WASIFU WA MAREHEMU
Historia fupi ya marehemu CCM.marehemu CCM alizaliwa tarehe 05/02/1977 enzi za uhai wake marehemu alijishughulisha na kuua mazao ya biashara kama pamba ,tumbaku ,kahawa ,korosho na katani.
Marehemu atakumbukwa kwa kazi kubwa aliyoifanya kwa bidii ya kuua viwanda kama Mwatex ,Mutex ,Kiltex ,Ufi ,Bora ,na Tenelec ,Mgololo ,Tanganyika packers na Viwanda vya Maziwa pia aliwaleta na kuwapa wageni mali za watanzania.
Ameacha wachina Kariakoo ,Waarabu Loliondo ,Makaburu Mererani na wazungu wa kila aina kwenye migodi yote ya madini na gesi nchini.
Marehemu atakumbukwa kwa tuhuma za Ufisadi ,Umasikini ,Ujinga ,na huduma mbovu za maji na umeme ,afya ,miundombinu ,Elimu na Uuzaji hovyo nyumba za serikali.
Marehemu ameacha mke mmoja jina ni ACT na watoto wawili UDP na TLP bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe na libarikiwe.
Historia fupi ya marehemu CCM.marehemu CCM alizaliwa tarehe 05/02/1977 enzi za uhai wake marehemu alijishughulisha na kuua mazao ya biashara kama pamba ,tumbaku ,kahawa ,korosho na katani.
Marehemu atakumbukwa kwa kazi kubwa aliyoifanya kwa bidii ya kuua viwanda kama Mwatex ,Mutex ,Kiltex ,Ufi ,Bora ,na Tenelec ,Mgololo ,Tanganyika packers na Viwanda vya Maziwa pia aliwaleta na kuwapa wageni mali za watanzania.
Ameacha wachina Kariakoo ,Waarabu Loliondo ,Makaburu Mererani na wazungu wa kila aina kwenye migodi yote ya madini na gesi nchini.
Marehemu atakumbukwa kwa tuhuma za Ufisadi ,Umasikini ,Ujinga ,na huduma mbovu za maji na umeme ,afya ,miundombinu ,Elimu na Uuzaji hovyo nyumba za serikali.
Marehemu ameacha mke mmoja jina ni ACT na watoto wawili UDP na TLP bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe na libarikiwe.