Antonio Conte
JF-Expert Member
- Dec 6, 2017
- 1,089
- 1,748
Well that's is good question.Ila katika mazingira hayo hayo ya kufindishwa lugha na waalimu wasiojua kiingereza bado huwa wanapatikana wanafunzi wenye kukijua vizuri tu kiingereza,sasa kama tatizo ni waalimu hawa wanafunzi wengine wamewezaje kujua kiingereza hali ya kuwa waalimu wenyewe hawajui hiyo lugha?
wewe ndio huwezi madokta wanaokutibu wamesoma kwa lugha gani? Pamoja na kwamba hawajui kiingereza vizuri ukienda hospitali wanashindwa kukutibu? Au wewe unazungumzia ujuzi gani labda.Tunaweza jadili hili suala usiku Na mchana lakini swali kuu Ni: miaka Zaidi ya Tano unasoma taaluma Fulani Kwa lugha Fulani,lakini huwezi itumia Ile lugha kuonyesha umahili wako Kwa hiyo taaluma?Basi ata ulichokisoma Ni cha kutiliwa Shaka kama unakifahamu?
Mpaka hapo mkuu hauoni kuwa waalimu si tatizo tena bali ni suala la juhudi ya mwanafunzi mwenyewe? Na ndio maana wanafunzi wengine wameweza kukijua vizuri tu kiingereza,au athari ya hao waalimu ambao nao hawajui kiingereza ni ipi katika kumfanya mwanafunzi asijue kiingereza?Well that's is good question.
Ktk hoja yng uliyo inukuu nimeongelea upande mmoja tu wa waalimu kutokuelewa hii lugha lkn pia upande wa pili ata wanafunzi nao hawana ile hali ya kujiendeleza na kutafuta maarifa zaidi na mbinu mbali mbali ktk lugha. Maana mwalimu anaweza kukufundisha msingi wa lugha na nyakati na vitu vingine kwa mfano. Huo ni msingi amekupa then mambo mengine unapaswa kujiendeleza mwenyewe... Kwahiyo kuna shida ktk pande zote mbili. Sasa kwa hao unao waona wako vzr ni wale wenye juhudi na walio tumia hizo misingi ya lugha vzr walizopewa na waalimu wao.
Siwezi Nini Tena?🤔wewe ndio huwezi madokta wanaokutibu wamesoma kwa lugha gani? Pamoja na kwamba hawajui kiingereza vizuri ukienda hospitali wanashindwa kukutibu? Au wewe unazungumzia ujuzi gani labda.
Haya mambo yalimpotezesha mpemdwa wa wengi two o'clock .Hahaa simsemi mtu miee
Ohh
Mtego wako Mokaze hauondoi tatizo la waTz wengi kukwama kiingereza.I have set a trap for you in which you are trapped.[emoji1787]
Is there any African english??, if there is any and in this case you prefer it to American and British English then why condemn the one who started the sentence with; " is you coming------"[emoji1787], ----that's an African English so to say.
You have no maral authority to condemn him/her.
Tatizo ni waalimu mkuu. Maana waalimu ktk ufundishaji wao hawawezi kwenda mbali zaidi maana nao hawana msingi mzuri wa lugha na wanachofanya ni kufundisha kanuni zilizopo ktk vitabu tu na si kwenda mbali zaidi nje ya kanuni na mafanunuzi kutoka ktk vitabu.Mpaka hapo mkuu hauoni kuwa waalimu si tatizo tena bali ni suala la juhudi ya mwanafunzi mwenyewe? Na ndio maana wanafunzi wengine wameweza kukijua vizuri tu kiingereza,au athari ya hao waalimu ambao nao hawajui kiingereza ni ipi katika kumfanya mwanafunzi asijue kiingereza?
kupata ujuzi kwa lugha ya tatuSiwezi Nini Tena?🤔
Mimi niko sawakupata ujuzi kwa lugha ya tatu
Lakini still unasoma vitabu na maarifa yao?Niujinga mkubwa sana kuamini mtu asiyejua kiingereza hana akili. Stop embraising western culture wazungu hawana muda na wewe hata ukijua Kiingereza chao
Wengine hata Kiswahili hawajui!
Wanachojua ni kupiga porojo za mpira tu na hadithi za ngono!
Mwambie akuandikie barua rasmi ya Kiswahili. Utazimia.
Hao sidhani kama wanasoma kwa kutumia English.Kiingereza za kujibia mitihani hakijawahi kua kigumu, hivyo mtu kumaliza had PHD na kutoongea kiingereza fasaha sioni shida.
Pia kiingereza sio akili, Wakandarasi wanaojenga barabara zetu kutoka china hata salamu za kiingereza hawajui. Wakandarasi wa SGR kutoka Turkey kiingereza hawajui, kajamba nani kutoka buza anapiga ngeli nzuri ila hata elfu hamsini kwenye bank account hana achilia mbali ujuzi wowote.
Rais wa China, Russia na korea kaskazini sijawah kusikia wanaongea kiingereza lakini nchi zao zina maendeleo makubwa sana... Ndugu zangu mkataa kwao mtumwa
Kuna Technical English and General Fluency English. Watu wanao soma sayansi wanatumia Technical English sana. Hivyo ukiwaingiza kwenye General fluency hawatakuelewa. na wewe wakiungiza kwenye technical hutowaelewa. Watu wanaosoma arts ndio wanatumia General fluency English, sana ila nao technical English holaaaa
sijaenda shule, kwani vipi au nimekuchanganya hujanielewa niniWewe umeenda shule kweli? Nauliza tu kwa heshima.
Inakuwaje msomi ama graduate wa chuo kikuu aliespend miaka kama minne chuo kikuu na ana degree, masomo yake yote ni kiingereza tupu anafanikiwa kugraduate, lakini ukimwongelesha kiingereza haelewi
Akiamua yeye sasa Hata kuandika ujumbe kwa kiingereza anashusha broken ya hatari hadI unashangaa? Wengine wamefanikiwa kupata kazi kabisa unakuta bonge la engineer from ardhi university English mbovu mkichat yuko kwenye bonge la kampuni
Mbaya zaidi graduate kamaliza chuo few days anaambiwa andika barua ya kuomba internship anaweweseka..Mara nipe google..maelezo yake binafsi yanamshinda kujieleza kwa kiingereza anatafuta CV za wengine akopi.sasa najiuliza huyu mtu kafanikiwa kumaliza successful report zake aliandikaje?kama kiingereza cha kuandika anababaika presentation alihudhuriaje akapata marks
Research zake?
Au ndo wale wa kukariri? Sawa basi hata kama kukariri unashindwa kujifunzia hapo mpangilio wa grammar.
Boss mzima ananitext "is you coming or no"
Kiingereza nacho ni kipaji?
Nice.Kiingereza ni Lugha tuu... Maarifa hayana Kabila dini wala lugha.. wewe ukijua engine inafanyaje kazi ..kwa kifupi umejua... ueleze kwa kijapani kwa kiingereza au Kisukuma unaelezea namna engine inavyofanya kazi periodt.
So unadhani ni kawaida kwa mtu kutumia almost 10 years kujifunza kwa English then anatoka mweupe kwenye English.Kuna wachina wanakuja hapa kila siku, na uwezo wao wa kuongea kiswahili ni sifuri na uwezo wao wa kuzungumza kiingereza ni zero.. ila wanakuja na wanatalii na kurudi kwao... Maswala ya wakalimani hayajaanza leo na hayataisha leo
Well mpaka leo bado kuna watu hawajaweza kumudu Kiswahili.Kujifunza kwa kiswahili ninamaanisha Watu wazungumze kwa uhuru usio na mipaka wa kimaarifa. Mtu akikuelezea juu ya mji wake, timu yake ya mpira au akiuliza kwa lugha yake ya kiswahili huulizwa kwa urefu na upana na kwa namna huru.. Hii inamfanya mtu kuelewa kwa uharaka na urahisi...na kwa namna inayohusisha mazingira yake..humfanya kukumbuka haraka
Mapokeo kivipi kama wao ndio walichangia kwenye uanzilishi?If you name 3nations that has become successful kwa kuendekeza mapokeo nitakuelewa... Maana I can guarantee you there is none
Well hapo blame mfumo wa elimu.knowledge is simply contextualized information. Wewe kujua A definition of kinetic energy na huwezi kuiweka into context to solve your problem or enhance your environment..is nothing but an information au umbea... And probably you shouldn't be receiving such info. Its a waste of time.
Ndio maana nimekuambia kuandika kiingereza sio kazi kwasababu wanasoma vitabu vya kiingereza hivyo kujibu maswali sio tatizo. Hata mitihani ingetungwa uingereza na kuletwa hapa wangefaulu tu.Hao sidhani kama wanasoma kwa kutumia English.
That's why hawawezi kumudu English hivyo hakuna cha ajabu.
Cha ajabu ni yule anayesoma kwa kutumia English for 6 or 10 years lakini anatoka mweupe.
Hapo lazima kuwe na tatizo linalohitaji solution na sio kutafuta justifications ili kujipa faraja.
Na hakuna tatizo kujua lugha zaidi ya moja maybe kama una plan za kuishi Tanzania milele.
Sana, yaani hata wazazi huku mitaani wanatafuta ada kubwa kupeleka watoto kwenye hizo wanazoziita 'intaneshno skuli' ili watoto waongee kiingereza kizuri bila kujali 'kontenti' kama ipo kichwani au la.Jamaa wa ng'ambo ya magharibi wameishachafua sana fikra za baadhi ya watu wa kizazi hiki!!!Tuna kazi ya kutosha kuwanyoosha hawa jamaa zetu baadhi!!!