Wasiostahili kurudi bungeni 2010

majungu gani banawee kafanya nini mzee yule hana dira kaishiwa sera hana jipya..akapumzike 75 yrs ni umri wa yeye akae na wajukuu zake hana jipya jimboni.....

- Mkuu Yo yo ungetuambia aliyofanya mbunge wako mwenye umri mdogo kwanza au? Yaani na wewe kumbe baba yako amefikia huo umri ndio maana ukajua kua hana akili sawa sawa? Bwa! ha! ha! sasa unafikir ni wote unachekesha kweli mkuu!

FMEs!
 

- Ubunge wa Malecela unakutatiza vipi mkuu ni muda sasa umeshupalia haya vipi amekuchukulia mkeo nini, maana hapa ni wewe na Bangusule kila kukicha mna tatizo na Mzee na mkewe huenda mna serious problem lisemeni tunaweza kuwasaidia maana sijawahi ona hii obsession, kama ni ubunge ni sisi wa jimbo lake ndio tunajua faida ya kuwepo kwake jimboni kwetu!

- Pension amekuwa akiila kwa muda mrefu sana sasa ndio maana siku zote yuko majuu, au huko majuu kuna bunge la Tanzania? Sasa hivi yuko njiani kwenda London na US, majuzi alikuwa Nairobi kushirki mkutano wa ma-chancellor wote wa EAC, si unajua ni Chancellor wa Open University kwa hiyo mkuu hiki kikorosho kitakukwama maana haendi kokote mkuu! Bwa! ha! ha!

- Ungekwua unawajali wananchi wa Mtera, basi usingekwua na chuki na huyu mzee, acha ubinafsi, halafu naomba tutajie mbunge anayefaa?

Unam lalamikia kwa kushabikia Malecela aondoke sasa mbona na wewe una shabikia abaki? Kama wote mna upande mano shabikia unamsema mwenzio wa nini? Acha kumsema mwenzio for the same thing u r doing. Malecela kakuomba umpigie debe?
 
Mbona na wewe kama unaongeleawenzako? Mna muhirtaji wananchi wa jimbo lako wame kuomba uwasemee? Kwanza wabunge wakisha ingia bungeni wana tetea maslahi ya taifa zima siyo ya majimbo ya tu kwa hiyo kila mwananchi ana haki ya kuongelea jimbo lolote analo taka.

- Mimi huwa ninaongelea specifics, hata siku moja siwezi kuja hapa kumlilia mbunge ambaye hana kosa kwenye taifa, vipi wakuu mmeishiwa topics vipi?

- Mtera ni jimbo langu na wala sina wasi wasi na nani anatufaa kwenye jimbo letu, na soon nitakuwa huko kusaidia kampeni, pia nitaenda majimbo mengine ya wabunge ninaowaaminia, ndio maana majuzi nilikuwa Iowa, na Jap kwenda kutafuta misaada kwa ajili ya hao wabunge, mkuu sio wote tunaopiga blah! balh! tu hapa!

- ila ninaomba nikukumbushe one thing, Mtera tunamuhitaji sana huyu Mzee, maana akiondoka tu tumekwisha kabisaa, uliza majimbo ya wengine Dodoma, hivi unajua hili Mtera ni jimbo peke yake lenye shule na zanahati kila tarafa katika Tanzania nzima?

Respect

FMEs!
 
All those who are older than 65 years should exit,they can't even concentrate for 15 minutes without sleeping.Now how can they listen and submit my problems and complains to the gvt.
 
- Mkuu Yo yo ungetuambia aliyofanya mbunge wako mwenye umri mdogo kwanza au? Yaani na wewe kumbe baba yako amefikia huo umri ndio maana ukajua kua hana akili sawa sawa? Bwa! ha! ha! sasa unafikir ni wote unachekesha kweli mkuu!

FMEs!
usijuzaie bandwidth mkuu hakuna mtu mwenye akili timamu akamchagua malecela kama mbunge 2010.....tinga tinga muda wake umeisha tunamshukuru kwa aliotufanyia apumzike kwa amani ale pensheni yake.....
 
Unam lalamikia kwa kushabikia Malecela aondoke sasa mbona na wewe una shabikia abaki? Kama wote mna upande mano shabikia unamsema mwenzio wa nini? Acha kumsema mwenzio for the same thing u r doing. Malecela kakuomba umpigie debe?

- Ninashabikia abaki kwenye jimbo langu, yes ndio ninachokifanya what is wrong with that?

- Eti sheria ya jamhuri inasema nini kuhusu umri wa wabunge au na wewe ni hao hao hamna jipya?

FMEs!
 
- ila ninaomba nikukumbushe one thing, Mtera tunamuhitaji sana huyu Mzee, maana akiondoka tu tumekwisha kabisaa, uliza majimbo ya wengine Dodoma, hivi unajua hili Mtera ni jimbo peke yake lenye shule na zanahati kila tarafa katika Tanzania nzima?

Respect

FMEs!
kama kakutuma uanze kumpigia kampeni keshaanguka........!!

hata biblia inasema umri wa mtu kuishi ni miaka 70...makumi mawili matatu na makumi moja moja.....ati mtera mnamuitaji umekuwa msemaji wa wananchi wa mtera?

.....malecela hafai miaka yoote kafanya nini bana apishe na damu changa zitie chachu abaki kuwa mshauri wao sio lazima akasinzie mjengoni
 
usijuzaie bandwidth mkuu hakuan mtu mwenye akili timamu akamchagua malecela kama mbunge 2010.....tinga tinga muda wake umeisha tunamshukuru kwa aliotufanyia apumzike kwa amani ale pensheni yake.....

- Too low kukujibu, pole sana mkuu! Ninataka kuamini wewe ndiye utakatyekuja kumtoa ubunge tutakusubiri wka hamu sana mkuu, vipi na wewe ukiacha kutujazia pages maana huna jipya!

FMEs!
 
All those who are older than 65 years should exit,they can't even concentrate for 15 minutes without sleeping.Now how can they listen and submit my problems...


Jmmari karibu sana JF, asante kwa mawazo yako mazuri. Wazee kama huyu tingatinga wasigombee ubunge, wakalee wajukuu.
 
kama kakutuma uanze kumpigia kampeni keshaanguka........!!

hata biblia inasema umri wa mtu kuishi ni miaka 70...makumi mawili matatu na makumi moja moja.....ati mtera mnamuitaji umekuwa msemaji wa wananchi wa mtera?

.....malecela hafai miaka yoote kafanya nini bana apishe na damu changa zitie chachu abaki kuwa mshauri wao sio lazima akasinzie mjengoni

-Unajua mkuu kama baba yako amefikia umri wa miaka 75 na hajiwezi kwa sababu ya maisha magumu ya Tanzania inaeleweka, ila haina maana wananchi wote wenye miaka 75 wana matatizo ya akili kama ya mzazi wako hapo tu ndipo unapokosea.

- Eti sheria iansema nini kuhusu umriw a wabunge maana tujadili ishus na facts mkuu, weka hapa sheria iansema nini? Bwa! ha! ha! ah!

Respect.

FMEs!
 
All those who are older than 65 years should exit,they can't even concentrate for 15 minutes without sleeping.Now how can they listen and submit my problems and complains to the gvt.

- Haya maneno yako yametuponza sana 2005, kwani rais wa sasa ana umri gani mkuu? kwa kazi nzuri anayoifanya? Bwa! ha! ha!

FMEs!
 
- Ninashabikia abaki kwenye jimbo langu, yes ndio ninachokifanya what is wrong with that?

- Eti sheria ya jamhuri inasema nini kuhusu umri wa wabunge au na wewe ni hao hao hamna jipya?


FMEs!

Wewe unamshabikia abaki mwingine anamshabikia aondoke so na mwenzio kafanya kosa? If you are going to give your views let others do the same. We unamuona anafaa mwenzio anaona fahai. We chakufanya useme kwanini anafaa ila siyo kum kataza mwingine kusema hafai.
 

Jmmari karibu sana JF, asante kwa mawazo yako mazuri. Wazee kama huyu tingatinga wasigombee ubunge, wakalee wajukuu.

- Yaani mzee wako baada ya kufikia miaka 75 amesihia kulea wajukuu, labda ungetuambia elimu yake vipi mkuu iko sawa sawa maana tunawajua wazee wengi wenye huo umri wanaelimisha mataifa yao kwa kutumia elimu waliyonayo, vipi mkuu mzee alikimbia umande nini? BWa! ha! ha! ha!

- Uwiano naomba tena eti sheria inasema nini kuhusu umri wa wabunge wetu?

FMEs!
 
- Acha matusi mkuu, Mtera bado tunamuhitaji sana, kama mnazo akili za kujua kiongozi anayefaa basi tusaidieni rais anayefaa, otherwise kaeni msubiri tuwachagulieni tunaopiga kura kila uchaguzi unapokuja!

- Mimi baba yangu ni mzee wa miaka 75 na ana akili zake kama kawaida, inawezekana baba yako baada ya kufikia umri huu ameishiwa akili kutokana na kukosa matunzo na maisha yetu ya bongo pole sana sio wazee wote wako kama wa kwako mkuu, Bwa! ha! ha! ha! maana huwezi kusema bila ya kuwa na mfano wa karibu bwa! ha! ha!

FMEs!

Kama unaona bado anaakili sawa na vijana wa 30s nadhani unakosea sana ...kaulizake ziko very controversal, si unasikia anavyobomoa eti asitokee Mtu wa kumpinga JK, huko BUSANDA ndo anafuka moshi wa pumba ile mbaya eti tutawaletea umeme ukichangua CCM...mzee apepewe huyo hana jipya akili yake kwishne,,
 
Wewe unamshabikia abaki mwingine anamshabikia aondoke so na mwenzio kafanya kosa? If you are going to give your views let others do the same. We unamuona anafaa mwenzio anaona fahai. We chakufanya useme kwanini anafaa ila siyo kum kataza mwingine kusema hafai.

- Mkuu naona umesihiwa hoja, ni wapi nimemkataza mtu hapa kusema anayotaka? Kama unamtaka kiongozi yoyote atoke basi uweke hoja sio umri maana sheria haina lolote kuhusu umri wa wabunge, eti ni kipi usichoelewa

- Mimi ni mwananchi wa Mtera kwa hiyo ninayo kila sababu kumtetea mbunge wangu, what is you problem mkuu?

FMEs!
hapa?
 
-Unajua mkuu kama baba yako amefikia umri wa miaka 75 na hajiwezi kwa sababu ya maisha magumu ya Tanzania inaeleweka, ila haina maana wananchi wote wenye miaka 75 wana matatizo ya akili kama ya mzazi wako hapo tu ndipo unapokosea.

- Eti sheria iansema nini kuhusu umriw a wabunge maana tujadili ishus na facts mkuu, weka hapa sheria iansema nini? Bwa! ha! ha! ah!

Respect.

FMEs!
Wana mtera sio wajinga tena.......hakuna cha umri mkuu ni kwamba hana jipya kaishiwa......ni muda wake akalee wajukuu zake mjengoni hahitajiki...
 
Kama unaona bado anaakili sawa na vijana wa 30s nadhani unakosea sana ...kaulizake ziko very controversal, si unasikia anavyobomoa eti asitokee Mtu wa kumpinga JK, huko BUSANDA ndo anafuka moshi wa pumba ile mbaya eti tutawaletea umeme ukichangua CCM...mzee apepewe huyo hana jipya akili yake kwishne,,

- Kwa hiyo kwa sababu amesema Kikwete aendelee basi ajiuzulu ubunge? Kwa kuwa amesema Busanda wakiichagua CCM itawapa umeme basi ajiuzulu ubunge wa Mtera?

- Mkuu Masa mbona huwa ninakuona kichwa vipi leo kuna mtu ameiba code yako nini?

- Je mkuu unaweza for once kunisaidia sheria ya jamhuri iansema nini kuhusu wabunge na umri?

FMEs!
 
All those who are older than 65 years should exit,they can't even concentrate for 15 minutes without sleeping.Now how can they listen and submit my problems and complains to the gvt.

Kuna haja ya kubadili katiba kugombea ubunge mwisho miaka 60, hututaki dead woods Kina Malecela, Mzindakaya, Makweta its time to rest...jamani kupunguza hata chances za by elections....
 
Wana mtera sio wajinga tena.......hakuna cha umri mkuu ni kwamba hana jipya kaishiwa......ni muda wake akalee wajukuu zake mjengoni hahitajiki...

- Aliyeishiwa hapa sio siri kumjua, naomba unisaidie mkuu sheria inasema nini kuhusu wabunge na umri?

FMEs!
 

- Mkuu naona umesihiwa hoja, ni wapi nimemkataza mtu hapa kusema anayotaka? Kama unamtaka kiongozi yoyote atoke basi uweke hoja sio umri maana sheria haina lolote kuhusu umri wa wabunge, eti ni kipi usichoelewa

- Mimi ni mwananchi wa Mtera kwa hiyo ninayo kila sababu kumtetea mbunge wangu, what is you problem mkuu?

FMEs!
hapa?

Ok maybe approach yangu was wrong, samahani kwa hilo. So Malecela kafanya nini tumpigie kura mwakani? Nakubaliana na wewe kuwa ziwekwe hoja basi na wewe hoja yako ni nini kwa MAlecela kubaki? It's just a question. Maybe kuna kitu kafanya hao wanaompinga hawajui. So kwa sababu umeamua kumtetea obviously kafanya something umependa so ni vipi hivyo? Siyo kuwa nataka kugombana mkuu nauliza tu nijue.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom