Wasichana: Yaheshimuni maungo yenu

Wasichana: Yaheshimuni maungo yenu

Umevaa suruali imekubana na kuyachora maungo yako yote, halafu imechanwa chanwa mapajani kwa mbele, maungo yako yanaonekana na kila mtu.

Unakutana na rafiki yako anakuuliza kama umeolewa nawe bila haya unasema "niolewe na nani shost, wanaume wenyewe matapeli tu"

We unadhani kuna mwanaume mwehu mpenda laana, wa kukuoa wewe, uje kumletea laana kwenye ukoo wake, mwishowe aje azae watoto wehu.

Utabaki hivyo hivyo, ukija kushituka ushazeeka unaamua kujioa kwa kwenda kuishi na lishikaji tu (sio mume).

Hapo ndo unaishi kwa shida full vilio kwa kuwa na mume asiyeeleweka, wakati wewe mwenyewe ulishindwa kujenga misingi ya kueleweka.

Poleni wote mnaopitia vipindi hivyo hasa mkiwa ndio wasanifu na wajenzi hali hizo.
Kuolewa hao watasubiri sana maana sababu zote za kuoa wameziharibu wenyewe.

Mapaja tulizoea kuona ya kuku kwa wauza chips siku hizi mapaja ya wadada hayana thamani tena wanayaachia tu.

Matiti tulizoea kuona ya ng'ombe au mbuzi siku hizi matiti ya wadada yasipobustiwa yakamwagika nje wanaona hawajavaa

Kibaya sasa ni hizo nguo zao transparent unaona kila kitu
 
Hiyo khanga na vitenge ndio utamaduni wetu? Ninavyofahamu khanga ni utamaduni wa waswahili(mie sio mswahili)

Kwahiyo nikishoka suruali ya khanga nikaichanachana na kimini si itakua poa as still ni khanga? Au nifunge khanga niende ofisini?
Yani espy hata ukiamua kutembea uchi kwani nani atakayekuuliza?
 
Upo sahihi
Nchi kama India mbona wameweza kwa kiasi kikubwa kulinda utamaduni wao?
Hata sisi wamasai wanatuwakilisha vyema. Na vitenge na khanga zinavaliwa sanaaaa ila bado haizuii kuvaa mavazi mengine.

Je kwao(wahindi) ukienda hizo suruali zilizochanwa chanwa huzikuti?
 
Mbona chupi tunavaa za wazungu hawasemi sio culture yetu?
Na wanavyojifanya watashi kununua boxer nyeupe kufua na kuzitunza hawawezi zinakaa mwilin mpaka zinabadilika rangi na kufanana na rangi za miili zao. Yaani huyu alikataliwa na msichana bomb a alievaa hivo sasa kwa hasira he just come spread some shit wadada hivi wadada vile. Acheni hizoooo wakaka
 
Nyinyi mbona hamvaagi msuli,mko busy now days na vinjuga,vile vipensi vinavyoishia mapajani..Hapo Hapo mnazishusha chini tuone mavyupi yenu boxer chafuuuu znatoa harufu mbaya
Is all about western culture,tena wenyewe wakituona tunavomezwa na tamaduni zao wanafurahi sana.
By the way Tanzania ni ya kidijitali,sasa hivi hata ukitaka kutembea uchi hamna wa kukuuliza
 
Na wanavyojifanya watashi kununua boxer nyeupe kufua na kuzitunza hawawezi zinakaa mwilin mpaka zinabadilika rangi na kufanana na rangi za miili zao. Yaani huyu alikataliwa na msichana bomb a alievaa hivo sasa kwa hasira he just come spread some shit wadada hivi wadada vile. Acheni hizoooo wakaka
Na wamegundua fimbo ya kumchapia mwanamke ni kuolewa, wangapi wameolewa na wanavaa hivyo hivyo!! Au wameolewa na wanawake wenzao!!
 
Is all about western culture,tena wenyewe wakituona tunavomezwa na tamaduni zao wanafurahi sana.
By the way Tanzania ni ya kidijitali,sasa hivi hata ukitaka kutembea uchi hamna wa kukuuliza
Hata wao wanayapenda Sana mavazi ya kitenge na khanga,all about cultural exchange. sasa msianze kutusema vibaya wadada,that's what I hate
 
Hata sisi wamasai wanatuwakilisha vyema. Na vitenge na khanga zinavaliwa sanaaaa ila bado haizuii kuvaa mavazi mengine.

Je kwao(wahindi) ukienda hizo suruali zilizochanwa chanwa huzikuti?
Ndo mana nikakwambia kwa asilimia kubwa india wamejitahidi,na kwa Tanzania kabila ambalo bado halijakumbwa na upepo wa western culture ni masai,ni ngumu sana dunia ya leo kuishi bila kua affected na mzungu sema ndo usikubali ukaingia mazima,vingine tunajiongeza wenyewe km mavavi n.k
Mimi naamini mavazi ni maamuzi binafsi ya mtu
 
Na wamegundua fimbo ya kumchapia mwanamke ni kuolewa, wangapi wameolewa na wanavaa hivyo hivyo!! Au wameolewa na wanawake wenzao!!
Sawa kuolewa kunaleta heshima,lakn usiniambie eti kisa nmevaa suruali ya kuchana chana basi sitoolewa. Ghkaaaa,!!basi na wao wanaume wajue hawatotupata wa kutuoa kwa style hii ya kuvaa chupi za wadogo zao zinazoishia mapajani mwao na bado wanazishusha kwenye makalio,Yaani akinifuata mwanaume aliyevaa hivo nkamwambia kajioe mwenyewe
 
Hata wao wanayapenda Sana mavazi ya kitenge na khanga,all about cultural exchange. sasa msianze kutusema vibaya wadada,that's what I hate
Kama wao wanaiga kuvaa kanga na sisi tunaiga kuvaa vimini na kupiga kata k.
Katika akili ya kawaida nani anazingua?
 
Ndo mana nikakwambia kwa asilimia kubwa india wamejitahidi,na kwa Tanzania kabila ambalo bado halijakumbwa na upepo wa western culture ni masai,ni ngumu sana dunia ya leo kuishi bila kua affected na mzungu sema ndo usikubali ukaingia mazima,vingine tunajiongeza wenyewe km mavavi n.k
Mimi naamini mavazi ni maamuzi binafsi ya mtu
Hata hao wanaovaa hizo suruali zilizochanwa pia wana nguo zao za vitenge na wana khanga pia.
Ukiwaona waulize watakwambia.
 
Si ndio kama hivi mnauliza humu?
Ha ha ha
Sasa kama nyie wanawake ambao mmekomaa kiakili mkivaa hivo kwa nini tusiwaulize,watoto wetu wa kike mtawafundisha nini hasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom