Siza Agropro
Senior Member
- Oct 2, 2016
- 113
- 149
Toa CV na siyo kuanza Ku criticise makabila ya watuWana roho mbaya by nature
Toa CV na siyo kuanza Ku criticise makabila ya watuWana roho mbaya by nature
kabila ipo mfano wanawake wa kipare wanaroho mbaya sanaRoho mbaya haina kabila,roho mbaya nimakuzi ya mtu na mazingira yanayomzunguka.
Mhhh so kweli kabisa nakataa roho mbaya ni makuzi mtu anayokua nayo
Tatizo siyo ndalichako...tatizo ni Jamaa Pumba Mingi....anapeleka pesa kwao subilini amalize kujenga airport kwao na kununua ndege mpya tena kubwaHabari za muda huu wadau wanajamvi wenzagu, samahani nnina shida sana na cv ya mheshimiwa Joyce Ndalichako, vipi je yeye alisoma masomo ya sayansi au maana kuna jamaa tunabishana sana.
Toa CV na siyo kuanza Ku criticise makabila ya watu
kabila ipo mfano wanawake wa kipare wanaroho mbaya sana
Toa CV dada yangu nyie ndo munafanya mambo yasiende unaeza pata mchumba hata wa kiha ukaanza kuleta hizi mamboHujakutana na wachaga wa kibosho na Machame. Utabadiisha usemi
Chuoni nliishi na mdada muha chumba kimoja aiseeeehhhhHujakutana na wachaga wa kibosho na Machame. Utabadiisha usemi
Toa CV dada yangu nyie ndo munafanya mambo yasiende unaeza pata mchumba hata wa kiha ukaanza kuleta hizi mambo
tafadhari me ni muha usiseme hivo sisi watu safi sanaWana roho mbaya by nature
tafadhari me ni muha usiseme hivo sisi watu safi sana
Chuoni nliishi na mdada muha chumba kimoja aiseeeehhhh
Mi siko kuchangia cv ya huyo Ndalichako! Hanihusu simhusu apite kushoto.
Niko kuchangia comment moja ya waha &
God Forbid!
Sitaki muha hata wa awe na hela kuliko jayz na beyonce!






inaonekana alikukera sana huyo binti huenda ikawa alikuwa msukuma akasingizia ni muha ajichukulie pointEbu waambie hawa tabia zao! Kabila la waongo kuliko shetani!
CV yake yanin sasa ...' Si ungeuliza tu ilo swali lakoSiko tayari kukujibu vibaya laiti ungenielewa maana yangu wala usingejibu kwa kukurupuka kaka, Nimehoji hivi nina maana kubwa ni kwamba sa hivi watu wananyimwa mikopo eti kisa mtu amesoma sayansi je wao wamesoma hayo masomo ndo maana yangu sijamzarau mheshimiwa nina muheshimu sana tena sana mimi sijajengwa kwenye misingi ya kumbeza mtu.