Wasichana: Yaheshimuni maungo yenu

Wasichana: Yaheshimuni maungo yenu

Upo sahihi mkuu,mimi nakumbuka enzi ninakua ilikua ngumu sana kuona maungo ya mwanamke sababu walikua wanajisitiri sana,na ikitokea siku kwa bahati mbaya umeona hata kirobo paja lazima abdala kichwa asimame yani,ndiyo lazima asimame mana hujazoea kuona hivyo vitu.
Sasa enzi unakua ndio enzi hizi?
Enzi unakua maybe hata smartphone hazikuwepo, je mpaka sasa haumiliki smartphone kwakuwa haikuwepo enzi unakuwa?
 
mtwange mimba mkeo ye mwenye ataacha atatafuta madela yapo wapi
 
Umesema ukweli mtu ndg Pyepyepye , lakini sisi waTZ tulio wengi tutaishia kukutana kuwa wewe mshamba na kejeli za namna hiyo, lakini ulichokisema ni kweli na kitabaki kuwa kweli daima.

Haiwezekani mwanaume kamilifu kabisa achukue mdada mtembea uchi eti kwa lengo la kuoa, never. Ikitokea mdada mtembea uchi unajiona wanaume wanakufukuzia hata na ahadi za kukuoa, jua tu ya kwamba lengo lao ni kukutumia tu na mwisho wa siku kukuacha, kama alivyosema mjumbe mmoja kupima oil tu na si vinginevyo
 
Sasa enzi unakua ndio enzi hizi?
Enzi unakua maybe hata smartphone hazikuwepo, je mpaka sasa haumiliki smartphone kwakuwa haikuwepo enzi unakuwa?
Haswaaaaaaa kama umenisoma vizuri lazima utarelate na technology ya leo,na ndicho nilichokua naelezea,sema nimpaka mtu ajiongeze ndo ataweza kuelewa.
By the way kujiheshimu ni juu ya mtu binafsi,lakini hatutaacha kuelimisha watoto zetu kama wazazi
 
kwahiyo mavazi ni criteria mojawapo!!!!
duhhhhhhhhhhh nilikua sijui hii
 
Haswaaaaaaa kama umenisoma vizuri lazima utarelate na technology ya leo,na ndicho nilichokua naelezea,sema nimpaka mtu ajiongeze ndo ataweza kuelewa.
By the way kujiheshimu ni juu ya mtu binafsi,lakini hatutaacha kuelimisha watoto zetu kama wazazi
Kuna mtu alisema yeye anapenda mkewe avae hivyo na kwake haionyeshi kutokujiheshimu hata kidogo.
 
Umevaa suruali imekubana na kuyachora maungo yako yote, halafu imechanwa chanwa mapajani kwa mbele, maungo yako yanaonekana na kila mtu.

Unakutana na rafiki yako anakuuliza kama umeolewa nawe bila haya unasema "niolewe na nani shost, wanaume wenyewe matapeli tu"

We unadhani kuna mwanaume mwehu mpenda laana, wa kukuoa wewe, uje kumletea laana kwenye ukoo wake, mwishowe aje azae watoto wehu.

Utabaki hivyo hivyo, ukija kushituka ushazeeka unaamua kujioa kwa kwenda kuishi na lishikaji tu (sio mume).

Hapo ndo unaishi kwa shida full vilio kwa kuwa na mume asiyeeleweka, wakati wewe mwenyewe ulishindwa kujenga misingi ya kueleweka.

Poleni wote mnaopitia vipindi hivyo hasa mkiwa ndio wasanifu na wajenzi hali hizo.

THIS IS THE POST OF THE DAY!!!! BIG UP
 
mwanamke akivaa manguo makubwa oohdemu lishamba... tukivaa mikato nalo tatizo .. minavaa navyotamani kuvaa hiyo siku
Bora uitwe mshamba bt umejisitiri ,,,wengi wanawasifia midomoni mkivaa hiyo mikato ila mioyoni wanawang'ong'aaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom