upele
JF-Expert Member
- Mar 3, 2010
- 364
- 31
MAREHEMU ALIZALIWA 05.02.77,ENZI ZA UHAI WAKE lijishughulisha na kuua mazao ya biasharaamba,tumbaku,kahawa.korosho,na katani pia marehemu atakumbukwa kwa kazi kubwa aliyoifanya kwa bidii ya kutaifisha nakuua viwanda na makampunibinafsi,kuua vyama vya wakulima,kuua na kuuzamakampuni na viwanda vya umma,Atakumbukwa kwa ufisadi na ubadhilifu wa fedha na kodi za serikali,pia aliwaleta na kuwapa wageni mali za wa Tz,Ameacha wachina kariakoo,makaburu mererani na wazungu wa kila aina kwenye.na chanzo cha umauti wake ni GESI YA MTWARA.OOH JINA LA MAREHEMU NI CCM.