Wasifu(CV) ya Jenerali Ulimwengu

Wasifu(CV) ya Jenerali Ulimwengu

Kuna kitu kimoja hapo wamekosea kidogo. Ulimwengu na wenzake walipojiunga kuanzisha gazeti walianza na gazeti la Dimba. Hapo naongelea akina Rweyemamu, Shoo, Mbwambo, John Rutayisingwa, nk. Baada ya Dimba ndio wakaongeza gazeti la Rai. Hivyo hawakuanza na Rai bali Dimba na Rai likafuata baadaye. Nakumbuka sana hadithi za John Rutayisingwa (RIP) hasa kuhusu Jamhuri ya Kufikirika ya Mukunyu. Alikuwa akitumia Jamhuri ya Mukunyu kuipiga vijembe serikali ya Tanzania.
NA "KICHAA" MTANZNIA???
 
Povu mnatoa nyie wenye roho mbaya, mmekalia kuwavua uraia Watz wenzenu. Tena bila haya, miongoni waliomuunga mkono Kabila ni Baba wa Taifa, Mwl. Nyerere, mbona yeye hujamtaja. Moja ya tatizo letu kubwa, tukitofautiana na mwenzetu kimawazo, na hasa ukikuzidi uwezo wa kiakili. Badala ya kujifunza kutoka kwake, unavua uraia. Dunia ilitusuta kwa kumvua uraia Jenerali Ulimwengu na kumfanya stateless, wakaona aibu wakamrejeshea uraia wake. Leo nawe unakuja na ujinga ule ule wa kumvua uraia. Kazaliwa Tanzania, kakulia Tanzania, kazeekea Tanzania. Acheni roho mbaya
Sio kweli kwamba walimrudishia huo uraia isipokuwa ali-apply uraia wa Tanzania akapewa (uraia wa makalatasi). Kwa hivyo hiyo haki ya uraia wa kuzaliwa alinyang'anywa.
 
Povu mnatoa nyie wenye roho mbaya, mmekalia kuwavua uraia Watz wenzenu. Tena bila haya, miongoni waliomuunga mkono Kabila ni Baba wa Taifa, Mwl. Nyerere, mbona yeye hujamtaja. Moja ya tatizo letu kubwa, tukitofautiana na mwenzetu kimawazo, na hasa ukikuzidi uwezo wa kiakili. Badala ya kujifunza kutoka kwake, unavua uraia. Dunia ilitusuta kwa kumvua uraia Jenerali Ulimwengu na kumfanya stateless, wakaona aibu wakamrejeshea uraia wake. Leo nawe unakuja na ujinga ule ule wa kumvua uraia. Kazaliwa Tanzania, kakulia Tanzania, kazeekea Tanzania. Acheni roho mbaya
Hakuna ubishi kuhusu elimu ya juu, uelewa mkubwa na uzalendo wa Jenerali Ulimwengu. Na mara nyingi ni mkweli. Lakini ni binadamu, naye huongozwa na hisia binafsi wakati mwingine. Kwa mfano, kumsakama sana Mkapa (ambaye alikuwa na upungufu wa ujeuri kama wa Jenerali) ni kwa kuwa hakuzawadiwa cheo alichokitaka serikalini baada ya kushiriki kampeni vyema. Alipoendelea kumsakama, ndipo wabaya katika system wakaleta hoja ya uraia wake. Technically, kwa sheria ya uraia wa wakati ule, Jenerali, Bandora na wengine hawakuwa raia kwa kuwa hawakuzaliwa Tanganyika. Walizaliwa Rwanda, wakaja nchini wakiwa wadogo. Watu wengi wa mipakani, hata wa ndani sana kama maeneo ya Tabora (kwao Bandora) kulikokuwa na wahamiaji wengi, hasa wakimbizi wa nyakati za ukoloni, hawakuwa raia technically. Ilitakiwa warasimishe kwa kupata uraia wa kujiandikisha. Familia za kisomi mijini zenye utata huu huenda zilirekebisha haya, lakini haikuwa rahisi kwa familia ya kawaida kufanya hivyo, matokeo yake kwenye siku mbaya yakatokea ya akina Jenerali na Bandora. Wenye umri mkubwa mtakumbuka kuwa kwa sheria ile, ili kupata pasipoti ilibidi uonyeshe uraia wa Tanzania wa wazazi wako au upate mzee wa kula kiapo kuwa alishuhudia wazazi wako WAKIZALIWA. Sijui kama mnakumbuka jinsi Azim Premji alivyokosa uraia na kuvuliwa ubunge kwa sababu tu baba yake hakuwahi kukana uraia wa India, shitaka aliloshinda Dr. Walid Aman Kaborou wa CHADEMA. Ukisumbua, watu wa system, lakini hata washindani wako wengine kama wa kisiasa wa Premji, wanakupiga pale ulipo na kasoro hata usiyoijua. Jenerali, Bandora, Premji walirekebisha kilichotakiwa, na sheria ile pia imerekebishwa kiasi. Wote wapo nchini na ni raia.
 
Anakimanya sana Kiingereza..Akiandika makala nzuri nzito nzito Kwenye Gazeti la East Afrika...Ni mwamba anajua sana mambo...Ukweli ubaki kuwa ukweli..
 
"Jenerali Ulimwengu" is a revolutionary credo he self-assumed during revolutionary heydays, especially while taking part in the students political debates or as byline when he wrote articles in the Daily News. But from Kamachumu and Kaigara Primary School, Katoke Middle School, Nyakato Secondary School, Tabora (High) School and the UDSM, his true official names were Twaha Khalifan, not Jenerali Ulimwengu.
Alibadili lini jina?

Kwa waliopita Tabora School watakumbuka list ya Head Prefects waliopita ambayo ipo pale mess jina lake likiwepo pia na linasomeka Jenerali Ulimwengu,hiyo list ipo miaka nenda rudi.
 
Chadema akili zenu fupi sana yaani mtu hata akiwa zuzu mtamwagia sifa zote ilimradi akija upande wenu,tatizo hata hamjiulizi kwa nini kaja kwetu mlivyo mazuzu
Ccm akili zenu fupi sana, yaani Mtu akiwakosoa tu, anakuwa CHADEMA , wala hamjiulizi Kwanini amewakosoa, mlivyo mazuzu!
 
Ningependa kujua wasifu mdogo wa Jenerali Ulimwengu kwani nimefurahia uzalendo aliouonesha kuwa pale Mahakamani katika kesi ya Katiba.

Kitaaluma nilikuwa namtambua Jenerali kama mwandishi sio mwanasheria. Nasikia pia alishakuwa mwakilishi wa Tanzania makao makuu ya umoja wa vijana huko Algeria, pia ni mmoja wa vijana waliolelewa na umoja wa vijana wa Tanu na ni muumini mkubwa wa sera za Mwalimu Nyerere ya siasa ya ujamaa na kujitegemea.

----- Michango kutoka kwa WanaJF-----

JENERALI ULIMWENGU was born on 4th April 1948 in Ngara, Kagera Region of Tanzania. He went to school in Kamachumu, Katoke and Nyakato in Kagera and high school in Tabora from 1955 to 1968 and was a student of the then University of East Africa from 1969 to 1972. As a post-Arusha Declaration student at the premier academic and activist University, Ulimwengu was one of the activist radical students espousing progressive causes of African liberation and human emancipation. After leaving the University, he became an active member of the ruling party, then TANU (Tanganyika Afican National Union) and later CCM ('Chama cha Mapinduzi') as the following brief profile of his post-student service shows.
Ulimwengu ana degree ya sheria tu hajasomea uandishi,bali uandishi alijifunia kazini tu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Ni Mnyarwanda na alinyang'anywa uraia wa Tanzania yeye na akina Balozi Bandora, Castico, nk. Nadhani hakurudishiwa na kwa sasa anafanya kazi kama mgeni.

Ni mwandishi wa Habari na pia miaka kama mitatu nyuma alitunukiwa u advocate. Amewahi kuwa TYL na akawa mwakilishi wa Tanzania kule Algiers.

Amewahi kuwa Mbunge wa kuteuliwa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Amewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala wakati ule wa kuanzishwa kwa vyama vingi vya siasa.

Wakati vyama vingi vinaanzishwa kulikuwa na sheria kwamba ukitaka kufanya maandamano ama mikutano unaomba kibali kwa mkuu wa wilaya. Basi huyu bwana alikuwa hana hiyana ya kutoa vibali kwa vyama.

Akahamishwa kupelekwa Singida kama mkuu wa Wilaya. Kama sijasahu hakwenda Singida badala yake akajiuzulu ukuu wa Wilaya.

Huyo ndiye Generali Twaha Ulimwengu.
Uraia alirudishiwa na kwa sasa hana kitu anategemea kulelewa na mkewe mtoto wa marreale anayefanya kazi ethiopia

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kuna kitu kimoja hapo wamekosea kidogo. Ulimwengu na wenzake walipojiunga kuanzisha gazeti walianza na gazeti la Dimba. Hapo naongelea akina Rweyemamu, Shoo, Mbwambo, John Rutayisingwa, nk. Baada ya Dimba ndio wakaongeza gazeti la Rai. Hivyo hawakuanza na Rai bali Dimba na Rai likafuata baadaye. Nakumbuka sana hadithi za John Rutayisingwa (RIP) hasa kuhusu Jamhuri ya Kufikirika ya Mukunyu. Alikuwa akitumia Jamhuri ya Mukunyu kuipiga vijembe serikali ya Tanzania.
Mkuu ahsante kwa kutupa hako ka historia. Samahani naomba kujua huyu Joseph Mihangwa yuko wapi kwa Sasa. Juzi kati tumempoteza Mzee Paskali Mayega(Mwalimu Mkuu) hawa ulipokuwa ukisoma makala zao ni burudani tosha.

Ulimwengu yeye ametoa kitabu chenye mkusanyiko wa makala zake za Rai ya Ulimwengu. Sema hicho kiingereza chake kwenye makala zake ktk gazeti la The East African sio cha nchi hii.
 
Kuna kitu kimoja hapo wamekosea kidogo. Ulimwengu na wenzake walipojiunga kuanzisha gazeti walianza na gazeti la Dimba. Hapo naongelea akina Rweyemamu, Shoo, Mbwambo, John Rutayisingwa, nk. Baada ya Dimba ndio wakaongeza gazeti la Rai. Hivyo hawakuanza na Rai bali Dimba na Rai likafuata baadaye. Nakumbuka sana hadithi za John Rutayisingwa (RIP) hasa kuhusu Jamhuri ya Kufikirika ya Mukunyu. Alikuwa akitumia Jamhuri ya Mukunyu kuipiga vijembe serikali ya Tanzania.
Baada ya rai wakaanzisha mtanzania na mfadhili wao mkuu aliyetoa kila kitu ni rostam aziz kwahiyo huyo jenerali msimuamini sana njaa ikizidi ndio anajitia kupinga

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Ni Mnyarwanda na alinyang'anywa uraia wa Tanzania yeye na akina Balozi Bandora, Castico, nk. Nadhani hakurudishiwa na kwa sasa anafanya kazi kama mgeni.

Ni mwandishi wa Habari na pia miaka kama mitatu nyuma alitunukiwa u advocate. Amewahi kuwa TYL na akawa mwakilishi wa Tanzania kule Algiers.

Amewahi kuwa Mbunge wa kuteuliwa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Amewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala wakati ule wa kuanzishwa kwa vyama vingi vya siasa.

Wakati vyama vingi vinaanzishwa kulikuwa na sheria kwamba ukitaka kufanya maandamano ama mikutano unaomba kibali kwa mkuu wa wilaya. Basi huyu bwana alikuwa hana hiyana ya kutoa vibali kwa vyama.

Akahamishwa kupelekwa Singida kama mkuu wa Wilaya. Kama sijasahu hakwenda Singida badala yake akajiuzulu ukuu wa Wilaya.

Huyo ndiye Generali Twaha Ulimwengu.
Uraia alisharudishiwa.
 
