- Mimi ni mwananchi wa Mtera kwa hiyo ninayo kila sababu kumtetea mbunge wangu, what is you problem mkuu?
FMEs! hapa?
Hata mimi ni mwananchi wa Mtera, na ninasema we don't want Malecela to represent us in the parliament. Habari ndio hiyoooo, peleka hizo salamu, umfikishie kama zilivyo.
Uko kwenye payroll ya Malecela mzee? Ukimtetea wewe ni sawa, anayempinga sio sawa, eti ana chuki. Demokrasia ya wapi hii?