Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 88
Majukumu ya mbunge ni nini kwa uelewa wako?
kazi ya mbunge ni kutetea maslahi ya wananchi wake (jimboni) na pia kuleta maendeleo katika jimbo lake
Majukumu ya mbunge ni nini kwa uelewa wako?
jina la mbunge:hafidh ali tahir
jimbo lake:maungani
chama chake:ccm
muda aliokaa bungeni:1 term
sababu za kukatalika kwake hana jipya bora arudi urefaree kama cambell arsenal.
mtupu kazinikichwani hana jipya alilofanya tokea alipokuwa mwakilishi jimbo la rahaleo
nashangaa znz tuna wabunge na wawakilishi lkn matokeo yake hakuna maendeleo hawa watu wanalipwa kufanya kazi gani.
hafidh nadhani elimu yake ni form 4.
Jina la Mbunge:Makongoro Mahanga
Jimbo lake:UKONGA
Chama Chake:Chukua Chako Mapema
Muda aliokaa bungeni(ikiwezekana sio umri please):Misimu miwil
Sababu za kukataa kurudi kwake:
-Anaunga mkono ufisadi na hajafanya chochote.
-Angalia barabara ya Ukonga Mombasa kwenda Mazizini na Ukonga Barabara za Banana.
-Angalia maisha ya watu wa Gongo la Mboto yalivyo ya hovyo.
-Hakuwatetea kabisa wakazi wa Kipawa.
-Angalia huduma za afya jimboni kwake zilivyo bomu-hakuna hata hospitali moja ya maana.
Mbona hata Mo Dewji huwa haongei wala kuchangia mada Bungeni lakini anafanya kazi nzuri sana kule Singida? Na wananchi wake wanampenda!
Ubunge sio kupiga kelele Bungeni na kuwa mtu wa kuandikwa magazetini na kuonekana luningani kila siku, Ubunge ni kuchapa kazi.
this time MAKWETA anapaswa kuniachia jimbo
huyu ndio bomu kabisa anawatumia watu wa singida kama angekuwa anawapenda makao makuu ya Afican lyon yangekuwa singida ili kukuza mpira wa jimboni kwake
Anafanya kazi ya kuwa kibaraka wa mafisadi badala ya kutetea na kuwashughulikia wananchi wa jimbo lake. Shame on him!Jina la Mbunge:Makongoro Mahanga
Jimbo lake:UKONGA
Chama Chake:Chukua Chako Mapema
Muda aliokaa bungeni(ikiwezekana sio umri please):Misimu miwil
Sababu za kukataa kurudi kwake:
-Anaunga mkono ufisadi na hajafanya chochote.
-Angalia barabara ya Ukonga Mombasa kwenda Mazizini na Ukonga Barabara za Banana.
-Angalia maisha ya watu wa Gongo la Mboto yalivyo ya hovyo.
-Hakuwatetea kabisa wakazi wa Kipawa.
-Angalia huduma za afya jimboni kwake zilivyo bomu-hakuna hata hospitali moja ya maana.