Twaha Ulimwengu ni bidha adimu,na itachukua karne mmoja kupata mtu sampuli hii.Hataki quick fix,ila anataka binadamu ajitambue kabla ya kufungua mdomo auganishe ubongo wake kwaza,mimi siyo Mark Antony ila ujumbe umefika.
John Heche (@HecheJohn) Tweeted:
Wale wapiga makofi bungeni na kumshamgilia Ndugai. Njoo mjifunze Jenerali Ulimwengu ni nani.
Kabla ya kutoka vijijini kwenu yeye alikua anaiwakilisha nchi yetu huko Duniani, kabla hajafikiria Ubunge wa kupora ambao hamkushinda yeye tayari alikua Mbunge maarufu. Tuheshimu watu. https://t.co/KRpvOcB4Sk
 
Hakuna ubishi kuhusu elimu ya juu, uelewa mkubwa na uzalendo wa Jenerali Ulimwengu. Na mara nyingi ni mkweli. Lakini ni binadamu, naye huongozwa na hisia binafsi wakati mwingine. Kwa mfano, kumsakama sana Mkapa (ambaye alikuwa na upungufu wa ujeuri kama wa Jenerali) ni kwa kuwa hakuzawadiwa cheo alichokitaka serikalini baada ya kushiriki kampeni vyema. Alipoendelea kumsakama, ndipo wabaya katika system wakaleta hoja ya uraia wake. Technically, kwa sheria ya uraia wa wakati ule, Jenerali, Bandora na wengine hawakuwa raia kwa kuwa hawakuzaliwa Tanganyika. Walizaliwa Rwanda, wakaja nchini wakiwa wadogo. Watu wengi wa mipakani, hata wa ndani sana kama maeneo ya Tabora (kwao Bandora) kulikokuwa na wahamiaji wengi, hasa wakimbizi wa nyakati za ukoloni, hawakuwa raia technically. Ilitakiwa warasimishe kwa kupata uraia wa kujiandikisha. Familia za kisomi mijini zenye utata huu huenda zilirekebisha haya, lakini haikuwa rahisi kwa familia ya kawaida kufanya hivyo, matokeo yake kwenye siku mbaya yakatokea ya akina Jenerali na Bandora. Wenye umri mkubwa mtakumbuka kuwa kwa sheria ile, ili kupata pasipoti ilibidi uonyeshe uraia wa Tanzania wa wazazi wako au upate mzee wa kula kiapo kuwa alishuhudia wazazi wako WAKIZALIWA. Sijui kama mnakumbuka jinsi Azim Premji alivyokosa uraia na kuvuliwa ubunge kwa sababu tu baba yake hakuwahi kukana uraia wa India, shitaka aliloshinda Dr. Walid Aman Kaborou wa CHADEMA. Ukisumbua, watu wa system, lakini hata washindani wako wengine kama wa kisiasa wa Premji, wanakupiga pale ulipo na kasoro hata usiyoijua. Jenerali, Bandora, Premji walirekebisha kilichotakiwa, na sheria ile pia imerekebishwa kiasi. Wote wapo nchini na ni raia.
Sahihi kabisa
 
Ila zamani watu walikua wanapiga kitabu aisee,namkumbuka mjomba mmoja huko kijijini Mbeya jamaa kapiga kitabu mpk makerere University mpaka akawa chizi wakamrudisha.
Jamaa alikua anaongea mwenyewe ila kwenye kijumba chake pale bush ana vitabu library haswa ya mzungu.
Ukikaa nae akianza kumwaga material utachoka.
Mjomba Benja pale bush alikua habari ingine.
Watu walikua wanamwogopa ule uchizi wake.
Mara ya mwisho tumeonana jamaa kapona.
Very smart ana viskose shati na moka na suruali celebration balaa
Yaani smart
Kuuliza kapona vp?
Wananambia aliuza shamba la mamaake alipokufa akapata hela nyingi akapona.
Nilicheka nikaona huyu alikua na uchizi hela tu.
 
John Heche (@HecheJohn) Tweeted:
Wale wapiga makofi bungeni na kumshamgilia Ndugai. Njoo mjifunze Jenerali Ulimwengu ni nani.
Kabla ya kutoka vijijini kwenu yeye alikua anaiwakilisha nchi yetu huko Duniani, kabla hajafikiria Ubunge wa kupora ambao hamkushinda yeye tayari alikua Mbunge maarufu. Tuheshimu watu. https://t.co/KRpvOcB4Sk


Huyo ni Ghadafi mkuu?
 
Chadema akili zenu fupi sana yaani mtu hata akiwa zuzu mtamwagia sifa zote ilimradi akija upande wenu,tatizo hata hamjiulizi kwa nini kaja kwetu mlivyo mazuzu
Zuzu ni mamako alokuzaa kwa bahati mbaya
 
Back
Top Bottom