Wasifu/CV ya Profesa Joyce Ndalichako

Wasifu/CV ya Profesa Joyce Ndalichako

Tunaomba mwenye nayo atuwekee hapa tuone alisoma vipi mpaka kufikia hapo alipo.

Ikiwezekana hii iwe thread maalumu ya CV za mawaziri wote.
 
Weka ya kwako kwanza.muache asafishe elimu.maana nchi hii ilikuwa ishakuwa ovyo ovyo.hapana lazima tuwe siliasi na elimu.elimu ndo kila kitu ubora lazima tuzalishe watu wenye uwezo hata kama yeye waziri aliunga elimu,madhara yake sio mazuri ameamua kurekebisha hapa tunapaswa tumuunge mkono.tulisema wote elimu elimu elimu.tutafute ubora sasa.mtu anatoka huko na cheti tu mara degree.
 
Nenda kwenye website ya bunge harafu nasikia uyu mama amekundua hesabu za probability
 
kuna binti wa anco angu form 4 alipata daraja la 4 la point 31 eti leo anachukua degree ya uchumi!-nilishangaa sana
Mimi kuna mmoja alipata div 4 ya 31 form four , eti nae kagraduate degree kule TIA . Ila sasa yaani huwa wanachanga hela wanampa lecturer ili awafaulishe . Yaani ni vi la za mpaka walimu wao . Joyce acha ainyooshe elimu .
 
Mimi kuna mmoja alipata div 4 ya 31 form four , eti nae kagraduate degree kule TIA . Ila sasa yaani huwa wanachanga hela wanampa lecturer ili awafaulishe . Yaani ni vi la za mpaka walimu wao . Joyce acha ainyooshe elimu .


Nape waanze nae aliunga unga sana elimu
 
vilaza mnatafta pa kutokea hamuoni yaan o level ufail alaf uwe na degree kivipi sasa ...rudini shule tuu
 
Wana jamvi

Kutokana na matamko ya Waziri wa Elimu Prof Joyce Ndalichako haswa katika sekta ya elimu kama vile "moja la sifa za kujiunga chuo kikuu lazima uwe na form six pass" na sio equivalent, kwa maana umesoma foundation course ya Open university, certificate ukachukua Diploma halafu unaenda chuo kikuu, hili lina lengo baya sana katika kuthibiti idadi ya wanafunzi kwenda vyuo vikuu, aidha kupandisha GPA sasa mi naomba kama kweli alikuwa na sifa zote hizo mpaka akafika hapo mwenye cv yake aiweke tuijadili kwa manufaa ya elimu yetu, ina maana sasa ukiishia form form maana yake ndoto ya degree futa , au ukiwa na diploma futa ndoto za degree sasa sijui tunatengeneza kitu gani hakyamungu, na hivi ni kweli watu wote hawakupitia hatua hizo? kwa maana wote walipita form six wakapata degree?? masikini Tanzania yetu daaaah
 
Hajafuta diploma to degree umemuelewa vibaya kiongozi na wala CV yake hapo haihusiki

Kama umesoma diploma kwa ufaulu mdogo kidato cha nne hutaruhusiwa kusoma degree hadi upate alama zitakazo kuwezesha kusoma degree

Mi nadhani anasimamia viwango vya ubora wa elimu

Haiingii akilini una division 4 alafu una degree haviendani kabisa
nacho amn mtu hutafuta njia ya kufanikisha kitu ambacho kina mshinda. naamn hao walio na uwezo wamefanya nn katka nch hiii
 
Back
Top Bottom