Asante kwa kusema ukweli mtupu! Japo pamoja na kuwa ujumbe huu wenye elimu utasomwa na waathirika hao, hawataufanyia kazi! Wanasikilizia sikio la kulia unapitilizia sikio la kushoto.
Mambo mengine jamani hayana budi kutokea...
Mwenye masikio na alisikie Neno hili ambalo Roho awaambia mataifa
