Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,503
- 176,611
Sawa kuolewa kunaleta heshima,lakn usiniambie eti kisa nmevaa suruali ya kuchana chana basi sitoolewa. Ghkaaaa,!!basi na wao wanaume wajue hawatotupata wa kutuoa kwa style hii ya kuvaa chupi za wadogo zao zinazoishia mapajani mwao na bado wanazishusha kwenye makalio,Yaani akinifuata mwanaume aliyevaa hivo nkamwambia kajioe mwenyewe![]()

