Wasifu mfupi wa marehemu mtarajiwa 2015

Wasifu mfupi wa marehemu mtarajiwa 2015

Marehemu atakumbukwa sana na watu wa Igunga kwa rushwa ya masinia makubwa ya ubwabwa....
 
Marehemu atakumbukwa sana na watu wa mbagala na gongolamboto kwa mabomu yalolipuka yenyewe kwa makusudi kabisa.
 
MAREHEMU ALIZALIWA 05.02.77,ENZI ZA UHAI WAKE lijishughulisha na kuua mazao ya biashara😛amba,tumbaku,kahawa.korosho,na katani pia marehemu atakumbukwa kwa kazi kubwa aliyoifanya kwa bidii ya kutaifisha nakuua viwanda na makampunibinafsi,kuua vyama vya wakulima,kuua na kuuzamakampuni na viwanda vya umma,Atakumbukwa kwa ufisadi na ubadhilifu wa fedha na kodi za serikali,pia aliwaleta na kuwapa wageni mali za wa Tz,Ameacha wachina kariakoo,makaburu mererani na wazungu wa kila aina kwenye.na chanzo cha umauti wake ni GESI YA MTWARA.OOH JINA LA MAREHEMU NI CCM.

Huyo si alikuwa anaitwa Azimio, alizaliwa January akabatizwa tarehe 5-2-1967 na akafa na kuzikwa Zanzibar. Hatutamsahau.
 
Nani aliyetaifisha mali za watu kama si Azimio na baba'ke?
Hapa ndipo wanaponishangaza Waislamu wa CCM, wao CCM safi ila muasisi wake Mkristo No!! mjiandae kisaikolojia JK anaondoka CCM anakuja Mkristo sasa sijui mtaamia CUF?
 
Endelea kuota ndoto zako, bila shaka usingizi ukiisha utajua ulikuwa unaota tu.
MAREHEMU ALIZALIWA 05.02.77,ENZI ZA UHAI WAKE lijishughulisha na kuua mazao ya biashara😛amba,tumbaku,kahawa.korosho,na katani pia marehemu atakumbukwa kwa kazi kubwa aliyoifanya kwa bidii ya kutaifisha nakuua viwanda na makampunibinafsi,kuua vyama vya wakulima,kuua na kuuzamakampuni na viwanda vya umma,Atakumbukwa kwa ufisadi na ubadhilifu wa fedha na kodi za serikali,pia aliwaleta na kuwapa wageni mali za wa Tz,Ameacha wachina kariakoo,makaburu mererani na wazungu wa kila aina kwenye.na chanzo cha umauti wake ni GESI YA MTWARA.OOH JINA LA MAREHEMU NI CCM.
 
Marehemu pia alijihusisha na usafirihaji wa Twiga na pembe za ndovu na kikataba feki.
 
marehemu alizaliwa 05.02.77,enzi za uhai wake lijishughulisha na kuua mazao ya biashara😛amba,tumbaku,kahawa.korosho,na katani pia marehemu atakumbukwa kwa kazi kubwa aliyoifanya kwa bidii ya kutaifisha nakuua viwanda na makampunibinafsi,kuua vyama vya wakulima,kuua na kuuzamakampuni na viwanda vya umma,atakumbukwa kwa ufisadi na ubadhilifu wa fedha na kodi za serikali,pia aliwaleta na kuwapa wageni mali za wa tz,ameacha wachina kariakoo,makaburu mererani na wazungu wa kila aina kwenye.na chanzo cha umauti wake ni gesi ya mtwara.ooh jina la marehemu ni ccm.
upele nimeikubali hii
 
Last edited by a moderator:
kaua elimu kwa kiwango kibaya sana!darasa la mkoloni la nne ni zaidi ya mwanafunzi wa kidato cha sita kwa ccm

Frankly, marehemu alaaniwe kwa kuua elimu hata kufikia kiwango cha kutokuwa na mtaala wa elimu. Shame on ccm!
 
Wasifu huu ungeenda mbele kidogo japo hatua mbili kueleza jinsi marehemu magamba alivyo sababisha udhaifu wa kwenye sekta ya elimu kwa kuwaacha watoto wake 5200 walio faulu bila kujua kusoma na kuandika! Huku idadi ya wasiojua kusoma na kuandika ikipanda kutoka 18% mwaka 1975 hadi 33 mwaka 2011.

Nimewaona wajukuu wa marehemu wakipiga jaramba na maneno ya shombo kama kawaida yao! Poleni sana kina macha na tzri.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Mkuu MM,
Naunga mkono hoja ya kuongezea kidogo wasifu huu. Tutatukuwa wachoyo wa fadhila, tusipotaja namna marehemu alivyofanikiwa kuuwa mamia ya tembo na kupandisha twiga hai kwenye ndege bila kuonekana na mtu yeyote
 
Marehemu alichochea unasikini, alikuwa fisadi na alisababisha mauaji ya raia... Aka rest with Lucifer tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom