Kweli huku ni kujishaua. Tabia ni jumla ya maisha ya mtu. mtoa mada hana exposure anatuletea mtazamo wa huko kwao. Mwanamke sio mpaka avae madera ndo aonekane anafaa kuwa mke.mnajishaua tu hapa...
Halafu cha ajabu wanaume wanawavalisha manguo mareefu hao wake zao halafu wanawaacha ndani wanaenda kuwafuata hao wanaovaa vimini.
Nenda south africa utaona, karibu kila binti unayepishana naye mapaja yako nje. Nenda nchi za weupe uone wanawake wanavyo vyaa na sio ishu kihiivyo.
Ifike mahala tuongee kiutu uzima na sio kwa hisia na kidhaifu na matamanio yanayopelekea kuwataka wanawake wafunike miili yao full. Mie my wife wangu tangia nimuoe mpaka leo ana nguo za aina zote. na tabia ni njema tena ya kuigwa.
