...unatakiwa kujua kuwa kulikuwa na wanyarwanda (watutsi) wengi waliokuwa wakimbizi wakiishi hususan katika wilaya za Ngara, Muleba na Karagwe. Wanyarwanda hao waliishi na kuzaliana, kusoma, kufanya kazi serikalini na kutajirika wakiwa hapa hapa nchini ingawa hawakusahau mission (dhima) yao ya kurudi kwao Rwanda. Kuna akina Professa, Rutahisire, Donald Kaberuka, Balozi Bandora, Twaha Khalifani, Advocate Rutabingwa, former Rwanda DPP, Martin Ngoga, Ambassador James Kimunyu na wengineo, kwa kutaja wachache. Baada ya utawala wa Rwanda kubadilika mwaka 1994 wanyarwanda hao waliamua kurudi Nyumbani. Usisahau kuwa hata Paul Kagame alikuwa CMI (Chief Military Intelligence) wa serikali ya Uganda. Kwa hiyo unatakiwa kufahamu political historic context ya
interlacustrine region. Please stay out of your box.