Zanzibar 2020 Wasifu: Dkt. Hussein Ali Hassan Mwinyi, Rais ajaye wa Zanzibar

Ingekuwa amri yangu ningepiga marufuku mtu ukiwa Rais na mtoto wako aje kuwa Rais. Hii nchi sio ya kifalme na kuna watu milioni 60. Angalia Karume kaka mtu nae anataka kuwa Rais!.

Najua kuna watakao sema nao ni watanzania wana haki kugombea ila ni lazima tuwe realistic.
 
Niwazi kuwa Rais wazanzibar ajaye ni Dr Husein aly hasani mwinyi.

Leo katika viunga vya ofisi za ccm Dodoma na Zanzibar leo wamechukua form.

Hii niwazi kuwa zanziber hakuna cha mbarawa wa samia hasan suruhu.

Wewe unasemaje.

Na ndie Rais wa JMT ajaye huko zenji anaenda kupata uzoefu kwanza. Tutaendelea kuwapa taarifa taratibu.
 
Ingekuwa amri yangu ningepiga marufuku mtu ukiwa Rais na mtoto wako aje kuwa Rais. Hii nchi sio ya kifalme na kuna watu milioni 60. Angalia Karume kaka mtu nae anataka kuwa Rais!.

Najua kuna watakao sema nao ni watanzania wana haki kugombea ila ni lazima tuwe realistic.
USA ipo hiyo pia.. kila mtu ana haki
 
Ingekuwa amri yangu ningepiga marufuku mtu ukiwa Rais na mtoto wako aje kuwa Rais. Hii nchi sio ya kifalme na kuna watu milioni 60. Angalia Karume kaka mtu nae anataka kuwa Rais!.

Najua kuna watakao sema nao ni watanzania wana haki kugombea ila ni lazima tuwe realistic.
Mkuu kachukue form tuku sapoti!
 
Ingekuwa amri yangu ningepiga marufuku mtu ukiwa Rais na mtoto wako aje kuwa Rais. Hii nchi sio ya kifalme na kuna watu milioni 60. Angalia Karume kaka mtu nae anataka kuwa Rais!.

Najua kuna watakao sema nao ni watanzania wana haki kugombea ila ni lazima tuwe realistic.
Hili ndilo nimelifikiria, siyo haki kwa Wanzanzibari maana inakuwa ni kurithishana madaraka! Watakuambia ana vigezo kama wengine, ni kweli lakini hao wengine nao wapewe nafasi.
 
Jiwe ndiyo nani?

Sent using Jamii Forums mobile app

Jiwe... ni magufuri john pombe joseph Rais mpendwa wa Tanzania.

Maana ya jina hili jiwe. huyu alifananishwa na aliyekuwa mwanafunzi wa YESU aitwaye petro ambaye Yesu alisema UMEKUWA JIWE KUU LA PEMBENI au Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni .

Hakuna ane bisha magufuri wengi walimkataa hata ndani ya ccm, ila ndiye amekuwa mtu muhimu kuivusha nch.
 
Ameivaa anafaa kuvaa viatu.Usipinge kama unaona unatosha na wewe kachukue fomu kabla pazia alijafungwa.
 
Hili ndilo nimelifikiria, siyo haki kwa Wanzanzibari maana inakuwa ni kurithishana madaraka! Watakuambia ana vigezo kama wengine, ni kweli lakini hao wengine nao wapewe nafasi.


Waambieni wamarekani tena watoe tamko.
Dr mwinyi ni tishio kwa...
ACT wazarendo
CHADEMA..na wazungu wao.

Hata wakiungana haa wapi wataweza kweliii ... ha wapi.
 
Jiwe... ni magufuri john pombe joseph Rais mpendwa wa tanzania.

Maana ya jina hili jiwe....... huyu alifananishwa na aliyekuwa mwanafunzi wa YESU aitwaye petro ambaye Yesu alisema UMEKUWA JIWE KUU LA PEMBENI au Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni .

Hakuna ane bisha magufuri wengi walimkataa hata ndani ya ccm, ila ndiye amekuwa mtu muhimu kuivusha nch.
Usigeuze habari mkuu, hili jina halina asili hiyo! Hili jina alijipa mwenyewe kwenye hotuba yake moja alisema yeye ni 'jiwe kweri kweri'............
hakuna cha jiwe la pembeni la waashi wala Petro mwanafunzi wa Yesu.
 
Ingekuwa amri yangu ningepiga marufuku mtu ukiwa Rais na mtoto wako aje kuwa Rais. Hii nchi sio ya kifalme na kuna watu milioni 60. Angalia Karume kaka mtu nae anataka kuwa Rais!.

Najua kuna watakao sema nao ni watanzania wana haki kugombea ila ni lazima tuwe realistic.
George Bush na George W. Bush
Haya mambo bhana sijui.
 
Waambieni wamarekani tena watoe tamko.
Dr mwinyi ni tishio kwa...
ACT wazarendo
CHADEMA..na wazungu wao.

Hata wakiungana haa wapi wataweza kweliii ... ha wapi.
Sioni uhusiano wa ulichonijibu na nilichoandika. Bye
 
Usigeuze habari mkuu, hili jina halina asili hiyo! Hili jina alijipa mwenyewe kwenye hotuba yake moja alisema yeye ni 'jiwe kweri kweri'............
hakuna cha jiwe la pembeni la waashi wala Petro mwanafunzi wa Yesu.


Ha ha ha ha ... Nenda kashtaki tena kwa bagonza! Kakamatwa na rushwa leo huko kageraa..

Ndio hivyo magufuri ndio jiwe kuu la pembeni! Kama hutaki we mjeuri.
 
Back
Top Bottom