Wasichana: Yaheshimuni maungo yenu

Wasichana: Yaheshimuni maungo yenu

Nae anakushangaa kama unavyomshangaa!!
Ingekuwa adhabu asingevaa.
Unajua espy the way ninavopata muda wa kukaa na women and make conversions like this ndo nagundua kwa nini maandiko ya MUNGU yalisisitiza wanaume tuishi na wanawake kwa akili sana.Yani hata km ni mtu alitunga yale maandiko basi alikua anaona mbali sana
 
Unajua espy the way ninavopata muda wa kukaa na women and make conversions like this ndo nagundua kwa nini maandiko ya MUNGU yalisisitiza wanaume tuishi na wanawake kwa akili sana.Yani hata km ni mtu alitunga yale maandiko basi alikua anaona mbali sana
Ndio hivyo mkuu, mlipoambiwa muishi nasi kwa akili hawakukosea, tatizo nyie mnabadili maandiko mnataka sisi ndio tuishi nanyi kwa akili.
 
Hapo sawa tena!! Si nao watakuwa wanawashangaa kwenye daladala hivyo hivyo!!
Tena wakianza ukubwa hakuna atakaejua Kama baba so aliwalea vizuri. Unawajua walimwengu unawasikia wewe
 
Hapo sawa tena!! Si nao watakuwa wanawashangaa kwenye daladala hivyo hivyo!!
Ha ha ha
Kisaikolojia malezi ya mwako 0-10 ndo msingi bora wa maisha ya mtoto
halafu 11-18 ni kuweka msisitizo na kuonyesha upendo,akiharibika huko mbeleni inakua ni yeye kama yeye
 
Ha ha ha
Kisaikolojia malezi ya mwako 0-10 ndo msingi bora wa maisha ya mtoto
halafu 11-18 ni kuweka msisitizo na kuonyesha upendo,akiharibika huko mbeleni inakua ni yeye kama yeye
Ila tutakulaumu wewe tu.
 
Tena wakianza ukubwa hakuna atakaejua Kama baba so aliwalea vizuri. Unawajua walimwengu unawasikia wewe
Mwaka 0-10 ni muda wa mzazi kumfundisha mtoto maadili,kujiamini,upendo....
11-18 ni kukazia na kumuongoza kwa yale mabadiliko ya kimwili anayoyapata.
Ukifanikiwa hapo,hata kama mbeleni akiharibika ni asilimia ndogo sana,kama unalea watoto au ni mzazi utanielewa
 
Mwaka 0-10 ni muda wa mzazi kumfundisha mtoto maadili,kujiamini,upendo....
11-18 ni kukazia na kumuongoza kwa yale mabadiliko ya kimwili anayoyapata.
Ukifanikiwa hapo,hata kama mbeleni akiharibika ni asilimia ndogo sana,kama unalea watoto au ni mzazi utanielewa
Walimwengu hatujui hayo,utatusikia mmh. Hajafundishwa yule angefundishwa asingekuwa vileee
 
Yah
ndo mana tukikuona espy unatembea na kichupi tunamlaumu mama yako na baba
Basi hata wako ujue hatutokuelewa, tutakulaumu tu.
Maana ulimwengu unajua kujitahidi kuliko mzazi.
 
Walimwengu hatujui hayo,utatusikia mmh. Hajafundishwa yule angefundishwa asingekuwa vileee
Umeona eeee
ndo mana leo wewe ukivaa vichupi barabarani wa kwanza kulaumiwa ni mzazi.
Umeona umuhimu wa mzazi?
 
Basi hata wako ujue hatutokuelewa, tutakulaumu tu.
Maana ulimwengu unajua kujitahidi kuliko mzazi.
Hata neno la MUNGU linasema mlee mtoto katika njia impasayo,hataiacha kamwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom