosoma lakini wakaamua kuwa WAJINGA kwa Makusudi wamejaa Mitandaoni kuwasifia VIONGOZI wa VYAMA na SERIKALI wanaokula KEKI ya TAIFA huku Wazazi wao huko VIJIJINI na wao wakiendelea kupambana na UMASIKINI usiokwisha toka Mwaka 1961.
Ukitaka kuwajua vizuri WASOMI hao Waliogeuka WAJINGA ni hawa MACHAWA.

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Msomi hawezi kuwa mjinga kwakuwa anajua anachokifanya.
Tafuta msamiati mwingine wa kuwapa......... yaani mtu anayejua kuwa anchokifanya sio jambo sahihi kwake, je ni nani huyo?
 
Kuna msomi na mwenye elimu. Unawezakusoma hadi kiwango cha profesa lakini elimu huna. Mwenye elimu hawezigeuka kuwa chawa na mjinga.Hao wasomi walikua wajinga toka mwanzo na kwa sababu kusoma kwao hakukuwapatia elimu itakayowatoa kwenye umasikini wameendelea kuwa wajinga na hatimae kugeuka kuwa machawa. Tanzania asilimia kubwa imejaa wasomi hawa wa Usomi pasipo elimu.
 
Inasikitisha mno.

Ilianza awamu ilopita na Sasa inaendelea kwa Kasi mno.

Badala ya kusema Serikali imefanya inaambiwa fulani
 
Najua mpo mtakao nipinga ila sijali nitajua napingwa na hao hao WASOMI waliogeuka WAJINGA.
TANZANIA kwa sasa kupitia utitiri wa VYUO VIKUU ni wazi inazalisha WASOMI wengi.Idadi kubwa sana ya hao WASOMI wanatoka FAMILIA MASIKINI SANA zilizodhani zikiuza Raslimali zake kwa ajili y Kuwasomesha Watoto wao mwisho wa siku zitafanikiwa .Masikini Watoto wao wamesoma tena wapo waliofaulu vizuri lakini ndio hivyo Nafasi za Ajira ni za kugombania na Watoto wa MATAJIRI na Wenye Uwezo . Sehemu kubwa wa Waliopata hizo AJIRA ni ya Watoto wa Matajiri na wenye uwezo.
Baada ya Watoto wa Masikini kukosa AJIRA tayari wakaingiwa na UJINGA tena UJINGA MKUBWA wa KUWASIFIA Watu wenye Kazi zao Uwezo wao wakiamini kufanya hivyo kutawasaidia kupata AJIRA.Masikini watoto wa Masikini waliosoma lakini wakaamua kuwa WAJINGA kwa Makusudi wamejaa Mitandaoni kuwasifia VIONGOZI wa VYAMA na SERIKALI wanaokula KEKI ya TAIFA huku Wazazi wao huko VIJIJINI na wao wakiendelea kupambana na UMASIKINI usiokwisha toka Mwaka 1961.
Ukitaka kuwajua vizuri WASOMI hao Waliogeuka WAJINGA ni hawa MACHAWA.

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Sasa itakuaje..!??😂
 
Nakumbuka nikiwa Mdogo kuna Rais sijui ni awamu ipo sijui Mwinyi?

Alikataa kuitwa Mtukufu Rais,

Ikatangazwa kuachwa .

Akasema Mtukufu ni Mwenyezi Mungu pekee.

This shows humbleness before God and people.

Kiongozi kutimiza wajibu sio hisani wala privelage.

Ni wajibu wako.

Huku kusifu na kuabudu siku hizi kuna toka wapi na hakukemewi?

Viongozi mnafurahia,?
 
Hata kuteuana Viongozi family members ilianza kwa kasi awamu ilopita na Sasa imekuwa inherited bila aibu.
 
Kuna dogo yupo hapa ofsi amekuja intership ana mwaka huu ila anavyobehave ananipa shaka ,vyeti vipo poa .

Ila kuna secretary hapa ,sasa dogo mara amuandalie chai manager mara hivi na dogo ni wakiume kabisa..Shobo kibao mara kwenda kumpokea .
Kwa uandishi huu basi huyo dogo ana nafuu
 
Kwa uandishi huu basi huyo dogo ana nafuu
Screenshot_20231217-210108.png



Ona jamaa hili hata kusoma halijui ? Kuandika ndio kabisa!🤣🤣
 
Kuna dogo yupo hapa ofsi amekuja intership ana mwaka huu ila anavyobehave ananipa shaka ,vyeti vipo poa .

Ila kuna secretary hapa ,sasa dogo mara amuandalie chai manager mara hivi na dogo ni wakiume kabisa..Shobo kibao mara kwenda kumpokea .
Anatengeneza connection.
 
Najua mpo mtakao nipinga ila sijali nitajua napingwa na hao hao WASOMI waliogeuka WAJINGA.
TANZANIA kwa sasa kupitia utitiri wa VYUO VIKUU ni wazi inazalisha WASOMI wengi.Idadi kubwa sana ya hao WASOMI wanatoka FAMILIA MASIKINI SANA zilizodhani zikiuza Raslimali zake kwa ajili y Kuwasomesha Watoto wao mwisho wa siku zitafanikiwa .Masikini Watoto wao wamesoma tena wapo waliofaulu vizuri lakini ndio hivyo Nafasi za Ajira ni za kugombania na Watoto wa MATAJIRI na Wenye Uwezo . Sehemu kubwa wa Waliopata hizo AJIRA ni ya Watoto wa Matajiri na wenye uwezo.
Baada ya Watoto wa Masikini kukosa AJIRA tayari wakaingiwa na UJINGA tena UJINGA MKUBWA wa KUWASIFIA Watu wenye Kazi zao Uwezo wao wakiamini kufanya hivyo kutawasaidia kupata AJIRA.Masikini watoto wa Masikini waliosoma lakini wakaamua kuwa WAJINGA kwa Makusudi wamejaa Mitandaoni kuwasifia VIONGOZI wa VYAMA na SERIKALI wanaokula KEKI ya TAIFA huku Wazazi wao huko VIJIJINI na wao wakiendelea kupambana na UMASIKINI usiokwisha toka Mwaka 1961.
Ukitaka kuwajua vizuri WASOMI hao Waliogeuka WAJINGA ni hawa MACHAWA.

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app

Upo sahihi sana. Tena siyo kwamba wamekuwa wajinga, bali wamegeuka kuwa punguani. Ni aheri ambao hawakwenda shule kabisa. Hawa wamefikia hadi kuudharau utu na ubinadamu wao. Mwangalie Mwashambwa, mwangalie Variable. Utajua kuwa wameenda shule kwa sababu tu wanajua kusoma na kuandika. Lakini wanayoyaandika kama wangekuwa wananena tu kwa mdomo, usingedhania kama wamesoma darasa lolote baada ya elimu ya msingi.
 
Nakumbuka nikiwa Mdogo kuna Rais sijui ni awamu ipo sijui Mwinyi?

Alikataa kuitwa Mtukufu Rais,

Ikatangazwa kuachwa .

Akasema Mtukufu ni Mwenyezi Mungu pekee.

This shows humbleness before God and people.

Kiongozi kutimiza wajibu sio hisani wala privelage.

Ni wajibu wako.

Huku kusifu na kuabudu siku hizi kuna toka wapi na hakukemewi?

Viongozi mnafurahia,?
Alikuwa Rais Mkapa RIP.
 
Najua mpo mtakao nipinga ila sijali nitajua napingwa na hao hao WASOMI waliogeuka WAJINGA.
TANZANIA kwa sasa kupitia utitiri wa VYUO VIKUU ni wazi inazalisha WASOMI wengi.Idadi kubwa sana ya hao WASOMI wanatoka FAMILIA MASIKINI SANA zilizodhani zikiuza Raslimali zake kwa ajili y Kuwasomesha Watoto wao mwisho wa siku zitafanikiwa .Masikini Watoto wao wamesoma tena wapo waliofaulu vizuri lakini ndio hivyo Nafasi za Ajira ni za kugombania na Watoto wa MATAJIRI na Wenye Uwezo . Sehemu kubwa wa Waliopata hizo AJIRA ni ya Watoto wa Matajiri na wenye uwezo.
Baada ya Watoto wa Masikini kukosa AJIRA tayari wakaingiwa na UJINGA tena UJINGA MKUBWA wa KUWASIFIA Watu wenye Kazi zao Uwezo wao wakiamini kufanya hivyo kutawasaidia kupata AJIRA.Masikini watoto wa Masikini waliosoma lakini wakaamua kuwa WAJINGA kwa Makusudi wamejaa Mitandaoni kuwasifia VIONGOZI wa VYAMA na SERIKALI wanaokula KEKI ya TAIFA huku Wazazi wao huko VIJIJINI na wao wakiendelea kupambana na UMASIKINI usiokwisha toka Mwaka 1961.
Ukitaka kuwajua vizuri WASOMI hao Waliogeuka WAJINGA ni hawa MACHAWA.

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Mkuu upo sahihi sana.Kwanza hakuna kitu kinanikera kama sasa hivi hawa watumishi wa umma kila siku wanapata Masters Degrees kama njugu,hivi muda wa kufanya research,kuandika proposal na Report wanautoa wapi?
Zamani watumishi wa umma walikuwa wanakwenda masomoni kwa ruhusa maalumu,hawa wa siku hizi tunawaona kila siku wanazurura Mikoani alafu baadaye unamuona mtu anatunukiwa Masters!!
Note:Sina wivu ila nimefanya sana kazi za consultancy najua ni jinsi gani kuandaa hizo documents ilivyo ngumu.

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom