Wasiwasi Mwabulambo toa ukatuni wako PB

kila kitu kina kupanda na kushuka ...hata vipindi vya radio/Tv huwa kuna wakati vinakuwa hooot, then vinadorora ...then waandaaji wakiwa wabunifu wanarudi kwenye charts .

tokea aondoke Masoud na Fina hakijawahi kupanda, hata Gerrard alikuwa akipendezea kipindi hicho na info zake
 
power breakfast now days ni kipindi cha MATANGAZO


BABRA HAMNA KITU..na uzungu wake kaz kuwakaripia wenzake km watoto weweeee acha ...wewe unatafuna nin...afu asome matangazo bas ngoma inaisha apo

PJ akija na magazeti yake ya CHAMA ...basi kamaliza....yaan akuna kitu kwa kwELI...sjui hawana muda wa kutafuta MADA zenye mashiko?

yaan wapo wapo tu matangazo meeeeeeeeeeeeeeeeeng na mda si mrefu watu hawataleta tena matangazo cz kipind kitakosa wasilkilizaji as t used 2b

babra dada yangu acha uswangilsh mama,....ebu ingia kunako matabu,mamtandao na uongeee na watu wenye knowledge mbalimbali ili upate UFUNUO bin ufahamu wa nini cha kufanya ..issue gan inahiti mjin apa..uisimamishe vp hoja...uitetee vip...uwavute hadhira vip ili wawe na wewe sambamba lakin kwa swaga za sasa ivi za kuwa MWALIMU WA NIDHAMU wa kipindi cha breakfast mmh m worried km unapanda au unashuka....


tok 2pipo wenye ufahamu zaidi yako juu ya fani yako

penda kusoma na kuwa mdadisi m sure utakuwa bomba tu...cz kaz iyo inamtaka mtu asiwe mvivu wa kudadisi na kusoma mavitu meng ili uwe na fact na ujue meng...

me love u babra ili punguza u do kazin..ongea LAFUDHI ya kiswahili izo swaga za koktail za mhh u know...yaan kiswahili km kingereza azipendezi


HONGERA KWA KAZI NZURI....wasiwasi ana wasiwasi bado gve hm tym atarecover....pj niaje babu..arsenal wamefanyaje?

kesho kuna mpambano kati ya majimaji na man u plss pj nina tiket yako....man u washatua tz




nakuona jinsi unavyompasha mwenzio.........

vidole juu hewani......mmmhhh!
 
Tangu Gerald Hando aondoke Clouds huyu jamaa Wasiwasi amechukua nafasi yake kwenye Power Breakfast. Anachoendeleza ni ukatuni na mizaha tu yaani hata haelewi nini cha kufanya. Linachekaacheka tu na kumfanya Barbara awe na kazi ya ziada. Hivi hawa watangazaji Clouds inawaokota wapi?

bado hajapata uzoefu yeye alikuwa kwenye jahazi akizoea ata mudu tu. Wasi wasi usiwe na wasi wasi mti wenye maembe kawaida hupigwa mawe ili kuyadondosha maembe.
 
Unamfagilia Hando kwa kipi cjui kabisa! Hvwajua kipindi cha pwr bfast cha Michuzi na Fina kilikuwa the best programme kwa kipindi kile? Kwanza 12 kamili washaanza kuongea. Akaja Hando na magazeti akawa anaboa. (unajua tena watu wanaotoka kwa M/kiti Mengi swaga zao) baada ya kuondoka kwao hata pale Clouds wanakiri haitatokea replacement yao tena! Ama kipindi cha watoto cha Michuzi,Bonda. At least Dina na segment zake anafunika mara kumi elfu kwa vipindi vya Clouds
 
Unamfagilia Hando kwa kipi cjui kabisa! Hvwajua kipindi cha pwr bfast cha Michuzi na Fina kilikuwa the best programme kwa kipindi kile? Kwanza 12 kamili washaanza kuongea. Akaja Hando na magazeti akawa anaboa. (unajua tena watu wanaotoka kwa M/kiti Mengi swaga zao) baada ya kuondoka kwao hata pale Clouds wanakiri haitatokea replacement yao tena! Ama kipindi cha watoto cha Michuzi,Bonda. At least Dina na segment zake anafunika mara kumi elfu kwa vipindi vya Clouds

Kweli kabisa mkuu, Clouds Fm ya 2000-2004 ndiyo ilikuwa Clouds ya ukweli. Huyu Hando alikuwa aningia kama msoma magazeti tu lakini eti leo anaongoza kipindi. Kipindi hicho hata Chuchuchu ya J'mosi ilikuwa hot sana
 
Kweli huyu dogo wasiwasi ajitahidi kuacha utoto au umbumbumbu wake....anashindwa kwenda na pace ya babra...kabisa ana mifano ya kitoto haswa....hadi naona aibu mimi msikilizaji maana anatokota sana huyu dogo....
 
Mtu mwenyewe anaitwa "WASIWASI" unatarajia nini??

Your name can tell who you are!!
 
Unamfagilia Hando kwa kipi cjui kabisa! Hvwajua kipindi cha pwr bfast cha Michuzi na Fina kilikuwa the best programme kwa kipindi kile? Kwanza 12 kamili washaanza kuongea. Akaja Hando na magazeti akawa anaboa. (unajua tena watu wanaotoka kwa M/kiti Mengi swaga zao) baada ya kuondoka kwao hata pale Clouds wanakiri haitatokea replacement yao tena! Ama kipindi cha watoto cha Michuzi,Bonda. At least Dina na segment zake anafunika mara kumi elfu kwa vipindi vya Clouds

akuuwa michuzi na fina ni kipanya na fina ila uyo hando anazingua sana
 
Unamfagilia Hando kwa kipi cjui kabisa! Hvwajua kipindi cha pwr bfast cha Michuzi na Fina kilikuwa the best programme kwa kipindi kile? Kwanza 12 kamili washaanza kuongea. Akaja Hando na magazeti akawa anaboa. (unajua tena watu wanaotoka kwa M/kiti Mengi swaga zao) baada ya kuondoka kwao hata pale Clouds wanakiri haitatokea replacement yao tena! Ama kipindi cha watoto cha Michuzi,Bonda. At least Dina na segment zake anafunika mara kumi elfu kwa vipindi vya Clouds
Michuzi????????? au unamzungumzia Masoud Kipanya!!
 
oooh! poor PB hakina mvuto tena, kimepoteza mashiko wanaokiendesha wote wamefail, masikini kipindi changu kilichobaki Clouds ni Sport extra...
 
Tangu Gerald Hando aondoke Clouds huyu jamaa Wasiwasi amechukua nafasi yake kwenye Power Breakfast. Anachoendeleza ni ukatuni na mizaha tu yaani hata haelewi nini cha kufanya. Linachekaacheka tu na kumfanya Barbara awe na kazi ya ziada. Hivi hawa watangazaji Clouds inawaokota wapi?
kama gerald hayupo sisikilizi tena hichho kipindi
 
Kweli kabisa mkuu, Clouds Fm ya 2000-2004 ndiyo ilikuwa Clouds ya ukweli. Huyu Hando alikuwa aningia kama msoma magazeti tu lakini eti leo anaongoza kipindi. Kipindi hicho hata Chuchuchu ya J'mosi ilikuwa hot sana
hata 2005-2008 pb ilikuwa sawa nakumbuka enzi zile za chenge na vijisenti,dah hadi raha sijui kwanini waliondoka,siku hizi hamna kitu bora bonge tu kidogo..jahazi pia kibonde alikuwa anasoma alasiri na dar leo kazi kwisha eti leo ndio wanaongoza vpindi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom