Wasioolewa na kujiamini kupitia vitu

Wasioolewa na kujiamini kupitia vitu

Kumetokea nini humu JF siku hizi? hii ni ile ile JF ninayoijua ama nimepotea njia? yaani kila nikichungulia mada ni hizi hizi, zile mada zetu zileee za wakati uleee za kuelimishana/kufundishana zimeishilia wapi? nini kimetokea? kwamba hakuna maisha zaidi ya kuoa na kuolewa, sijui 30+ na ujinga mwingine mwingi? hakuna maisha zaidi ya hayo?na hawa wanaume wanaoanzisha hizi mada huko kwenye koo zao dada zao wote wameolewa? kumetokea nini mpaka mnafatana matakoni kwa mambo ya kijinga kiasi hiki? kwamba mtu anataka mwenzie aishi jinsi anavyotaka yeye? kwamba hajaolewa basi amekuwa na kilema ama vipi? kwanini mnapangiana maisha? kwanini mtake mtu mwingine aishe utakavyo wewe? umeoa poa, hajaolewa ni maisha yake hayakuhusu, kwamba wewe ulieoa/olewa ndio una amani zaidi kuliko wengine? baadhi ya watu humu wana fikira za kiupuuzi sana, tena upuuzi uliopitiliza, kila mtu anaishi atakavyo jamani!

yaani siku hizi jf inatia hadi uvivu kuingia. upuuzi kibao na kufatana fatana. zamani tulikuwa tunakesha humu mada moto moto tunachat tunafurahi. siku hizi ukisign in tu lazma mawili matatu ya kukukera.
 
Haya ni matokeo ya mtandao wa jf kukua...... na kutokua na quality controls

kufuatana kwiiingiiii
Watoto wamejaa humu na maisha ya kusadikika

Hakuna tena posti za kuelimisha wala kufunzana... ni mwendo wa kushambuliana na kusutana

Kiukweli jf imekua kama facebook tena bora hata facebook utatangaza biashara za pochi viatu na kupata wateja

kwakweli ni sheeedah! yaani unamvumilia mtu hadi unaamua kumpa lake na yeye mwisho wa siku mnaonekana wote wapuuzi. inakera sana.
 
Jiwe limewapata kwelikweli afu majina yaleyale ya akina nanii....! Desperate woman huitaji kutumia nguvu kumjua, she iz always tempared ata jambo dogo lina muuma sana, ukisema utani kwake ni ukweli kiufupi kuishi naye unatakiwa na moyo,,,! shost wenu Matola mimi natupa tu litayempata utasikia tu sauti aiiihhh...! Afu mitusi kibao dua la kuku halinipati mimi mtoto wa kunguru. Mnyuuuuuu(msonyoo) tutawaseme tuuh kichaka kimestukiwa tutakichoma jf siyo genge la waaarifu nitawaster tuuu nyote, wikiend nitakuwa free itaneni mnichangie jesi la mtu mmoja mura...!
 
Last edited by a moderator:
kwakweli ni sheeedah! yaani unamvumilia mtu hadi unaamua kumpa lake na yeye mwisho wa siku mnaonekana wote wapuuzi. inakera sana.

Tena inakera sana...

Sijui ni utoto au ni nini

Jf imepoteza muelekeo
 
  • Thanks
Reactions: awp
kwakweli ni sheeedah! yaani unamvumilia mtu hadi unaamua kumpa lake na yeye mwisho wa siku mnaonekana wote wapuuzi. inakera sana.

We husnyinyo siyo saizi yangu! Ata usitake kuyakuza as ifu unabiff na mie...! Low graded ebu nikaushie wenda age tu ndiyo unanitoa baasi
 
Zinatosha hizi thread sasa dah. Hawa kinadada wamekosa nini hadi wasakamwe hivi? Hivi unajua style za maisha za kila mmoja wetu?
 
mada zangu humu za hizo hazidi nne au tano,huna naweka according mazingira nayoishi,labda wengi waliona ina ukweli,na simlengi mtu maana ningekuwa na hayo matatizo nisingeleta huku,i know how to solve,kwanza hili
jukwaa si langu mi huwa na nakesha jokes,..............btw kwa kusoma saikolojia lazima nikuelewe,ila haimhusu mtu

Vile tu sijui kuquote comments kutoka thread nyingine....kiufupi mnaboa sana na wala hamko kwa nia ya kurekebisha.

Btw...unanisoma kisaikolojia au fikra zako ndo zakutuma hivyo??!! Yaleyale tu kama siku ile ukajifanya kuunganisha quotes kuwa tumboo ndiye dalaber na ndo mwenye ujauzito.....mkashupaa weee mwenyewe alivokuja kuwauliza hapa nywiiiii mkanywea na hamkuonekana......FUNNY!

Haya rudi nisome vizuri tangu enzi zileee ili unielewe vizuri.....sawa????!!
 
Last edited by a moderator:
Umeona eeeheh...! Andai ana twenty 23, walio olewa safi Bintisayuni katulia haya masalia ndiyo yanachafua hali ya hewa.

hahahahaaaa! Kweli masalia yanasumbua sana. Kizur kilishauzika ila masalia bado yanapigwa jua hahahaaaa
 
Last edited by a moderator:
Jiwe limewapata kwelikweli afu majina yaleyale ya akina nanii....! Desperate woman huitaji kutumia nguvu kumjua, she iz always tempared ata jambo dogo lina muuma sana, ukisema utani kwake ni ukweli kiufupi kuishi naye unatakiwa na moyo,,,! shost wenu Matola mimi natupa tu litayempata utasikia tu sauti aiiihhh...! Afu mitusi kibao dua la kuku halinipati mimi mtoto wa kunguru. Mnyuuuuuu(msonyoo) tutawaseme tuuh kichaka kimestukiwa tutakichoma jf siyo genge la waaarifu nitawaster tuuu nyote, wikiend nitakuwa free itaneni mnichangie jesi la mtu mmoja mura...!

Kiongozi,
Usijione uko peke yako.Anayetukana unamjibu kwa hoja tu.
 
We husnyinyo siyo saizi yangu! Ata usitake kuyakuza as ifu unabiff na mie...! Low graded ebu nikaushie wenda age tu ndiyo unanitoa baasi

kaka acha kujipendekeza.. hiyo nimemjibu badili tabia. nishakwambia mapema huwa sijadiliani na mapaka shume kama wewe usiejielewa usiejua hata kuandika. Sina muda mchafu wa kupoteza kwako... na kuprove hilo sitokujibu tena posts zako zitakazofatia.
 
Nyooooooo we unazani kila mtuu ana gundu kama lakoooo pumbaaaaf wewe au wazan naeza kua na wewe huna mbele ujielewii

angalia wenzako akina Bint sayun Mrs leo wametulia tuli na ndoa zao.
Lakn nyie masalia mdomo huo.... Acha tuendelee kuwagaragaza kwenye magest na muendelee kuhudhulia send off na harusi za wenzenu
 
Last edited by a moderator:
Huu ndo ukweli. Wakubali, wakatae, watukane, hawawezi kubadili uhalisia kwani ni agizo kutoka kwa Mwenyezi. MUNGU
 
#Avemaria na tumboo, you guys are burning this place today!, I'm loving this y'all!, weekend yaja mwataka kwenda wapi?!, and everything on moi!

Washenzi wakubwa hao....kila siku wanawake hiki, wanawake kile, mara above 30 wamejamba sijui wakapumua....aghaaaa!!! Kisa tu wamechunwa....na hatuwachekei nakwambia, watabadilisha IDs ila mwendo ni ule ule. Gabbage in gabbage outd
 
My dear kuna tofauti kati ya mwanaume na mwenye jinsia ya kiume....

Mwanaume matured anayejitambua huwezi kumkuta anaongelea upuuzi wa namna hii....kwanza anaelewa maisha na anajua maisha ni zaidi ya kuoa/kuolewa...

Huwezi kumkuta anaposti thread za namna hii

Hawa wengine ni wa kuwaombea tu


halafu hata kuandika wengine hawajui.. inashangaza zaidi unakuta dume zima linapigizana kelele na watoto wa kike. hivi kweli kwa maisha haya dume zima unaweza kukaa unasogoa tu! kazi kwelikweli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom