Wasifu(CV) ya Jenerali Ulimwengu

Wasifu(CV) ya Jenerali Ulimwengu

Jukwaa limevamiwa na nzi wa kijani wenye kipindupindu
 
JENERALI ULIMWENGU was born on 4th April 1948 in Ngara, Kagera Region of Tanzania.

He went to school in Kamachumu, Katoke and Nyakato in Kagera and high school in Tabora from 1955 to 1968 and was a student of the then University of East Africa from 1969 to 1972.

As a post-Arusha Declaration student at the premier academic and activist University, Ulimwengu was one of the activist radical students espousing progressive causes of African liberation and human emancipation.

After leaving the University, he became an active member of the ruling party, then TANU (Tanganyika Afican National Union) and later CCM ('Chama cha Mapinduzi') as the following brief profile of his post-student service shows.

Daily News, Government Newspaper, from 1972 to 1974; Mwanza Area Office, 1975;
Pan-African Youth Movement Tanzanian representative in Algiers, from 1974 to 1985;
TANU Youth League,

from 1986 to 1987; Director of Youth and Sports,

Ministry of Culture and Sports, from 1987 to 1989.

District Commissioner from 1989 to 1993.

Member of National Executive Committee of the ruling party CCM, from 1992 to 1997; and,
Member of Parliament from 1990 to 1995.
 
Ni kweli aliwahi tuhumiwa hivyo, sijui walishia wapi!
 
Siyo Mzalendo yule. Ni mnafiki kama Zitto. Ana hasira na visasi sababu nchi yake ya asili karibu raia wake wote ni watu wa visasi vya kudumu tena wengine wanarithishwa.
Jamaa amewahi kuwa DC wakati wa mwinyi nadhani, sasa uzarendo fani unautaka? Mtubakiwa tofauti na we we tu ndio anakuwa sio mzarendo?
Kuna kipindi nilisikia huyu jamaa ni mrundi ila bado sina uhakika maana ccm nawajua kwa fix
 
Siyo Mzalendo yule. Ni mnafiki kama Zitto. Ana hasira na visasi sababu nchi yake ya asili karibu raia wake wote ni watu wa visasi vya kudumu tena wengine wanarithishwa.
Ni raia mzalendo,na ana sifa kama ile ya "wanafalsafa"aliyoieleza Nyerere(uongozi wetu na hatima ya Tanzania),ana uwezo wa kuongoza ila hapendi kuongoza,ukimpa uongozi anakubali kwa taabu,ukimwambia acha,anaacha bila hata kufikiria,siyo kama wanaotafuta uongozi na kuung'ang'ania hata kwa kughushi.
Aliwahi kuteuliwa kuwa mkuu wa mkoa na ALIKATAA.
 
Chadema akili zenu fupi sana yaani mtu hata akiwa zuzu mtamwagia sifa zote ilimradi akija upande wenu,tatizo hata hamjiulizi kwa nini kaja kwetu mlivyo mazuzu
Kesi ya kikatiba sio ya Chama chochote, hivyo mtu ambaye ni muumini wautawala wa sheria anaweza kujiunganisha kwenye kesi za namna hiyo kwa nia ya kutafuta haki ambayo haki hiyo ikitamkwa na mahakama haitabagua mtu, chama, jinsia au vyovyote vile. Kuwashambulia watu wa chedema sio sawa.
 
Kuna kipindi nilisikia huyu jamaa ni mrundi ila bado sina uhakika maana ccm nawajua kwa fix

Ndiyo ana asili ya kirundi sababu ni mkimbizi wa miaka ya 69/70,aliamua kuukana uraia wake akachukua wa Bongo
 
Inawezekana kabisa ilikua ni visa vya kisiasa
Wenye kumbukumbu tunakumbuka sana ni kwanini aliitwa Mrundi. Natoa kama hints na wengine wazee wenzangu watamalizia; kuna mkubwa mmoja aliye wahi kua mkuu wa usalama wa taifa nadhani Enzi za Nyerere kama sio Mwinyi; bwana huyo aligombea Ubunge mwaka 1995 pale Iringa mjini na alitumia pesa za kutosha kwenye kampeni, wanafunzi wa Mkwawa na Iringa girls ndio walisababisha akakosa ubunge (of course na hela zangu walikula) yaelekea kama angeshinda angekua waziri but akapewa ukuu wa mkoa wa Tanga, Tumtemeke Sanga mbunge wa Makete akaitwa mbele za haki huyo bwana akapata ubunge huko and then akachuguliwa kua waziri kwenye wizara moja nadhani ilikua chini ya waziri mkuu au raisi mwenyewe; gazeti la Kingereza linalo milikiwa na Habari Cooperation likatoa scandal moja kubwa ya ufujaji wa pesa wa huyo bwana, nadhani ilikua Dola 60,000/= za matibabu ya mkewe aliyekua akiishi USA if not Canada, scandal hiyo iligharimu uwaziri wa bwana yule pamoja na katibu mkuu wa wizara ya afya bwana Mrope; haukipita muda Jenerali Ulimwengu akatangazwa kua sio raia wa Tanzania.
Wengine mnaweza kuendelea.
 
Jenerali T.K. Ulimwengu alisoma Tabora Boys mwanzoni mwa miaka ya sitini (nadhanai kati ya 62 na 65 hivi), na alikuwa ni kiranja mkuu wa wanafunzi. Enzi hizo Tabora Boys bado ilikuwa ni government school kabla elimu haijawa ya bure na shule zote kutaifishwa, kwa hiyo raia wa nje asingeweza kusoma pale. Kusema kuwa Ulimwengu ni raia wa Rwanda au Burundi ilikuwa ni visasi cha kisiasa tu; inawezekana kweli ana asili ya huko (Kama Obama alivyo na asili ya Kenya) lakini siyo raia wa huko. Ndiyo maana aliwahi kuwa na nyadhifa nyingi sana serikalini tangu serikali ya awamu ya kwanza hadi awamu ya pili.
Mkuu Kichuguu long time haupo mtandaoni.
 
Mkuu Kichuguu long time haupo mtandaoni.
Nipo Mzee Kimbunga ila huenda siyo active sana kama miaka hiyo ya zamani. Unajua nimekuwa hapa JF tangu mwaka 2006 ikiwa ni zaidi ya miaka kumi iliyopita. Ingawa pia umri unakwenda, ila waliokuwa toddlers wakati sisi tunajidili mada za siku hizo, leo hii ni teenagers ambao pia wanachangia maoni yao hapa tena kwa nguvu. Katika set theory utagundugua kuwa hapa kuna disjoint sets, na inabidi wengine wa zamani tukubali na tujenge utaratibu wa mapokeo.
 
Nipo Mzee Kimbunga ila huenda siyo active sana kama miaka hiyo ya zamani. Unajua nimekuwa hapa JF tangu mwaka 2006 ikiwa ni zaidi ya miaka kumi iliyopita. Ingawa pia umri unakwenda, ila waliokuwa toddlers wakati sisi tunajidili mada za siku hizo, leo hii ni teenagers ambao pia wanachangia maoni yao hapa tena kwa nguvu. Katika set theory utagundugua kuwa hapa kuna disjoint sets, na inabidi wengine wa zamani tukubali na tujenge utaratibu wa mapokeo.
Hakika mkuu. Inabidi sisi wengine na mawazo yetu ya kizee tuanze kukaa kando na kuwarithisha dot.com. Siku hizi hoja ni chache vioja ni vingi. Matusi yanatamalaki
Ila siku moja moja uwe unachungulia na kuweka hekima zako.
 
Ni Mnyarwanda na alinyang'anywa uraia wa Tanzania yeye na akina Balozi Bandora, Castico, nk. Nadhani hakurudishiwa na kwa sasa anafanya kazi kama mgeni.
Ni mwandishi wa Habari na pia miaka kama mitatu nyuma alitunukiwa u advocate. Amewahi kuwa TYL na akawa mwakilishi wa Tanzania kule Algiers. Amewahi kuwa Mbunge wa kuteuliwa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Amewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala wakati ule wa kuanzishwa kwa vyama vingi vya siasa. Wakati vyama vingi vinaanzishwa kulikuwa na sheria kwamba ukitaka kufanya maandamano ama mikutano unaomba kibali kwa mkuu wa wilaya. Basi huyu bwana alikuwa hana hiyana ya kutoa vibali kwa vyama. Akahamishwa kupelekwa Singida kama mkuu wa Wilaya. Kama sijasahu hakwenda Singida badala yake akajiuzulu ukuu wa Wilaya.

Huyo ndiye Generali Twaha Ulimwengu.
Kwa hiyo anaishi kama mgeni sio mtanzania, vipi mkewe na watoto wake?
 
Sasa akili ya J ulimwengu umeipimaje asee? Unaweza kutuambia Intelligence Quetient ni ngapi? Hvi watu wanaweza kukuvua uraia from no where tu mbona upinzani hawavuliwa? Kama umzawa huna haja ya kujieleza Sana Eti kuonesha uzawa wa eneo fulani, Ulimwengu sio mtanzania hutaki andamana
We kiazi kweli!mbona zilikiwepo tetesi kiongozi mmja aliyepita hapa tz inasemekana aliletwa na wajomba zake toka msu---,
Siku zote kuwa mkweli pinga upumbav hapo utafanyiwa figisu....Mbn katibu yule wehu ni msomal na uraia wake ni wa mashka

Ova
 
JENERALI ULIMWENGU alizaliwa tarehe 4 Aprili 1948 katika Mkoa wa Ngara, Kagera Tanzania. Alikwenda shuleni huko Kamachumu, Katoke na Nyakato huko Kagera na shule ya sekondari huko Tabora tangu mwaka wa 1955 hadi 1968 na alikuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Afrika Mashariki tangu 1969 hadi 1972. Kama mwanafunzi wa baada ya Arusha kwa mwanafunzi wa kwanza na mwanaharakati Chuo Kikuu, Ulimwengu alikuwa mmoja wa wanaharakati wa kweli wanaoshughulikia sababu za maendeleo ya uhuru wa Kiafrika na uhuru wa wanadamu. Baada ya kuondoka Chuo Kikuu, akawa mwanachama mwenye nguvu wa chama cha tawala, kisha TANU (Tanganyika Afican National Union) na baadaye CCM ('Chama cha Mapinduzi') kama maelezo mafupi ya huduma yake baada ya wanafunzi.

1. Daily News, Gazeti la Serikali, kutoka 1972 hadi 1974;
2. Ofisi ya Eneo la Mwanza, 1975;
3. Moja wa Vijana wa Afrika Mashariki mwakilishi wa Tanzania huko Algiers, kutoka 1974 hadi 1985;
4. TANU Youth League, from 1986 to 1987;
5. Mkurugenzi wa Vijana na Michezo, Wizara ya Utamaduni na Michezo, tangu 1987 hadi 1989.
6. Mkuu wa Wilaya kutoka 1989 hadi 1993.
7. Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Taifa ya CCM chama cha chama cha chama cha chama cha tawala cha CCM, tangu 1992 hadi 1997; na,
8. Mjumbe wa Bunge kutoka 1990 hadi 1995.
 
Back
Top Bottom