Zanzibar 2020 Wasifu: Dkt. Hussein Ali Hassan Mwinyi, Rais ajaye wa Zanzibar

Jiwe... ni magufuri john pombe joseph Rais mpendwa wa tanzania.

Maana ya jina hili jiwe....... huyu alifananishwa na aliyekuwa mwanafunzi wa YESU aitwaye petro ambaye Yesu alisema UMEKUWA JIWE KUU LA PEMBENI au Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni .

Hakuna ane bisha magufuri wengi walimkataa hata ndani ya ccm, ila ndiye amekuwa mtu muhimu kuivusha nch.
Umeongopa mkuu, ishu ya jiwe alijiita yeye mwenyewe akisema yeye hababaishwi, sasa sina uhakika kama umepotosha makusudi au ni kwasababu wewe ni matanga basi umatanga wako unautumia kama justification ya kuwa mjinga, amka mkuu wewe uko timamu.
 
Ingekuwa amri yangu ningepiga marufuku mtu ukiwa Rais na mtoto wako aje kuwa Rais. Hii nchi sio ya kifalme na kuna watu milioni 60. Angalia Karume kaka mtu nae anataka kuwa Rais!.

Najua kuna watakao sema nao ni watanzania wana haki kugombea ila ni lazima tuwe realistic.
George W. Bush Sn. alimzaa George Bush Jr. na wakapishana kwa Bwana Clinton hapo kati yao. Bill Clinton alikuwa rais na mkewe akagombea urais tena akipewa nafasi kubwa ya kushinda kama anavyogombea huyu Mwinyi. Demokrasia haibagui wala kutenga watu.
 
Naona huko Zanzibar mnaleta mambo ya ki-chifu.

  • Abeid Amani Karume-rais wa kwanza Zanzibar
  • Aman Abeid Karume- rais mstaafu Zanzibar
  • Ali Hassan Mwinyi -rais mstaafu Zanzibar na Tanzania
  • Hussein Mwinyi -mgombea urais 2020
  • Ali Karume -mgombea urais 2020

Hii yote ni himaya ya ccm ndugu watanzania tuwe macho na machifu hawa tuwakatae.
 
Muulizeni alilishughulikia vip suala la vijana wa jkt walioshiriki kwenye miradi mbali mbali ya ujenzi wa ukuta mererani ,nyumba 41 ,ikulu na ukonga waliofukuzwa kama mbwa kwenye kambi ya awali ya mafunzo ya kijeshi msata ili hali walipewa zawadi ya ajira na mh mpendwa wetu Dr john pombe Joseph magufuli
 
Pdidy bhana.
Hao ambaoo hawajakibadilisha hicho kisiwa mpaka leo ni wa kutoka chama gani? 🤣 🤣 🤣
 
Hussein Ali Mwinyi anafaa kuwa raisi wa Zanzibar kwa sababu ni mtu makini. Kama ameweza kuwa waziri wa Ulinzi na hakukuwa na rabsha kuhusu uwongozi wake basi anafaa next level.
 
Ingekuwa amri yangu ningepiga marufuku mtu ukiwa Rais na mtoto wako aje kuwa Rais. Hii nchi sio ya kifalme na kuna watu milioni 60. Angalia Karume kaka mtu nae anataka kuwa Rais!.

Najua kuna watakao sema nao ni watanzania wana haki kugombea ila ni lazima tuwe realistic.
Mbona Kenya mtoto wa Rais wa kwanza anatawala ?
 
Hakuna cha Makame Mbarawa wala nani. Huyu ndiye atayeiingiza Zanzibar kwenye karne ya 21.

Wasifu wake ni huu hapa:




GENERAL
SalutationHon.
First Name: Dr. Hussein
Middle Name:Ali
Last Name:Mwinyi
Member Type:Elected Member
Constituent:Kwahani
Political Party:Chama Cha Mapinduzi
Office Location:P.O. Box 9120, Dar es Salaam
Office Phone: +255 754 279 343/+255 754 995 555Office Fax:
Office E-mail: hmwinyi@parliament.go.tz
Member Status: Active
Date of Birth 23 December 1966

[TD valign="top"]
Member picture
1042.jpg
[/TD]
EDUCATION
School Name/LocationCourse/Degree/Award
Start Date
End Date
Level
Manor House Junior School, Cairo, Egypt
CPEE​
1977​
1981​
Primary School​
Oysterbay Primary School
CPEE​
1972​
1976​
Primary School​
Azania Secondary School
CSEE​
1982​
1984​
Secondary School​
Tambaza High School
ACSEE​
1984​
1985​
Secondary School​
Marmara University Medical School, Istanbul Turkey
Doctor of Medicine​
1985​
1991​
Certificate​
Hammersmith Hospital, London, UK
Masters (Medicine)​
1991​
1997​
Masters Degree​
Hammersmith Hospital, London, UK
PhD​
1994​
1997​
PhD​
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name
Position
From
To
Ministry of Defence and National ServiceMinister
2014-01-20​
2015​
Ministry Of HealthMinister
2012​
2014-01-20​
Vice-President's Office - Union AffairsMinister
2006​
2/8/2008​
Ministry of HealthDeputy Minister
2000​
2005​
Ministry of Defence and National ServiceMinister
2/13/2008​
To Date​
Hubert Kairuki Memorial UniversityLecturer
1998​
2000​
Hubert Kairuki Memorial UniversitySpecialist Doctor
1998​
1999​
Ministry of Health - Muhimbili HospitalRegistrar
1994​
1995​
Ministry of Health - Muhimbili HospitalDoctor
1993​
1993​
Marmara UniversityIntern
1991​
1992​
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location
Position​
From​
To​
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember - National General Council
2005​
Todate​
The Parliament of TanzaniaMember - Kwahani Constituency
2005​
2015​
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember - Kwahani /Mkuranga Political Committee
2000​
To Date​
The Parliament of TanzaniaMember - Mkuranga Constituency
2000​
2005​

Samahani Mkuu, hivi Mh. Mwinyi alishahudhuri mafunzo ya JKT ambayo hakuhudhuri alipopata nafasi ya kwenda kusoma nje ya nchi?

Ahsante
 
Back
Top Bottom